Ona hawa wasichana wachafu wa tabia na wanachotaka

Najua zinapopatikana fake hair...fake kope...fake rangi....but naomba unielekeze tafadhali ni wapi zinapopatikana FAKE VOICE n FAKE SMILE...NIjinyakulie na mie....
Utoto nao tabu tubu....HATA HAMUELEWI MKIDEKEWA...WACHA VIBABU VINAOVELEWA MAMBO VIENDELEE KUTUPETI PETI NYIE KAENI KULALAMIKA FAKE SMILE...NA FAKE VOICE...NA VIJI_SIX PACK VYENU VYA PLASTIC SURGERY....
Hahaa!! Vyote hivyo vinatengenezeka, kuna wanaofanyiwa operation maalum za koo ili sauti iwe nyororo na wengine sura ili wawe na smile fulani hivi(Hayo yako ulaya na marekani zaidi) ila kibongobongo unajifunza namna na kutega sauti na tabasamu fulani hivi fake ili uonekane model fulani mkalii kumbe zagazaga tu.

Vibinti siku hivi viko busy vyumbani na vyioo vya kujitazama kufanya mazoezi ya kutabasamu kimtegomtego, na kufanya mazoezi ya kubana pua.
 
Hahaa!! Vyote hivyo vinatengenezeka, kuna wanaofanyiwa operation maalum za koo ili sauti iwe nyororo na wengine sura ili wawe na smile fulani hivi(Hayo yako ulaya na marekani zaidi) ila kibongobongo unajifunza namna na kutega sauti na tabasamu fulani hivi fake ili uonekane model fulani mkalii kumbe zagazaga tu.

Vibinti siku hivi viko busy vyumbani na vyioo vya kujitazama kufanya mazoezi ya kutabasamu kimtegomtego, na kufanya mazoezi ya kubana pua.

Kha..sasa tatizo liko wapi kama watu wanafanya mazoezi ya kurembesha sauti zao...
Hayo ya ulaya tuwaachie wa ulaya kwa sasa untill then...ndio mnajifanya hampendi hizi sauti za kumtoa nyoka pangoni au mnakiri udhaifu vile hivi vi so called FAKE vinavyowakaushia ATM zenu bila shuruti...hahahaa eeeh....sitaka nataka...
 
Sikuizi si zipo na bikra fekiii
Wanachukua na unanii wa mwanaume fekii wanatumiaaaaa.......
 
Back
Top Bottom