Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,994
- 94,579
Kuna watu mna shida sehemu siyo bure.Hakuna hela ya kiapo MS.
Kuna watu mna shida sehemu siyo bure.Hakuna hela ya kiapo MS.
Vyeti hivyo vyote viwili chako na cha mzazi wako vinapatikana RITAHabaro wakuu
Nimefuata hatua zote za kupata passport mtandaoni ila natakiwa kuwasilisha karatasi form ila viambata vya cheti cha kuzaliwa sina, cheti cha kuzaliwa mzazi sina.
Je, naweza pata passport bila cheti cha kuzaliwa.
Nb: Nina passport ya zamani ila sijawahi itumia
Maana hata akienda kuchukulia affidavit mahakamani ni lazima alipieKuna watu mna shida sehemu siyo bure.
Cha mzazi sio lazima kama mzazi alizaliwa miaka ambayo nchi haina uhuru, achukue Afidavit tuVyeti hivyo vyote viwili chako na cha mzazi wako vinapatikana RITA
Tena mbaya zaidi, mahakamani sasa hivi wana Efd pesa ya serikali, na karani anaomba pesa ya chai.Maana hata akienda kuchukulia affidavit mahakamani ni lazima alipie
Bila shaka washampa mwongozo lo.
Vyovyote tuCha mzazi sio lazima kama mzazi alizaliwa miaka ambayo nchi haina uhuru, achukue Afidavit tu
Hivi huwa mnacomment mkiwa mmelewa?Njoo nikupe cheti changu
Jifunze kuchanganua na kuangalia mada za kuleta kwa watu wenye ubongoHivi huwa mnacomment mkiwa mmelewa?