FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 39,352
- 45,376
Yuko paradiso huko akila maisha na wake zake watano na watoto kibao, analipwa dolla za kimarekani 100,000/= kwa mwezi. Nasikia hata Balali alikimbilia huko; hivi huko Bahamas kuna nini?
======================================
Hii picha ya upande wa kulia ni photoshop ya upande wa kushoto, hii picha ya akiwa amekufa ni photoshop, tumelishwa matango pori
======================================
Hii picha ya upande wa kulia ni photoshop ya upande wa kushoto, hii picha ya akiwa amekufa ni photoshop, tumelishwa matango pori