Pambalu: Watu wanachimbishwa mitaro kupata pesa za TASAF

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
1,966
5,347
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa, John Pambalu amedai kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanafanyishwa kazi ambazo si jukumu lao kuzifanya ikiwamo kutengeneza barabara, ili wapewe pesa za Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF).

Pambalu ameyasema hayo siku ya Jumapili Februari 16, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Igunga mkoani Tabora.
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa, John Pambalu amedai kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanafanyishwa kazi ambazo si jukumu lao kuzifanya ikiwamo kutengeneza barabara, ili wapewe pesa za Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF).

Pambalu ameyasema hayo siku ya Jumapili Februari 16, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Igunga mkoani Tabora.
View attachment 3238984
Mh. Kijana wa BAVICHA; Umeielewa Sera ya TASAF vizuri na kwa usahihi wake? i.e. Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF)?
Kwani huo Mpango unamaanisha walengwa wasifanye kazi? Ushauri wangu: Inakua ni vizuri na inapendeza zaidi Kiongozi mkubwa kama ww akalielewa jambo halafu akalifikisha kwa usahihi na ukamilifu wake kwa wananchi au walengwa wa Mpango husika. Katika hali ya kawaida, ww kiongozi unao uwezo wa kumtaka Mwezeshaji wa TASAF ahudhurie kikao na atoe maelezo ya kina kuhusu Mpango mzima wa TASAF, halafu Kiongozi wa kikao i.e. Wewe(BAVICHA); Upokee maswali au katika kuzungumzia Agenda hiyo upite mule-mule kwa ukizingatia alichokisema mwezeshaji wa TASAF. Tofauti na hapo itawachanganya wananchi na Mpango mzima utaanza kuchukua sura ya kisiasa. Ni hayo tu.
 
Mh. Kijana wa BAVICHA; Umeielewa Sera ya TASAF vizuri na kwa usahihi wake? i.e. Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF)?
Kwani huo Mpango unamaanisha walengwa wasifanye kazi? Ushauri wangu: Inakua ni vizuri na inapendeza zaidi Kiongozi mkubwa kama ww akalielewa jambo halafu akalifikisha kwa usahihi na ukamilifu wake kwa wananchi au walengwa wa Mpango husika. Katika hali ya kawaida, ww kiongozi unao uwezo wa kumtaka Mwezeshaji wa TASAF ahudhurie kikao na atoe maelezo ya kina kuhusu Mpango mzima wa TASAF, halafu Kiongozi wa kikao i.e. Wewe(BAVICHA); Upokee maswali au katika kuzungumzia Agenda hiyo upite mule-mule kwa ukizingatia alichokisema mwezeshaji wa TASAF. Tofauti na hapo itawachanganya wananchi na Mpango mzima utaanza kuchukua sura ya kisiasa. Ni hayo tu.
Hawa ndio think tank ya chadema. Just imagine!!
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa, John Pambalu amedai kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanafanyishwa kazi ambazo si jukumu lao kuzifanya ikiwamo kutengeneza barabara, ili wapewe pesa za Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF).

Pambalu ameyasema hayo siku ya Jumapili Februari 16, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Igunga mkoani Tabora.
View attachment 3238984
Hili jamaa kweli hamnazo kama hawa ndio watoa maamuzi chama kinaenda kufa
 
Hili jamaa kweli hamnazo kama hawa ndio watoa maamuzi chama kinaenda kufa
Aisee! Dah! Ameniangusha kweli mm kama mwezeshaji mtarajiwa wa TASAF ngazi ya Wilaya(Halmashauri). Ona sasa watu watadhani kazi ya TASAF ni kugawa fedha bure kwa Jamii alimradi kaya yako hiyo iwe ni kaya masikini.:AYOOO:
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa, John Pambalu amedai kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanafanyishwa kazi ambazo si jukumu lao kuzifanya ikiwamo kutengeneza barabara, ili wapewe pesa za Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF).

