Pambanua ndoto, maono na ulimwengu wa roho

t
Salaam, Shalom!!

INTRODUCTION.

(Matendo 2:17-18) na (Waefeso 1:3)

MTU ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI. Roho inapoungana na mwili, kinaumbika kitu kinachoitwa NAFSI.

Mwili una vitu vinavyoshikika na kuonekana kama Ubongo ,misuli nk nk

NAFSI ni kiunganishi kati ya Roho na mwili, ndani ya NAFSI Kuna dhamira ambapo Kila linalotokea maamuzi hufanyika Kwa kusikilizia mwili au Roho.

Akili Iko katika NAFSI, lakini ubongo uko katika mwili. Dhamira,Huzuni, hisia pia vinapatikana katika NAFSI.

Mara zote mwili na Roho vipo katika mashindano vikivutana, hapo dhamira au Will hukaa muda wote ikiamua kuisikiliza Roho au mwili.

Kwakuwa mtu ni ROHO, lazima aingie katika Ulimwengu wa Roho ambamo Kuna NDOTO na MAONO.

MADA: PAMBANUA, NDOTO, MAONO, ULIMWENGU WA ROHO.

NDOTO + MAONO= ULIMWENGU WA ROHO.

Ulimwengu wa Roho ni mpana zaidi,Ndani ya Ulimwengu wa Roho Kuna NDOTO na Maono.

1. NDOTO.

NDOTO imo ndani ya Ulimwengu wa Roho. Ni lugha ya picha inayotafsiriwa na NAFSI. Pia katika ndoto Pana sauti Kutoka Ulimwengu wa Roho.

Nimeeleza hapo juu, NAFSI ni kiunganishi kati ya MWILI na Roho,

Hivyo, zipo ndoto zitakazokujia kutokana na shughuli za Kila siku, mfano ukichoka au ukila sana Kuna NDOTO zake.

Pia zipo ndoto zinazotokana na Roho. Mtu alalapo, mwili hupumzika, Roho hupata muda wa kuzurura ipatakapo, na Kwakuwa Roho inapokwenda kuzurura ipatakapo, Bado inakuwapo connection inayoitwa SILVER CODE au Kamba ya Fedha ( (Mhubiri 12), hii huendelea kuunga Roho na mwili, ikikatika hii, ndo mwili unakufa, ndomana, ni hatari kumshitua mwili wa mtu ghafula akiwa usingizini.

NDOTO ni level ya chini katika Ulimwengu wa Roho, Maana Mungu husema na mtu katika maono mchana, lakini Kwa ubusy na kutojali, hawezi sikia sauti na maonyo ya Mungu, ndipo Mungu humsubiri Usiku alalapo Ili aseme nae.

Na Mungu asemapo na mtu ( Roho), husema nae katika ndoto au Ulimwengu wa Roho wa Ndoto.

NAFSI ni kiunganishi Cha mwili na Roho, hivyo Mungu asemapo na Roho, lazima NAFSI ipate taarifa na kutunza kumbukumbu katika akili, ndipo mtu atakusimulia ndoto.

Pia Roho inapoenda kuzurura, yenyewe unaweza ona vitu mbalimbali katika Ulimwengu wa Roho. Mtu ni ROHO, hivyo ikifanyika husuda au kikifanyika kikao chochote kizuri au kibaya duniani au Mbinguni, Roho hupata taarifa, na taarifa hiyo huja katika ndoto.

Mtu mara zote Yuko katika ndoto aotazo, ndoto ni HALISI, ziwe zimetokana na Shughuli za mwili au zile zilizotokea Roho ilipoenda kuzurura au Roho iliposema na Mungu.

2. MAONO.

Hii ni level ya juu zaidi kuliko ndoto. MAONO ni wazi, hutokea zaidi Kwa wengi waliofunguliwa macho ya Roho. Yaani ni Kwa wale wanaweza kuona ya Rohoni mchana kweupe, macho wazi.

Hii hutokea mara nyingi Kwa waombaji, waliojazwa Roho MTAKATIFU. Awapo katika maombi, ghafula anaweza kuona mambo yanayoendelea katika Ulimwengu wa Roho wa Nuru au wa Giza wazi WAZI.

Aweza kuona objects za kiroho macho wazi, level hii ni Kwa waliookoka, au walozi maana bila kuwa na utulivu kiakili ni Rahisi kuchanganyikiwa.

Katika kuomba au kuombea watu katika mikutano ya INJILI, Roho MTAKATIFU husema na wahubiri kupitia maono, macho ya Rohoni hufunguka na kuona chanzo Cha magonjwa au matatizo yanayowasibu waombewaji.

Aweza mtazama mwanamke na kuona nyoka ndani ya tumbo, na nyoka ni tafsiri ya Ibilisi hivyo kupata kujua lilipo tatizo na jinsi ya kulitatua.

Ukitembea unaweza sikia sauti ya Hali ya kiroho ya eneo unalokanyaga limebeba nini na linemilikiwa na nani katika Ulimwengu wa Roho, kama ni Nuru au Giza.

3. ULIMWENGU WA ROHO.

Ukiingia humo katika Ulimwengu wa Roho hakuna time, waeza ona the past, future au present.

Hakuna kizuizi, waeza ingia wewe mwenyewe sababu u Roho wewe, unaweza kingia kupitia Nuru au Giza ukisaidiwa na Mungu kupitia Malaika wake au kupitia Giza ukisaidiwa na Shetani kupitia mapepo.

Ikiwa uliwahi kwenda sehemu ambayo hujawahi kufika tangu Kuzaliwa Kwa mara ya kwanza na ulipofikia ukapata hisia na HAKIKA juu ya Mahali hapo ulikuwapo kabla, jua kuwa Roho Yako imewahi kukutangulia kwenda Mahali pale.

Mahali popote palipo na nyumba ya Ibada, katika Ulimwengu wa Roho, pale Pana MNARA, wachawi hukwepa minara hiyo, maana kuisogelea ni hatari anaweza naswa na kuangushwa chini.

Nyumba au viwanja ni muhimu kushirikisha watumishi wa Mungu kabla ya kununua au kujenga nyumba maana unaweza nunua kiwanja, kumbe ni madhabahu, kaburi au mahala pa WAFU, au ni ofisi ya watu wa Giza katika Ulimwengu wa Roho, na kukaa au kujenga eneo kama Hilo ni kujitafutia shida.

Msitu unaoonekana katika Ulimwengu wa mwili, inaweza kuwa ni gerezani, wafungwa, NAFSI zilizofungwa zinatunzwa Mahali pale,

Nimewahi kuendesha gari katika Ulimwengu wa Roho miaka mingi sana, na kipindi hicho sijui kuendesha gari, Sina lesseni, na kitu hicho kilijirudia mara Kwa mara,

Siku niliponunua gari Kwa mara ya kwanza, baada ya kujifunza na kuzoea kuendesha, maono ya namna Ile Ile niliyoyaona, katika Ulimwengu wa Roho miaka mingi iliyopota yalijirudia na nikaona exact ni kitu kile kile, gari lile lile mazingira Yale Yale, ndipo nikakumbuka kuwa mambo yote huanzia Rohoni.

Kila kitu ukionacho, kimeanzia katika Ulimwengu wa Roho. Na Ulimwengu wa Roho, upo upande wa Nuru na WA Giza.

Katika Ulimwengu wa Roho hakuna umbali, mtu aliye marekani, aweza ongea na mtu aliye Tanzania na wakaelewana.

Simu na television, na vitu vyote vya duniani vimetokea katika Ulimwengu wa Roho, WANADAMU wamecopy vilivyo katika Ulimwengu wa Roho na kuvileta katika Ulimwengu wa mwili.

Ukitaka kulala usiku, ukifunga milango katika Ulimwengu wa mwili, usisahau pia KUFUNGA milango katika Ulimwengu wa Roho, maana lock na makufuli ya nyumba Yako, katika mlango wako KIMWILI hayazuii objects za kiroho kuingia. Funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu Kwa kutamka " Nafunga milango yangu ya nyumba Kwa Damu ya Yesu" hapo wa Giza wakija, hawawezi kuingia sababu watakuta hakuna entrance, atakuwepo Malaika akilinda.

Katika Roho unaweza kuhudhuria kikao chochote Cha Siri, ndomana wapangao mambo mabaya juu ya watu wengine sirini, mipango Yao hujulikana. Ukimtaja mtu katika Roho kwenye kikao chochote jua atajua maudhui ya kikao iwe ni kupitia ndoto au maono.

