kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,921
- 7,173
Naunga mkono hoja, usilipe, usilipe, usilipe, usilipe, usilipe, usilipe milele yote hadi mungu atakapokupenda zaidi.hakya nanihii hata kwa upanga wa moto mie silipi! Nilipigwa mabomu baada ya mkopo kuchelewa kwa miezi 2 tuapigwa mibomu, nikavunjwa mguu na ndani nikalala bila kupelekwa Hosp. hadi leo natembea mguu huu nauvuta kwani haukurudi sawa tena! Silipi! silipi! labda nao waandamane tuwapige maweee! Na bado sitolipa! WAENDE WAKADAI ZA ESCROW, EPA.MEREMETA, RADER, RALCO, NSSF na IPTL.