Pambalu ameyasema hayo siku ya Jumapili Februari 16, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Igunga mkoani Tabora.
View attachment 3238984
CHADEMA YA SASA KILA MTU ANAZUNGUMZA KINACHOMJIA KICHWANI
 
Huelewi chochote.
Watu wanafanyishwa kazi kama vibarua, wakati hela za kulipa vibarua zipo.
Hapana. Funguka na uelewe Ni nini TASAF na Malengo yake. Wale walengwa wanafanya kazi kidogo isiyoendana na Malipo makubwa wanayopata (not equal to Value for Money) tena inatakiwa uwe up-to-date kujua ajira siku hizi ni kitu adimu. Watu/Matajiri huwa wanaajiri watu "Able bodied" na sio wazee au watu ambao hawana utegemezi mahali popote e.g. wajane/wagani wasio na watoto wakuwapiga tafu au Jamii imeshindwa kuwasupport katika mahitaji yao ya lazima (Basic needs)Chakula, Makazi, Mavazi au Afya tofauti na hapo ina mana Mlengwa ataathirika vibaya zaidi na anaweza kupoteza uhai/maisha.
Unasema: "Hela za kulipa vibarua zipo. Je; Zipo kwa nani na zina maelekezo gani? Ingelifaa Kukumbuka na kuzingatia kwamba "Hakuna hela ya mgao" na inapendeza zaidi kujiepusha kuwa mmojawapo wa "Maskini jeuri" au kuwapotosha walengwa wadhani kwamba Watazawadiwa Fedha kwa ile hali yao ya kuwa kaya masikini. Hiyo TASAF haipo kwa hilo na wananchi wanapaswa wawekewe bayana in black &white kwenye Ile mikutano ya awali Community Awareness Creation tena jambo hilo liwe linasisitizwa mara kwa mara kwa uongozi wa vijiji teule ili zoezi la kuwatambua Walengwa liwe ni la Haki.
 
Huelewi chochote.
Watu wanafanyishwa kazi kama vibarua, wakati hela za kulipa vibarua zipo.
Nafahamu sana. Ninyi wadandia mada kazi yenu kuropoka tu. Mimi nimehudhuria Semina ya hilo suala na makubaliano yaliyofikiwa nayajua.

Halafu cha kukusaidia, Kuna pesa ya TASAF ili uipate LAZIMA ufanye kazi ndio ulipwe. Unalijua hilo?
 
Hata mm namshangaa. TASAF haijaanza leo na Utekelezaji wake Upo ndani ya Halmashauri ya Wilaya husika.
Vijinga sana hivi vitoto. Lakini kwa Mwl. Pambalu simshangai. Yeye Mwalimu na mamaake Mwalimu, lakini kutwa kucha anatukana walimu! Ovyo kabisa!
 
Nafahamu sana. Ninyi wadandia mada kazi yenu kuropoka tu. Mimi nimehudhuria Semina ya hilo suala na makubaliano yaliyofikiwa nayajua.

Halafu cha kukusaidia, Kuna pesa ya TASAF ili uipate LAZIMA ufanye kazi ndio ulipwe. Unalijua hilo?
Sidhani kama analijua hilo. Angelikuwa analijua hilo, asingeandika hayo aliyoandika.
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa, John Pambalu amedai kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanafanyishwa kazi ambazo si jukumu lao kuzifanya ikiwamo kutengeneza barabara, ili wapewe pesa za Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF).

Pambalu ameyasema hayo siku ya Jumapili Februari 16, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Igunga mkoani Tabora.
View attachment 3238984
Kwaza mpango wa TASAF sidhani kama unawakamua wananchi maskini au unawakwamua wafanyakazi WATASAF. Kwasababu unakuta inapita kami miezi sita au saba alafu watu wanakuja kugawiwa 45,000 tena baada ya kufanya kazi ngumu, wengi wao ni wazee na walemavu ambao wengi wao wametelekezwa na watototo sao na ndugu zao. Kuna baadhi wamebahatika wamejengewa chumba k,imoja cha kujisitiri n.k. mimi kwa maoni yangu shirika la TASAF lije na mipango yakuzikwamua hizo kaya maskini la sivyo itazidi kuzalisha. Kwa sababu hawaangalii nini,, na chanzo cha huyo mtu kuwa hivyo je tufanyeje ili asitokee mtu mwingine wasampuri hii. Sidhaani kama mfumo wanakwenda nao ni sahihi wao wanazunguka na magari ya thamani na wafanyakazi wanalipwa mishara minono wanawaendea watu dhoofu hali. Basi hizo kazi wanazo wapa zingekuwa za permanent ili wajue kila mwezi wanapata hicho kiasi kidogo.
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa, John Pambalu amedai kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanafanyishwa kazi ambazo si jukumu lao kuzifanya ikiwamo kutengeneza barabara, ili wapewe pesa za Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF).

Pambalu ameyasema hayo siku ya Jumapili Februari 16, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Igunga mkoani Tabora.
View attachment 3238984
Ajira za muda ni mojawapo ya mipango ndani ya TASAF. Hauhusiani na mpango wa kunusuru kaya masikini.
 
Back
Top Bottom