Ulimwengu wa Roho ni MMOJA, ila kuingia, ni unaweza kuingia kupitia Nuru au Giza.

Lakini pia Kwa kuwa mtu mwenyewe ni ROHO, automatically anaweza kuingia katika Ulimwengu wa Roho.

Ulimwengu wa Roho Kuna magari, nyoka, wanyama mbalimbali, magonjwa nknk kama tu duniani, wachawi, hute geneza Matukio katika Ulimwengu wa Roho na kumtumia mtu makombora, na ikiwa mtu huyo Hana ulinzi, ikiwa alitengenezewa Ajali huko, itakuja Kutokea katika uhalisia.

Kuwa makini na ndoto unazoota, maana mtu ni ROHO, na kwenye ndoto, ndiko kwenye uhalisia.

Ikiwa unaota ndoto zinazojirudia una maisha mazuri, una magari familia nzuri yenye furaha, ilhali uko katika lindi la Umaskini, unatakiwa ujue kuwa IPO haja ya kubadili ndoto kuja katika uhalisia kupitia Maombi.

HITIMISHO.

1. Hakikisha unaandika ndoto ambazo umeziota na huzielewi, maana ndoto hutumia mafumbo. Usipuuzie ndoto maana zingine ni jumbe zinazohutaji utekelezaji wa haraka, mf Umepewa ujumbe katika ndoto ambao unakuarifu kuahirisha safari uliyopanga kusafiri kesho yake, ukipuuza tatizo litatokea na utapata madhara.

2. Ikiwa unapitia Hali ngumu kimaisha, Jenga Mnara wako katika Ulimwengu wa Roho.

Maisha ya maombi ni kujenga Mnara, ni kuhamisha baraka zako zilizo katika Ulimwengu wa Roho na kuzileta katika Ulimwengu wa mwili kupitia Maombi. Kama ambavyo wabaya wamekuweza Kwa kuanzia katika Ulimwengu wa Roho wa Giza, pia unaweza kujenga Mnara wako wa maombi kupitia Ulimwengu wa Roho wa Nuru, Malaika wako watakusaidia kupitia Mnara huo utakaorefuka kadri unavyoomba Hadi Mbinguni.

3. NDOTO ni lango, kabla ya kulala, funga lango la ndoto zako Kwa Damu ya Yesu. Tamka, Nafunga lango la ndoto lisitumiwe na adui kunishambulia nilalapo Kwa Damu ya Yesu. Pia Fungua lango la ndoto Kutoka Kwa MUNGU Ili upokee taarifa na maelekezo ya Mungu ulalapo.

4. Epuka kuchanja chale au kwenda Kwa Waganga, kufanya hivyo kunaondoa ulinzi wako wa asili, unafungua milango na antenna za kichawi katika Ulimwengu wa Roho wa Giza kukusumbua, chale ni sawa na chip ndani ya MWILI wa tembo pale Serengeti, inaonekana everywhere.

5. Maisha ya dhambi yanapunguza ulinzi wa Malaika wako uliopewa na Mungu tangu Kuzaliwa. Pia maisha ya dhambi yanatoa KIBALI Kwa shetani na Ulimwengu wa Roho wa Giza kuteka baraka zako na kukuacha fukara, mgonjwa usiye na mwelekeo.


Mungu wa Mbinguni awabariki 🙏
thank you!!!,mfano mimi usiku wa kuamkia mwaka mpya nimeota nikimpelekea moto mfanya kazi mwenzangu wakati sijawahi kumtamani,,yaani nikiwa nimelala nikaona mlango wa chumbani mwangu unafunguliwa ghafla akaingia huyo mdada uchi kabisa,na mimi nikamkabili kwa shauku kubwa,,tukaanza kupelekeana motoile nataka kupiga bao la kichwa kama hamiss tambwe akatoweka ghafla,ina maana gani??? pia kipindi kama miezi minne nyuma niliota nampelekea moto jirani yangu mmakonde{huyu hatusalimiani kwani nilimkuta shambani kwangu akiroga saa 7 usiku],,,huyu nilmpelekea moto mpaka nikampiga harttrick!!!,,,naomba tafsriri chap kwa haraka!!
 
Salaam, Shalom!!

INTRODUCTION.

(Matendo 2:17-18) na (Waefeso 1:3)

MTU ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI. Roho inapoungana na mwili, kinaumbika kitu kinachoitwa NAFSI.

Mwili una vitu vinavyoshikika na kuonekana kama Ubongo ,misuli nk nk

NAFSI ni kiunganishi kati ya Roho na mwili, ndani ya NAFSI Kuna dhamira ambapo Kila linalotokea maamuzi hufanyika Kwa kusikilizia mwili au Roho.

Akili Iko katika NAFSI, lakini ubongo uko katika mwili. Dhamira,Huzuni, hisia pia vinapatikana katika NAFSI.

Mara zote mwili na Roho vipo katika mashindano vikivutana, hapo dhamira au Will hukaa muda wote ikiamua kuisikiliza Roho au mwili.

Kwakuwa mtu ni ROHO, lazima aingie katika Ulimwengu wa Roho ambamo Kuna NDOTO na MAONO.

MADA: PAMBANUA, NDOTO, MAONO, ULIMWENGU WA ROHO.

NDOTO + MAONO= ULIMWENGU WA ROHO.

Ulimwengu wa Roho ni mpana zaidi,Ndani ya Ulimwengu wa Roho Kuna NDOTO na Maono.

1. NDOTO.

NDOTO imo ndani ya Ulimwengu wa Roho. Ni lugha ya picha inayotafsiriwa na NAFSI. Pia katika ndoto Pana sauti Kutoka Ulimwengu wa Roho.

Nimeeleza hapo juu, NAFSI ni kiunganishi kati ya MWILI na Roho,

Hivyo, zipo ndoto zitakazokujia kutokana na shughuli za Kila siku, mfano ukichoka au ukila sana Kuna NDOTO zake.

Pia zipo ndoto zinazotokana na Roho. Mtu alalapo, mwili hupumzika, Roho hupata muda wa kuzurura ipatakapo, na Kwakuwa Roho inapokwenda kuzurura ipatakapo, Bado inakuwapo connection inayoitwa SILVER CODE au Kamba ya Fedha ( (Mhubiri 12), hii huendelea kuunga Roho na mwili, ikikatika hii, ndo mwili unakufa, ndomana, ni hatari kumshitua mwili wa mtu ghafula akiwa usingizini.

NDOTO ni level ya chini katika Ulimwengu wa Roho, Maana Mungu husema na mtu katika maono mchana, lakini Kwa ubusy na kutojali, hawezi sikia sauti na maonyo ya Mungu, ndipo Mungu humsubiri Usiku alalapo Ili aseme nae.

Na Mungu asemapo na mtu ( Roho), husema nae katika ndoto au Ulimwengu wa Roho wa Ndoto.

NAFSI ni kiunganishi Cha mwili na Roho, hivyo Mungu asemapo na Roho, lazima NAFSI ipate taarifa na kutunza kumbukumbu katika akili, ndipo mtu atakusimulia ndoto.

Pia Roho inapoenda kuzurura, yenyewe unaweza ona vitu mbalimbali katika Ulimwengu wa Roho. Mtu ni ROHO, hivyo ikifanyika husuda au kikifanyika kikao chochote kizuri au kibaya duniani au Mbinguni, Roho hupata taarifa, na taarifa hiyo huja katika ndoto.

Mtu mara zote Yuko katika ndoto aotazo, ndoto ni HALISI, ziwe zimetokana na Shughuli za mwili au zile zilizotokea Roho ilipoenda kuzurura au Roho iliposema na Mungu.

2. MAONO.

Hii ni level ya juu zaidi kuliko ndoto. MAONO ni wazi, hutokea zaidi Kwa wengi waliofunguliwa macho ya Roho. Yaani ni Kwa wale wanaweza kuona ya Rohoni mchana kweupe, macho wazi.

Hii hutokea mara nyingi Kwa waombaji, waliojazwa Roho MTAKATIFU. Awapo katika maombi, ghafula anaweza kuona mambo yanayoendelea katika Ulimwengu wa Roho wa Nuru au wa Giza wazi WAZI.

Aweza kuona objects za kiroho macho wazi, level hii ni Kwa waliookoka, au walozi maana bila kuwa na utulivu kiakili ni Rahisi kuchanganyikiwa.

Katika kuomba au kuombea watu katika mikutano ya INJILI, Roho MTAKATIFU husema na wahubiri kupitia maono, macho ya Rohoni hufunguka na kuona chanzo Cha magonjwa au matatizo yanayowasibu waombewaji.

Aweza mtazama mwanamke na kuona nyoka ndani ya tumbo, na nyoka ni tafsiri ya Ibilisi hivyo kupata kujua lilipo tatizo na jinsi ya kulitatua.

Ukitembea unaweza sikia sauti ya Hali ya kiroho ya eneo unalokanyaga limebeba nini na linemilikiwa na nani katika Ulimwengu wa Roho, kama ni Nuru au Giza.

3. ULIMWENGU WA ROHO.

Ukiingia humo katika Ulimwengu wa Roho hakuna time, waeza ona the past, future au present.

Hakuna kizuizi, waeza ingia wewe mwenyewe sababu u Roho wewe, unaweza kingia kupitia Nuru au Giza ukisaidiwa na Mungu kupitia Malaika wake au kupitia Giza ukisaidiwa na Shetani kupitia mapepo.

Ikiwa uliwahi kwenda sehemu ambayo hujawahi kufika tangu Kuzaliwa Kwa mara ya kwanza na ulipofikia ukapata hisia na HAKIKA juu ya Mahali hapo ulikuwapo kabla, jua kuwa Roho Yako imewahi kukutangulia kwenda Mahali pale.

Mahali popote palipo na nyumba ya Ibada, katika Ulimwengu wa Roho, pale Pana MNARA, wachawi hukwepa minara hiyo, maana kuisogelea ni hatari anaweza naswa na kuangushwa chini.

Nyumba au viwanja ni muhimu kushirikisha watumishi wa Mungu kabla ya kununua au kujenga nyumba maana unaweza nunua kiwanja, kumbe ni madhabahu, kaburi au mahala pa WAFU, au ni ofisi ya watu wa Giza katika Ulimwengu wa Roho, na kukaa au kujenga eneo kama Hilo ni kujitafutia shida.

Msitu unaoonekana katika Ulimwengu wa mwili, inaweza kuwa ni gerezani, wafungwa, NAFSI zilizofungwa zinatunzwa Mahali pale,

Nimewahi kuendesha gari katika Ulimwengu wa Roho miaka mingi sana, na kipindi hicho sijui kuendesha gari, Sina lesseni, na kitu hicho kilijirudia mara Kwa mara,

Siku niliponunua gari Kwa mara ya kwanza, baada ya kujifunza na kuzoea kuendesha, maono ya namna Ile Ile niliyoyaona, katika Ulimwengu wa Roho miaka mingi iliyopota yalijirudia na nikaona exact ni kitu kile kile, gari lile lile mazingira Yale Yale, ndipo nikakumbuka kuwa mambo yote huanzia Rohoni.

Kila kitu ukionacho, kimeanzia katika Ulimwengu wa Roho. Na Ulimwengu wa Roho, upo upande wa Nuru na WA Giza.

Katika Ulimwengu wa Roho hakuna umbali, mtu aliye marekani, aweza ongea na mtu aliye Tanzania na wakaelewana.

Simu na television, na vitu vyote vya duniani vimetokea katika Ulimwengu wa Roho, WANADAMU wamecopy vilivyo katika Ulimwengu wa Roho na kuvileta katika Ulimwengu wa mwili.

Ukitaka kulala usiku, ukifunga milango katika Ulimwengu wa mwili, usisahau pia KUFUNGA milango katika Ulimwengu wa Roho, maana lock na makufuli ya nyumba Yako, katika mlango wako KIMWILI hayazuii objects za kiroho kuingia. Funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu Kwa kutamka " Nafunga milango yangu ya nyumba Kwa Damu ya Yesu" hapo wa Giza wakija, hawawezi kuingia sababu watakuta hakuna entrance, atakuwepo Malaika akilinda.

Katika Roho unaweza kuhudhuria kikao chochote Cha Siri, ndomana wapangao mambo mabaya juu ya watu wengine sirini, mipango Yao hujulikana. Ukimtaja mtu katika Roho kwenye kikao chochote jua atajua maudhui ya kikao iwe ni kupitia ndoto au maono.

Ulimwengu wa Roho ni MMOJA, ila kuingia, ni unaweza kuingia kupitia Nuru au Giza.

Lakini pia Kwa kuwa mtu mwenyewe ni ROHO, automatically anaweza kuingia katika Ulimwengu wa Roho.

Ulimwengu wa Roho Kuna magari, nyoka, wanyama mbalimbali, magonjwa nknk kama tu duniani, wachawi, hute geneza Matukio katika Ulimwengu wa Roho na kumtumia mtu makombora, na ikiwa mtu huyo Hana ulinzi, ikiwa alitengenezewa Ajali huko, itakuja Kutokea katika uhalisia.

Kuwa makini na ndoto unazoota, maana mtu ni ROHO, na kwenye ndoto, ndiko kwenye uhalisia.

Ikiwa unaota ndoto zinazojirudia una maisha mazuri, una magari familia nzuri yenye furaha, ilhali uko katika lindi la Umaskini, unatakiwa ujue kuwa IPO haja ya kubadili ndoto kuja katika uhalisia kupitia Maombi.

HITIMISHO.

1. Hakikisha unaandika ndoto ambazo umeziota na huzielewi, maana ndoto hutumia mafumbo. Usipuuzie ndoto maana zingine ni jumbe zinazohutaji utekelezaji wa haraka, mf Umepewa ujumbe katika ndoto ambao unakuarifu kuahirisha safari uliyopanga kusafiri kesho yake, ukipuuza tatizo litatokea na utapata madhara.

2. Ikiwa unapitia Hali ngumu kimaisha, Jenga Mnara wako katika Ulimwengu wa Roho.

Maisha ya maombi ni kujenga Mnara, ni kuhamisha baraka zako zilizo katika Ulimwengu wa Roho na kuzileta katika Ulimwengu wa mwili kupitia Maombi. Kama ambavyo wabaya wamekuweza Kwa kuanzia katika Ulimwengu wa Roho wa Giza, pia unaweza kujenga Mnara wako wa maombi kupitia Ulimwengu wa Roho wa Nuru, Malaika wako watakusaidia kupitia Mnara huo utakaorefuka kadri unavyoomba Hadi Mbinguni.

3. NDOTO ni lango, kabla ya kulala, funga lango la ndoto zako Kwa Damu ya Yesu. Tamka, Nafunga lango la ndoto lisitumiwe na adui kunishambulia nilalapo Kwa Damu ya Yesu. Pia Fungua lango la ndoto Kutoka Kwa MUNGU Ili upokee taarifa na maelekezo ya Mungu ulalapo.

4. Epuka kuchanja chale au kwenda Kwa Waganga, kufanya hivyo kunaondoa ulinzi wako wa asili, unafungua milango na antenna za kichawi katika Ulimwengu wa Roho wa Giza kukusumbua, chale ni sawa na chip ndani ya MWILI wa tembo pale Serengeti, inaonekana everywhere.

5. Maisha ya dhambi yanapunguza ulinzi wa Malaika wako uliopewa na Mungu tangu Kuzaliwa. Pia maisha ya dhambi yanatoa KIBALI Kwa shetani na Ulimwengu wa Roho wa Giza kuteka baraka zako na kukuacha fukara, mgonjwa usiye na mwelekeo.


Mungu wa Mbinguni awabariki
Asante sana ndugu yangu nimependa sana hii elimu yako Mwenyezi Mungu azidi kukupa ufahamu ili nasi tuzidi kufahamika
 
Bandiko lako ninzuri sana nami nimejifunza kitu,kwaulivyo eleza nikweli kabisa umeshatembelea ulimwengu huo.sasa nataka kujua maoni yako kuhusu sisi tunao ingia huko kwanjia ya meditation! Navipi kuhusu wasio kua katika iman ulio nayo wewe!! Waislamu,wahindu,budha.....????
Ni salama zaidi kuingia Ulimwengu wa Roho Kwa kutumia Damu ya Yesu.

Njia nyingine ya kutumia meditation, uchawi nk nk ni abomination/ makufuru.


Meditation, ni sawa tu na Induism, wanatumia jicho la tatu, jicho la shetani, chongo ,jicho Moja.

Mtu wa nje ana macho mawili, mtu wa ndani pia ana macho mawili, hivyo ni muhimu kutumia macho mawili ya Roho Kwa msaada wa Roho mtakatifu.

Okoka, mkabidhi Yesu maisha Yako, utaona zaidi ya wote sababu Mungu Yu zaidi ya uchawi, hakipo kitachopangwa kuzimu juu Yako usikijue maana shetani hata kuzimu yenyewe hakuitengeza Bali Mungu alitengeza gerezani Hilo na kumweka humo. Hivyo hawezi kutuficha chochote Wana wa Mungu.

Ubarikiwe.
 
Nimeumia sana moyoni kuona maudhui yako yanatoa mtazamo wakubeza iman zawatu wengine nakujiona wewe unae amini kuhusu tukio la msalaba ndio bora mbele za mungu,nawengine niushetani, ukweli ungekua kalibu yangu ningekucharaza bakora KIBAO.
Hapa duniani Kuna pande mbili tu katika Imani,

1 Mungu. 2. Shetani.

Ikiwa unamwamini Mungu, utamwamini Yesu. Tofauti na hapo, unaangukia upande wa Shetani Kwa kujua au Kwa kutojua.

Nami sikuandika haya kufurahisha wengine wenye Imani tofauti na Mungu.

Mimi ni askari niliye vitani.

Karibu.
 
Amen
Salaam, Shalom!!

INTRODUCTION.

(Matendo 2:17-18) na (Waefeso 1:3)

MTU ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI. Roho inapoungana na mwili, kinaumbika kitu kinachoitwa NAFSI.

Mwili una vitu vinavyoshikika na kuonekana kama Ubongo ,misuli nk nk

NAFSI ni kiunganishi kati ya Roho na mwili, ndani ya NAFSI Kuna dhamira ambapo Kila linalotokea maamuzi hufanyika Kwa kusikilizia mwili au Roho.

Akili Iko katika NAFSI, lakini ubongo uko katika mwili. Dhamira,Huzuni, hisia pia vinapatikana katika NAFSI.

Mara zote mwili na Roho vipo katika mashindano vikivutana, hapo dhamira au Will hukaa muda wote ikiamua kuisikiliza Roho au mwili.

Kwakuwa mtu ni ROHO, lazima aingie katika Ulimwengu wa Roho ambamo Kuna NDOTO na MAONO.

MADA: PAMBANUA, NDOTO, MAONO, ULIMWENGU WA ROHO.

NDOTO + MAONO= ULIMWENGU WA ROHO.

Ulimwengu wa Roho ni mpana zaidi,Ndani ya Ulimwengu wa Roho Kuna NDOTO na Maono.

1. NDOTO.

NDOTO imo ndani ya Ulimwengu wa Roho. Ni lugha ya picha inayotafsiriwa na NAFSI. Pia katika ndoto Pana sauti Kutoka Ulimwengu wa Roho.

Nimeeleza hapo juu, NAFSI ni kiunganishi kati ya MWILI na Roho,

Hivyo, zipo ndoto zitakazokujia kutokana na shughuli za Kila siku, mfano ukichoka au ukila sana Kuna NDOTO zake.

Pia zipo ndoto zinazotokana na Roho. Mtu alalapo, mwili hupumzika, Roho hupata muda wa kuzurura ipatakapo, na Kwakuwa Roho inapokwenda kuzurura ipatakapo, Bado inakuwapo connection inayoitwa SILVER CODE au Kamba ya Fedha ( (Mhubiri 12), hii huendelea kuunga Roho na mwili, ikikatika hii, ndo mwili unakufa, ndomana, ni hatari kumshitua mwili wa mtu ghafula akiwa usingizini.

NDOTO ni level ya chini katika Ulimwengu wa Roho, Maana Mungu husema na mtu katika maono mchana, lakini Kwa ubusy na kutojali, hawezi sikia sauti na maonyo ya Mungu, ndipo Mungu humsubiri Usiku alalapo Ili aseme nae.

Na Mungu asemapo na mtu ( Roho), husema nae katika ndoto au Ulimwengu wa Roho wa Ndoto.

NAFSI ni kiunganishi Cha mwili na Roho, hivyo Mungu asemapo na Roho, lazima NAFSI ipate taarifa na kutunza kumbukumbu katika akili, ndipo mtu atakusimulia ndoto.

Pia Roho inapoenda kuzurura, yenyewe unaweza ona vitu mbalimbali katika Ulimwengu wa Roho. Mtu ni ROHO, hivyo ikifanyika husuda au kikifanyika kikao chochote kizuri au kibaya duniani au Mbinguni, Roho hupata taarifa, na taarifa hiyo huja katika ndoto.

Mtu mara zote Yuko katika ndoto aotazo, ndoto ni HALISI, ziwe zimetokana na Shughuli za mwili au zile zilizotokea Roho ilipoenda kuzurura au Roho iliposema na Mungu.

2. MAONO.

Hii ni level ya juu zaidi kuliko ndoto. MAONO ni wazi, hutokea zaidi Kwa wengi waliofunguliwa macho ya Roho. Yaani ni Kwa wale wanaweza kuona ya Rohoni mchana kweupe, macho wazi.

Hii hutokea mara nyingi Kwa waombaji, waliojazwa Roho MTAKATIFU. Awapo katika maombi, ghafula anaweza kuona mambo yanayoendelea katika Ulimwengu wa Roho wa Nuru au wa Giza wazi WAZI.

Aweza kuona objects za kiroho macho wazi, level hii ni Kwa waliookoka, au walozi maana bila kuwa na utulivu kiakili ni Rahisi kuchanganyikiwa.

Katika kuomba au kuombea watu katika mikutano ya INJILI, Roho MTAKATIFU husema na wahubiri kupitia maono, macho ya Rohoni hufunguka na kuona chanzo Cha magonjwa au matatizo yanayowasibu waombewaji.

Aweza mtazama mwanamke na kuona nyoka ndani ya tumbo, na nyoka ni tafsiri ya Ibilisi hivyo kupata kujua lilipo tatizo na jinsi ya kulitatua.

Ukitembea unaweza sikia sauti ya Hali ya kiroho ya eneo unalokanyaga limebeba nini na linemilikiwa na nani katika Ulimwengu wa Roho, kama ni Nuru au Giza.

3. ULIMWENGU WA ROHO.

Ukiingia humo katika Ulimwengu wa Roho hakuna time, waeza ona the past, future au present.

Hakuna kizuizi, waeza ingia wewe mwenyewe sababu u Roho wewe, unaweza kingia kupitia Nuru au Giza ukisaidiwa na Mungu kupitia Malaika wake au kupitia Giza ukisaidiwa na Shetani kupitia mapepo.

Ikiwa uliwahi kwenda sehemu ambayo hujawahi kufika tangu Kuzaliwa Kwa mara ya kwanza na ulipofikia ukapata hisia na HAKIKA juu ya Mahali hapo ulikuwapo kabla, jua kuwa Roho Yako imewahi kukutangulia kwenda Mahali pale.

Mahali popote palipo na nyumba ya Ibada, katika Ulimwengu wa Roho, pale Pana MNARA, wachawi hukwepa minara hiyo, maana kuisogelea ni hatari anaweza naswa na kuangushwa chini.

Nyumba au viwanja ni muhimu kushirikisha watumishi wa Mungu kabla ya kununua au kujenga nyumba maana unaweza nunua kiwanja, kumbe ni madhabahu, kaburi au mahala pa WAFU, au ni ofisi ya watu wa Giza katika Ulimwengu wa Roho, na kukaa au kujenga eneo kama Hilo ni kujitafutia shida.

Msitu unaoonekana katika Ulimwengu wa mwili, inaweza kuwa ni gerezani, wafungwa, NAFSI zilizofungwa zinatunzwa Mahali pale,

Nimewahi kuendesha gari katika Ulimwengu wa Roho miaka mingi sana, na kipindi hicho sijui kuendesha gari, Sina lesseni, na kitu hicho kilijirudia mara Kwa mara,

Siku niliponunua gari Kwa mara ya kwanza, baada ya kujifunza na kuzoea kuendesha, maono ya namna Ile Ile niliyoyaona, katika Ulimwengu wa Roho miaka mingi iliyopota yalijirudia na nikaona exact ni kitu kile kile, gari lile lile mazingira Yale Yale, ndipo nikakumbuka kuwa mambo yote huanzia Rohoni.

Kila kitu ukionacho, kimeanzia katika Ulimwengu wa Roho. Na Ulimwengu wa Roho, upo upande wa Nuru na WA Giza.

Katika Ulimwengu wa Roho hakuna umbali, mtu aliye marekani, aweza ongea na mtu aliye Tanzania na wakaelewana.

