Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,931
- 14,164
Innalilah wainna iraih rajiun
Apumzike kwa Amani zote
Unatumia Anusol Suppository?Adhabu kali ya moto iwe juu yake mzee wa kubariki ushoga
Apumzike kwa Amani!!Hii ni kutoka BBC sasa hivi
London: Pope Francis, the reforming head of the Catholic Church who sought to modernise the pastoral and public priorities of the Vatican, has died at the age of 88.
The Vatican announced the death of the Argentina-born Francis, a ground-breaking and progressive figure on Monday.
He was the first pope to be born or raised outside Europe in 12 centuries, the first from the Americas and the first Jesuit to hold the role.
View attachment 3310870
Jana alioneshwa live kutoka St Peters Basilica square. Uwe unaangalia tv za kimataifa. Achana na TBC, Azam na takataka kama hizoWaliona pasaka ipte kwanza ndio watangaze
88? Mwenzie alikaa mpaka 95Ameishi sana hata hivyo.... apumzike
AminaApumzike kwa Amani!!
bado baba yako na mama yakoAmeishi sana hata hivyo.... apumzike
Mkuu, sio kila wakati ukiugua unaenda hospitali sababu unaogopa kufa, wakati mwingine unachoogopa ni kuishi huku ukiugua, japo upo sahihi, kuna harufu ya utapeli kwenye dini.Apumzike kwa amani mzee.
Kuna kijana mmoja hua anafanya utani mitandaoni anasema mungu anakupa ugonjwa ufe mapema urudi kwake halafu unamzunguka unaenda hospitali.
Inakuja swali, kwa nini viongozi wa dini wakiugua wanakimbilia hospitali wakati wanahubiri kwamba Mbinguni ni pazuri, pana kila kitu, Pombe, wanawake wazuri mabikra 72, misosi mizuri, bustani, hakuna magonjwa wala maumivu yoyote, ni raha mustarehe milele na milele lakini wakiugua hata mafua tu wanakimbilia hospitali, wanaogopa nini kufa wakaende kula raha huko mbinguni? Ama hawaamini wanachokihibiri? Dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo.