Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 727
- Thread starter
- #21
MATY .....MATY..wanipa raha mie
dah mariooooo wanakuboa eennh?bt leo umewahurumia kdg
yap akikupenda demu uwez jali km ni marioo au kibamia...
niaje idd i mama ..nguo mpya tutapata??na viatu vpya....
hahaha rose marioooooooo kweli wananiboa hasa wale wanajitegeza kama alivyosema dena mtu unampa matokeo yake anaanza kujitapa lakini kuna wale mambo yanakuwa yamemuendea tu vibaya labda kafukuzwa kazi na mambo mengine ambayo yaweza mtokea binadamu yeyote haijalishi ni mdada au mkaka. Sikukuu ucjali nenda pale zizou nimelipia kapedo na katop vp vitakufaa