Simu na television, na vitu vyote vya duniani vimetokea katika Ulimwengu wa Roho, WANADAMU wamecopy vilivyo katika Ulimwengu wa Roho na kuvileta katika Ulimwengu wa mwili.

Ukitaka kulala usiku, ukifunga milango katika Ulimwengu wa mwili, usisahau pia KUFUNGA milango katika Ulimwengu wa Roho, maana lock na makufuli ya nyumba Yako, katika mlango wako KIMWILI hayazuii objects za kiroho kuingia. Funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu Kwa kutamka " Nafunga milango yangu ya nyumba Kwa Damu ya Yesu" hapo wa Giza wakija, hawawezi kuingia sababu watakuta hakuna entrance, atakuwepo Malaika akilinda.

Katika Roho unaweza kuhudhuria kikao chochote Cha Siri, ndomana wapangao mambo mabaya juu ya watu wengine sirini, mipango Yao hujulikana. Ukimtaja mtu katika Roho kwenye kikao chochote jua atajua maudhui ya kikao iwe ni kupitia ndoto au maono.

Ulimwengu wa Roho ni MMOJA, ila kuingia, ni unaweza kuingia kupitia Nuru au Giza.

Lakini pia Kwa kuwa mtu mwenyewe ni ROHO, automatically anaweza kuingia katika Ulimwengu wa Roho.

Ulimwengu wa Roho Kuna magari, nyoka, wanyama mbalimbali, magonjwa nknk kama tu duniani, wachawi, hute geneza Matukio katika Ulimwengu wa Roho na kumtumia mtu makombora, na ikiwa mtu huyo Hana ulinzi, ikiwa alitengenezewa Ajali huko, itakuja Kutokea katika uhalisia.

Kuwa makini na ndoto unazoota, maana mtu ni ROHO, na kwenye ndoto, ndiko kwenye uhalisia.

Ikiwa unaota ndoto zinazojirudia una maisha mazuri, una magari familia nzuri yenye furaha, ilhali uko katika lindi la Umaskini, unatakiwa ujue kuwa IPO haja ya kubadili ndoto kuja katika uhalisia kupitia Maombi.

HITIMISHO.

1. Hakikisha unaandika ndoto ambazo umeziota na huzielewi, maana ndoto hutumia mafumbo. Usipuuzie ndoto maana zingine ni jumbe zinazohutaji utekelezaji wa haraka, mf Umepewa ujumbe katika ndoto ambao unakuarifu kuahirisha safari uliyopanga kusafiri kesho yake, ukipuuza tatizo litatokea na utapata madhara.

2. Ikiwa unapitia Hali ngumu kimaisha, Jenga Mnara wako katika Ulimwengu wa Roho.

Maisha ya maombi ni kujenga Mnara, ni kuhamisha baraka zako zilizo katika Ulimwengu wa Roho na kuzileta katika Ulimwengu wa mwili kupitia Maombi. Kama ambavyo wabaya wamekuweza Kwa kuanzia katika Ulimwengu wa Roho wa Giza, pia unaweza kujenga Mnara wako wa maombi kupitia Ulimwengu wa Roho wa Nuru, Malaika wako watakusaidia kupitia Mnara huo utakaorefuka kadri unavyoomba Hadi Mbinguni.

3. NDOTO ni lango, kabla ya kulala, funga lango la ndoto zako Kwa Damu ya Yesu. Tamka, Nafunga lango la ndoto lisitumiwe na adui kunishambulia nilalapo Kwa Damu ya Yesu. Pia Fungua lango la ndoto Kutoka Kwa MUNGU Ili upokee taarifa na maelekezo ya Mungu ulalapo.

4. Epuka kuchanja chale au kwenda Kwa Waganga, kufanya hivyo kunaondoa ulinzi wako wa asili, unafungua milango na antenna za kichawi katika Ulimwengu wa Roho wa Giza kukusumbua, chale ni sawa na chip ndani ya MWILI wa tembo pale Serengeti, inaonekana everywhere.

5. Maisha ya dhambi yanapunguza ulinzi wa Malaika wako uliopewa na Mungu tangu Kuzaliwa. Pia maisha ya dhambi yanatoa KIBALI Kwa shetani na Ulimwengu wa Roho wa Giza kuteka baraka zako na kukuacha fukara, mgonjwa usiye na mwelekeo.

Ikiwa hujaokoka,fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE,UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO. AMEN



Mungu wa Mbinguni awabariki 🙏
 
Salaam, Shalom!!

INTRODUCTION.

(Matendo 2:17-18) na (Waefeso 1:3)

MTU ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI. Roho inapoungana na mwili, kinaumbika kitu kinachoitwa NAFSI.

Mwili una vitu vinavyoshikika na kuonekana kama Ubongo ,misuli nk nk

NAFSI ni kiunganishi kati ya Roho na mwili, ndani ya NAFSI Kuna dhamira ambapo Kila linalotokea maamuzi hufanyika Kwa kusikilizia mwili au Roho.

Akili Iko katika NAFSI, lakini ubongo uko katika mwili. Dhamira,Huzuni, hisia pia vinapatikana katika NAFSI.

Mara zote mwili na Roho vipo katika mashindano vikivutana, hapo dhamira au Will hukaa muda wote ikiamua kuisikiliza Roho au mwili.

Kwakuwa mtu ni ROHO, lazima aingie katika Ulimwengu wa Roho ambamo Kuna NDOTO na MAONO.

MADA: PAMBANUA, NDOTO, MAONO, ULIMWENGU WA ROHO.

NDOTO + MAONO= ULIMWENGU WA ROHO.

Ulimwengu wa Roho ni mpana zaidi,Ndani ya Ulimwengu wa Roho Kuna NDOTO na Maono.

1. NDOTO.

NDOTO imo ndani ya Ulimwengu wa Roho. Ni lugha ya picha inayotafsiriwa na NAFSI. Pia katika ndoto Pana sauti Kutoka Ulimwengu wa Roho.

Nimeeleza hapo juu, NAFSI ni kiunganishi kati ya MWILI na Roho,

Hivyo, zipo ndoto zitakazokujia kutokana na shughuli za Kila siku, mfano ukichoka au ukila sana Kuna NDOTO zake.

Pia zipo ndoto zinazotokana na Roho. Mtu alalapo, mwili hupumzika, Roho hupata muda wa kuzurura ipatakapo, na Kwakuwa Roho inapokwenda kuzurura ipatakapo, Bado inakuwapo connection inayoitwa SILVER CODE au Kamba ya Fedha ( (Mhubiri 12), hii huendelea kuunga Roho na mwili, ikikatika hii, ndo mwili unakufa, ndomana, ni hatari kumshitua mwili wa mtu ghafula akiwa usingizini.

NDOTO ni level ya chini katika Ulimwengu wa Roho, Maana Mungu husema na mtu katika maono mchana, lakini Kwa ubusy na kutojali, hawezi sikia sauti na maonyo ya Mungu, ndipo Mungu humsubiri Usiku alalapo Ili aseme nae.

Na Mungu asemapo na mtu ( Roho), husema nae katika ndoto au Ulimwengu wa Roho wa Ndoto.

NAFSI ni kiunganishi Cha mwili na Roho, hivyo Mungu asemapo na Roho, lazima NAFSI ipate taarifa na kutunza kumbukumbu katika akili, ndipo mtu atakusimulia ndoto.

Pia Roho inapoenda kuzurura, yenyewe unaweza ona vitu mbalimbali katika Ulimwengu wa Roho. Mtu ni ROHO, hivyo ikifanyika husuda au kikifanyika kikao chochote kizuri au kibaya duniani au Mbinguni, Roho hupata taarifa, na taarifa hiyo huja katika ndoto.

Mtu mara zote Yuko katika ndoto aotazo, ndoto ni HALISI, ziwe zimetokana na Shughuli za mwili au zile zilizotokea Roho ilipoenda kuzurura au Roho iliposema na Mungu.

2. MAONO.

Hii ni level ya juu zaidi kuliko ndoto. MAONO ni wazi, hutokea zaidi Kwa wengi waliofunguliwa macho ya Roho. Yaani ni Kwa wale wanaweza kuona ya Rohoni mchana kweupe, macho wazi.

Hii hutokea mara nyingi Kwa waombaji, waliojazwa Roho MTAKATIFU. Awapo katika maombi, ghafula anaweza kuona mambo yanayoendelea katika Ulimwengu wa Roho wa Nuru au wa Giza wazi WAZI.

Aweza kuona objects za kiroho macho wazi, level hii ni Kwa waliookoka, au walozi maana bila kuwa na utulivu kiakili ni Rahisi kuchanganyikiwa.

Katika kuomba au kuombea watu katika mikutano ya INJILI, Roho MTAKATIFU husema na wahubiri kupitia maono, macho ya Rohoni hufunguka na kuona chanzo Cha magonjwa au matatizo yanayowasibu waombewaji.

Aweza mtazama mwanamke na kuona nyoka ndani ya tumbo, na nyoka ni tafsiri ya Ibilisi hivyo kupata kujua lilipo tatizo na jinsi ya kulitatua.

Ukitembea unaweza sikia sauti ya Hali ya kiroho ya eneo unalokanyaga limebeba nini na linemilikiwa na nani katika Ulimwengu wa Roho, kama ni Nuru au Giza.

3. ULIMWENGU WA ROHO.

Ukiingia humo katika Ulimwengu wa Roho hakuna time, waeza ona the past, future au present.

Hakuna kizuizi, waeza ingia wewe mwenyewe sababu u Roho wewe, unaweza kingia kupitia Nuru au Giza ukisaidiwa na Mungu kupitia Malaika wake au kupitia Giza ukisaidiwa na Shetani kupitia mapepo.

Ikiwa uliwahi kwenda sehemu ambayo hujawahi kufika tangu Kuzaliwa Kwa mara ya kwanza na ulipofikia ukapata hisia na HAKIKA juu ya Mahali hapo ulikuwapo kabla, jua kuwa Roho Yako imewahi kukutangulia kwenda Mahali pale.

Mahali popote palipo na nyumba ya Ibada, katika Ulimwengu wa Roho, pale Pana MNARA, wachawi hukwepa minara hiyo, maana kuisogelea ni hatari anaweza naswa na kuangushwa chini.

Nyumba au viwanja ni muhimu kushirikisha watumishi wa Mungu kabla ya kununua au kujenga nyumba maana unaweza nunua kiwanja, kumbe ni madhabahu, kaburi au mahala pa WAFU, au ni ofisi ya watu wa Giza katika Ulimwengu wa Roho, na kukaa au kujenga eneo kama Hilo ni kujitafutia shida.

Msitu unaoonekana katika Ulimwengu wa mwili, inaweza kuwa ni gerezani, wafungwa, NAFSI zilizofungwa zinatunzwa Mahali pale,

Nimewahi kuendesha gari katika Ulimwengu wa Roho miaka mingi sana, na kipindi hicho sijui kuendesha gari, Sina lesseni, na kitu hicho kilijirudia mara Kwa mara,

Siku niliponunua gari Kwa mara ya kwanza, baada ya kujifunza na kuzoea kuendesha, maono ya namna Ile Ile niliyoyaona, katika Ulimwengu wa Roho miaka mingi iliyopota yalijirudia na nikaona exact ni kitu kile kile, gari lile lile mazingira Yale Yale, ndipo nikakumbuka kuwa mambo yote huanzia Rohoni.

Kila kitu ukionacho, kimeanzia katika Ulimwengu wa Roho. Na Ulimwengu wa Roho, upo upande wa Nuru na WA Giza.

Katika Ulimwengu wa Roho hakuna umbali, mtu aliye marekani, aweza ongea na mtu aliye Tanzania na wakaelewana.

Simu na television, na vitu vyote vya duniani vimetokea katika Ulimwengu wa Roho, WANADAMU wamecopy vilivyo katika Ulimwengu wa Roho na kuvileta katika Ulimwengu wa mwili.

Ukitaka kulala usiku, ukifunga milango katika Ulimwengu wa mwili, usisahau pia KUFUNGA milango katika Ulimwengu wa Roho, maana lock na makufuli ya nyumba Yako, katika mlango wako KIMWILI hayazuii objects za kiroho kuingia. Funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu Kwa kutamka " Nafunga milango yangu ya nyumba Kwa Damu ya Yesu" hapo wa Giza wakija, hawawezi kuingia sababu watakuta hakuna entrance, atakuwepo Malaika akilinda.

Katika Roho unaweza kuhudhuria kikao chochote Cha Siri, ndomana wapangao mambo mabaya juu ya watu wengine sirini, mipango Yao hujulikana. Ukimtaja mtu katika Roho kwenye kikao chochote jua atajua maudhui ya kikao iwe ni kupitia ndoto au maono.

Ulimwengu wa Roho ni MMOJA, ila kuingia, ni unaweza kuingia kupitia Nuru au Giza.

Lakini pia Kwa kuwa mtu mwenyewe ni ROHO, automatically anaweza kuingia katika Ulimwengu wa Roho.

Ulimwengu wa Roho Kuna magari, nyoka, wanyama mbalimbali, magonjwa nknk kama tu duniani, wachawi, hute geneza Matukio katika Ulimwengu wa Roho na kumtumia mtu makombora, na ikiwa mtu huyo Hana ulinzi, ikiwa alitengenezewa Ajali huko, itakuja Kutokea katika uhalisia.

Kuwa makini na ndoto unazoota, maana mtu ni ROHO, na kwenye ndoto, ndiko kwenye uhalisia.

Ikiwa unaota ndoto zinazojirudia una maisha mazuri, una magari familia nzuri yenye furaha, ilhali uko katika lindi la Umaskini, unatakiwa ujue kuwa IPO haja ya kubadili ndoto kuja katika uhalisia kupitia Maombi.

HITIMISHO.

1. Hakikisha unaandika ndoto ambazo umeziota na huzielewi, maana ndoto hutumia mafumbo. Usipuuzie ndoto maana zingine ni jumbe zinazohutaji utekelezaji wa haraka, mf Umepewa ujumbe katika ndoto ambao unakuarifu kuahirisha safari uliyopanga kusafiri kesho yake, ukipuuza tatizo litatokea na utapata madhara.

2. Ikiwa unapitia Hali ngumu kimaisha, Jenga Mnara wako katika Ulimwengu wa Roho.

Maisha ya maombi ni kujenga Mnara, ni kuhamisha baraka zako zilizo katika Ulimwengu wa Roho na kuzileta katika Ulimwengu wa mwili kupitia Maombi. Kama ambavyo wabaya wamekuweza Kwa kuanzia katika Ulimwengu wa Roho wa Giza, pia unaweza kujenga Mnara wako wa maombi kupitia Ulimwengu wa Roho wa Nuru, Malaika wako watakusaidia kupitia Mnara huo utakaorefuka kadri unavyoomba Hadi Mbinguni.

3. NDOTO ni lango, kabla ya kulala, funga lango la ndoto zako Kwa Damu ya Yesu. Tamka, Nafunga lango la ndoto lisitumiwe na adui kunishambulia nilalapo Kwa Damu ya Yesu. Pia Fungua lango la ndoto Kutoka Kwa MUNGU Ili upokee taarifa na maelekezo ya Mungu ulalapo.

4. Epuka kuchanja chale au kwenda Kwa Waganga, kufanya hivyo kunaondoa ulinzi wako wa asili, unafungua milango na antenna za kichawi katika Ulimwengu wa Roho wa Giza kukusumbua, chale ni sawa na chip ndani ya MWILI wa tembo pale Serengeti, inaonekana everywhere.

5. Maisha ya dhambi yanapunguza ulinzi wa Malaika wako uliopewa na Mungu tangu Kuzaliwa. Pia maisha ya dhambi yanatoa KIBALI Kwa shetani na Ulimwengu wa Roho wa Giza kuteka baraka zako na kukuacha fukara, mgonjwa usiye na mwelekeo.

Ikiwa hujaokoka,fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE,UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO. AMEN



Mungu wa Mbinguni awabariki 🙏
Duuh...kuna ndoto za ulimwengu wa giza zinaniandama sana alafu sijazitaftia solution bado.
 
Salaam, Shalom!!

INTRODUCTION

(Matendo 2:17-18) na (Waefeso 1:3)

MTU ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI. Roho inapoungana na mwili, kinaumbika kitu kinachoitwa NAFSI.

Mwili una vitu vinavyoshikika na kuonekana kama Ubongo ,misuli nk nk

NAFSI ni kiunganishi kati ya Roho na mwili, ndani ya NAFSI Kuna dhamira ambapo Kila linalotokea maamuzi hufanyika Kwa kusikilizia mwili au Roho.

Akili Iko katika NAFSI, lakini ubongo uko katika mwili. Dhamira,Huzuni, hisia pia vinapatikana katika NAFSI.

Mara zote mwili na Roho vipo katika mashindano vikivutana, hapo dhamira au Will hukaa muda wote ikiamua kuisikiliza Roho au mwili.

Kwakuwa mtu ni ROHO, lazima aingie katika Ulimwengu wa Roho ambamo Kuna NDOTO na MAONO.

MADA: PAMBANUA, NDOTO, MAONO, ULIMWENGU WA ROHO.

NDOTO + MAONO= ULIMWENGU WA ROHO.

Ulimwengu wa Roho ni mpana zaidi,Ndani ya Ulimwengu wa Roho Kuna NDOTO na Maono.

1. NDOTO
NDOTO imo ndani ya Ulimwengu wa Roho. Ni lugha ya picha inayotafsiriwa na NAFSI. Pia katika ndoto Pana sauti Kutoka Ulimwengu wa Roho.

Nimeeleza hapo juu, NAFSI ni kiunganishi kati ya MWILI na Roho,

Hivyo, zipo ndoto zitakazokujia kutokana na shughuli za Kila siku, mfano ukichoka au ukila sana Kuna NDOTO zake.

Pia zipo ndoto zinazotokana na Roho. Mtu alalapo, mwili hupumzika, Roho hupata muda wa kuzurura ipatakapo, na Kwakuwa Roho inapokwenda kuzurura ipatakapo, Bado inakuwapo connection inayoitwa SILVER CODE au Kamba ya Fedha ( (Mhubiri 12), hii huendelea kuunga Roho na mwili, ikikatika hii, ndo mwili unakufa, ndomana, ni hatari kumshitua mwili wa mtu ghafula akiwa usingizini.

NDOTO ni level ya chini katika Ulimwengu wa Roho, Maana Mungu husema na mtu katika maono mchana, lakini Kwa ubusy na kutojali, hawezi sikia sauti na maonyo ya Mungu, ndipo Mungu humsubiri Usiku alalapo Ili aseme nae.

Na Mungu asemapo na mtu ( Roho), husema nae katika ndoto au Ulimwengu wa Roho wa Ndoto.

NAFSI ni kiunganishi Cha mwili na Roho, hivyo Mungu asemapo na Roho, lazima NAFSI ipate taarifa na kutunza kumbukumbu katika akili, ndipo mtu atakusimulia ndoto.

Pia Roho inapoenda kuzurura, yenyewe unaweza ona vitu mbalimbali katika Ulimwengu wa Roho. Mtu ni ROHO, hivyo ikifanyika husuda au kikifanyika kikao chochote kizuri au kibaya duniani au Mbinguni, Roho hupata taarifa, na taarifa hiyo huja katika ndoto.

Mtu mara zote Yuko katika ndoto aotazo, ndoto ni HALISI, ziwe zimetokana na Shughuli za mwili au zile zilizotokea Roho ilipoenda kuzurura au Roho iliposema na Mungu.

2. MAONO
Hii ni level ya juu zaidi kuliko ndoto. MAONO ni wazi, hutokea zaidi Kwa wengi waliofunguliwa macho ya Roho. Yaani ni Kwa wale wanaweza kuona ya Rohoni mchana kweupe, macho wazi.

Hii hutokea mara nyingi Kwa waombaji, waliojazwa Roho MTAKATIFU. Awapo katika maombi, ghafula anaweza kuona mambo yanayoendelea katika Ulimwengu wa Roho wa Nuru au wa Giza wazi WAZI.

Aweza kuona objects za kiroho macho wazi, level hii ni Kwa waliookoka, au walozi maana bila kuwa na utulivu kiakili ni Rahisi kuchanganyikiwa.

Katika kuomba au kuombea watu katika mikutano ya INJILI, Roho MTAKATIFU husema na wahubiri kupitia maono, macho ya Rohoni hufunguka na kuona chanzo Cha magonjwa au matatizo yanayowasibu waombewaji.

Aweza mtazama mwanamke na kuona nyoka ndani ya tumbo, na nyoka ni tafsiri ya Ibilisi hivyo kupata kujua lilipo tatizo na jinsi ya kulitatua.

Ukitembea unaweza sikia sauti ya Hali ya kiroho ya eneo unalokanyaga limebeba nini na linemilikiwa na nani katika Ulimwengu wa Roho, kama ni Nuru au Giza.

3. ULIMWENGU WA ROHO
Ukiingia humo katika Ulimwengu wa Roho hakuna time, waeza ona the past, future au present.

Hakuna kizuizi, waeza ingia wewe mwenyewe sababu u Roho wewe, unaweza kingia kupitia Nuru au Giza ukisaidiwa na Mungu kupitia Malaika wake au kupitia Giza ukisaidiwa na Shetani kupitia mapepo.

Ikiwa uliwahi kwenda sehemu ambayo hujawahi kufika tangu Kuzaliwa Kwa mara ya kwanza na ulipofikia ukapata hisia na HAKIKA juu ya Mahali hapo ulikuwapo kabla, jua kuwa Roho Yako imewahi kukutangulia kwenda Mahali pale.

Mahali popote palipo na nyumba ya Ibada, katika Ulimwengu wa Roho, pale Pana MNARA, wachawi hukwepa minara hiyo, maana kuisogelea ni hatari anaweza naswa na kuangushwa chini.

Nyumba au viwanja ni muhimu kushirikisha watumishi wa Mungu kabla ya kununua au kujenga nyumba maana unaweza nunua kiwanja, kumbe ni madhabahu, kaburi au mahala pa WAFU, au ni ofisi ya watu wa Giza katika Ulimwengu wa Roho, na kukaa au kujenga eneo kama Hilo ni kujitafutia shida.

Msitu unaoonekana katika Ulimwengu wa mwili, inaweza kuwa ni gerezani, wafungwa, NAFSI zilizofungwa zinatunzwa Mahali pale,

Nimewahi kuendesha gari katika Ulimwengu wa Roho miaka mingi sana, na kipindi hicho sijui kuendesha gari, Sina lesseni, na kitu hicho kilijirudia mara Kwa mara,

Siku niliponunua gari Kwa mara ya kwanza, baada ya kujifunza na kuzoea kuendesha, maono ya namna Ile Ile niliyoyaona, katika Ulimwengu wa Roho miaka mingi iliyopota yalijirudia na nikaona exact ni kitu kile kile, gari lile lile mazingira Yale Yale, ndipo nikakumbuka kuwa mambo yote huanzia Rohoni.

Kila kitu ukionacho, kimeanzia katika Ulimwengu wa Roho. Na Ulimwengu wa Roho, upo upande wa Nuru na WA Giza.

Katika Ulimwengu wa Roho hakuna umbali, mtu aliye marekani, aweza ongea na mtu aliye Tanzania na wakaelewana.

Simu na television, na vitu vyote vya duniani vimetokea katika Ulimwengu wa Roho, WANADAMU wamecopy vilivyo katika Ulimwengu wa Roho na kuvileta katika Ulimwengu wa mwili.

Ukitaka kulala usiku, ukifunga milango katika Ulimwengu wa mwili, usisahau pia KUFUNGA milango katika Ulimwengu wa Roho, maana lock na makufuli ya nyumba Yako, katika mlango wako KIMWILI hayazuii objects za kiroho kuingia. Funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu Kwa kutamka " Nafunga milango yangu ya nyumba Kwa Damu ya Yesu" hapo wa Giza wakija, hawawezi kuingia sababu watakuta hakuna entrance, atakuwepo Malaika akilinda.

Katika Roho unaweza kuhudhuria kikao chochote Cha Siri, ndomana wapangao mambo mabaya juu ya watu wengine sirini, mipango Yao hujulikana. Ukimtaja mtu katika Roho kwenye kikao chochote jua atajua maudhui ya kikao iwe ni kupitia ndoto au maono.

Ulimwengu wa Roho ni MMOJA, ila kuingia, ni unaweza kuingia kupitia Nuru au Giza.

Lakini pia Kwa kuwa mtu mwenyewe ni ROHO, automatically anaweza kuingia katika Ulimwengu wa Roho.

Ulimwengu wa Roho Kuna magari, nyoka, wanyama mbalimbali, magonjwa nknk kama tu duniani, wachawi, hute geneza Matukio katika Ulimwengu wa Roho na kumtumia mtu makombora, na ikiwa mtu huyo Hana ulinzi, ikiwa alitengenezewa Ajali huko, itakuja Kutokea katika uhalisia.

Kuwa makini na ndoto unazoota, maana mtu ni ROHO, na kwenye ndoto, ndiko kwenye uhalisia.

Ikiwa unaota ndoto zinazojirudia una maisha mazuri, una magari familia nzuri yenye furaha, ilhali uko katika lindi la Umaskini, unatakiwa ujue kuwa IPO haja ya kubadili ndoto kuja katika uhalisia kupitia Maombi.

HITIMISHO
1. Hakikisha unaandika ndoto ambazo umeziota na huzielewi, maana ndoto hutumia mafumbo. Usipuuzie ndoto maana zingine ni jumbe zinazohutaji utekelezaji wa haraka, mf Umepewa ujumbe katika ndoto ambao unakuarifu kuahirisha safari uliyopanga kusafiri kesho yake, ukipuuza tatizo litatokea na utapata madhara.

2. Ikiwa unapitia Hali ngumu kimaisha, Jenga Mnara wako katika Ulimwengu wa Roho.

Maisha ya maombi ni kujenga Mnara, ni kuhamisha baraka zako zilizo katika Ulimwengu wa Roho na kuzileta katika Ulimwengu wa mwili kupitia Maombi. Kama ambavyo wabaya wamekuweza Kwa kuanzia katika Ulimwengu wa Roho wa Giza, pia unaweza kujenga Mnara wako wa maombi kupitia Ulimwengu wa Roho wa Nuru, Malaika wako watakusaidia kupitia Mnara huo utakaorefuka kadri unavyoomba Hadi Mbinguni.

3. NDOTO ni lango, kabla ya kulala, funga lango la ndoto zako Kwa Damu ya Yesu. Tamka, Nafunga lango la ndoto lisitumiwe na adui kunishambulia nilalapo Kwa Damu ya Yesu. Pia Fungua lango la ndoto Kutoka Kwa MUNGU Ili upokee taarifa na maelekezo ya Mungu ulalapo.

4. Epuka kuchanja chale au kwenda Kwa Waganga, kufanya hivyo kunaondoa ulinzi wako wa asili, unafungua milango na antenna za kichawi katika Ulimwengu wa Roho wa Giza kukusumbua, chale ni sawa na chip ndani ya MWILI wa tembo pale Serengeti, inaonekana everywhere.

5. Maisha ya dhambi yanapunguza ulinzi wa Malaika wako uliopewa na Mungu tangu Kuzaliwa. Pia maisha ya dhambi yanatoa KIBALI Kwa shetani na Ulimwengu wa Roho wa Giza kuteka baraka zako na kukuacha fukara, mgonjwa usiye na mwelekeo.

Ikiwa hujaokoka,fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO. AMEN

Mungu wa Mbinguni awabariki 🙏
Utaniwia radhi, kwa kuwa nimemsoma bingwa wa elimu ya Nafs aitwae Imam Al-Ghazali, kazi yako naiona kuwa ipo too shallow.

Nakushauri tafuta vitabu vya Imam Ghazali utaelewa kwa undani zaidi kuhusu roho, nafsi na mengineyo mengi yanayohusiana.

Ana-maandiko mengi sana kuhusu hayo na kila moja ni "masterpiece", uzuri ni kuwa kwa sasa vimetafsiriwa Kingereza.

Huu, fata link, ni mfano wa kazi yake mojawapo:

 
Uaniwia radhi, kwa kuwa nimemsoma bingwa wa elimu ya Nafs aitwae Imam Ghazali, kazi yako naiona kuwa ipo too shallow.

Nakushauri tafuta vitabu vya Imam Ghazali utaelewa kwa undani zaidi kuhusu roho, nafsi na mengineyo mengi yanayohusiana.

Ana-maandiko mengi sana kuhusu hayo na kila moja ni "masterpiece", uzuri ni kuwa kwa sasa vimetafsiriwa Kingereza.

Huu, fata link, ni mfano wa kazi yake mojawapo:

Roho mtakatifu ndiye mwalimu wa walimu, huyo mwanadamu Hana lolote kumzidi mwalimu wangu.
 
Utaniwia radhi, kwa kuwa nimemsoma bingwa wa elimu ya Nafs aitwae Imam Al-Ghazali, kazi yako naiona kuwa ipo too shallow.

Nakushauri tafuta vitabu vya Imam Ghazali utaelewa kwa undani zaidi kuhusu roho, nafsi na mengineyo mengi yanayohusiana.

Ana-maandiko mengi sana kuhusu hayo na kila moja ni "masterpiece", uzuri ni kuwa kwa sasa vimetafsiriwa Kingereza.

Huu, fata link, ni mfano wa kazi yake mojawapo:

Nashauri watu wasisome kitabu ulichoweka hapo Ili kuepuka kurushiwa majini nje nje!!
 
Kuna wengine wanajazwa Roho MTAKATIFU tangu tumboni kama Yohana mbatizaji au Yesu,

Pia Kuna wengine wanazaliwa na kuurithi Roho za Mizimu tangu tumboni.

Watu wa aina hiyo macho Yao ya Rohoni Huwa wazi, wanaona.

Ukitaka uone wazi WAZI na uweze kushinda vita katika Ulimwengu wa Roho kiuchumi, kiroho nk nk,

Dumu katika maombi. Hakikisha Unadumu katika maombi, unajenga Mnara wako kupitia msaada wa Roho mtakatifu. Usilale bila kuomba.

Ubarikiwe.
Barikiwa sana mkuu Rabbon hakika nimekuelewa.
 
Kama mimi kuna ndoto nimeota juzi haijanitoka kichwani. Niliota nimeketi kwenye kiti cha heshima cha juu kabisa, naposema juu namaanisha juu haswa, huku chini yangu wakiwa wameketi kaka yangu, ndugu jamaa pamoja na watu wengine.Ila kile kiti kama vile hakikuwekwa vizuri maana hakikuwa na nafasi ya kuegemea vizuri kwa nyuma, na sehemu ya kukalia ilikuwa ndogo kidogo na jinsi kilivyo juu sana nikawa naogopa kuanguka.

Ndoto hii itakuwa na maana gani?



Rabbon
 
Elezea ndoto hizo hapa, utapata ufumbuzi Kwa msaada wa Roho mtakatifu.
Ok,
Brother kama hutajali niachie mawasiliano yako ya simu hapa nitakutafta nikusimulie na kama ni mwongozo wa toba utanipa.

Nimepitia masaibu mengi sana/hadi sasa napitia kwa mambo tu ya kijinga ambayo sina ya kumlaumu zaidi ya mimi mwenyewe.

Kuna jamaa mmoja aliposti uzi wa kiroho humu ndani, nikasoma nikafarijika, nikasema ngioja nimwombe jamaa mawasiliano yako naweza kupata msaada zaidi wa kiroho maana nitamfungukia vitu ambavyo huenda hapa sitoweza kufunguka yote kutokana na privacy.

Lakini nilivyo m-pm mshikaji akanitukana na kunambia mimi ni scam, nikaamua kupotezea tu nikamwambia asante brother nitapata tu msaada wa kiroho kwingine kama kweli Mungu ananipenda na anania ya kuniponya kwenye njia niliyoko sasahivi basi atafanya hivo kwa wakati.

Leo nimeona uzi wako nikabaki najisikitikia tu na mandoto yangu ya kutisha tisha alafu siya elewi tafsiri zake zaidi moja tu inahusiana na nyoka ndiyo niliielewa elewa kidogo japo bado sikujua nifanye nini nikakaa ivo ivo mpaka leo.

Lakini kama hutojali, naomba mawasiliano yako ya simu, nitafunguka kila kitu, vingine ni vya aibu sana hata naogopa kusema hapa labda nibadili ID
 
Utaniwia radhi, kwa kuwa nimemsoma bingwa wa elimu ya Nafs aitwae Imam Al-Ghazali, kazi yako naiona kuwa ipo too shallow.

Nakushauri tafuta vitabu vya Imam Ghazali utaelewa kwa undani zaidi kuhusu roho, nafsi na mengineyo mengi yanayohusiana.

Ana-maandiko mengi sana kuhusu hayo na kila moja ni "masterpiece", uzuri ni kuwa kwa sasa vimetafsiriwa Kingereza.

Huu, fata link, ni mfano wa kazi yake mojawapo:

Mim nimekipenda hiki kitabu. Kama unacho ni vyema nikakipata maana nimesoma intro tu.

Cha msingi, imani na kuheshim imani ya kila mtu.

Mungu ni mwema kwa kila jambo katika jina la Baba, mwana na roho mtakatifu
 
Back
Top Bottom