Ona hawa wasichana wachafu wa tabia na wanachotaka

Lelloh

Member
May 6, 2015
53
9
Iko hivi kubali kataa
©©©©©©©©©
Msichana unakuta
��Nywele sio zake
��Kucha sio zake
��Matiti sio yake
��Makalio sio yake
��Kope sio zake
��Nyusi sio zake
��Rangi sio yake halisi
��Meno sio yake halisii
��Sasa isitoshe matokeo sio yake kananii na mwalimu ili apewe
✅Mmmmmh!
��Sikia sasa maneno yake,
��Nataka mwanaume anayejiheshimu, ananijali, atanipenda , anavaa vizuriii, rangii ya isiyo na shida

Wee yani sisi tuoe midoli
 
kwani matiti yake yameenda wapi? hapo vingine havina ukweli mkuu
 
Hata macho pia wengine huyabadilisha rangi sijui wanawekaga kitu gani kile yanakuwa kama ya paka vile
 
Mkuu unazunguka mbuyu mbona huyo anaitwa WEMA SEPETU wenyewe wanamuita Michilizi kila kitu chake fake
 
Lelloh

Kitu pekee ambacho huyo mwanamke uliyemtaja kashindwa kubadilisha ni Kuleta Umoja Maendeleo Africa
 
Last edited by a moderator:
Msimsahau cha usiku ana miguu ya coca cola! Wana jipodoa sana !! Mpaka miguu inakuwa tofauti na uso ! Uso mweupe ila miguu ya rangi ya coca
 
Ukweli mtupu, kwa kuongezea tu
1/Sauti sio ya kwake.(Fake voice)
2/Urefu sio wa kwake(kavaa tuviatu turefuu).
3/Umri sio wa kwake.(huwa umri wao haongezeki,unarudi nyuma tu).
4/Jina sio la kwake(anatafuta jina lenye mvuto fulani)
5/Dini sio ya kwake(Utawakuta misikitini na makanisani wanajifanya ni malaika fulani)
6/Kabila sio la kwake(kila siku anabadilisha kabila kulingana na mazingira)
7/Tabasamu sio la kwake(Fake smile)
 
Ukweli mtupu, kwa kuongezea tu
1/Sauti sio ya kwake.(Fake voice)
2/Urefu sio wa kwake(kavaa tuviatu turefuu).
3/Umri sio wa kwake.(huwa umri wao haongezeki,unarudi nyuma tu).
4/Jina sio la kwake(anatafuta jina lenye mvuto fulani)
5/Dini sio ya kwake(Utawakuta misikitini na makanisani wanajifanya ni malaika fulani)
6/Kabila sio la kwake(kila siku anabadilisha kabila kulingana na mazingira)
7/Tabasamu sio la kwake(Fake smile)

Najua zinapopatikana fake hair...fake kope...fake rangi....but naomba unielekeze tafadhali ni wapi zinapopatikana FAKE VOICE n FAKE SMILE...NIjinyakulie na mie....
Utoto nao tabu tubu....HATA HAMUELEWI MKIDEKEWA...WACHA VIBABU VINAOVELEWA MAMBO VIENDELEE KUTUPETI PETI NYIE KAENI KULALAMIKA FAKE SMILE...NA FAKE VOICE...NA VIJI_SIX PACK VYENU VYA PLASTIC SURGERY....
 
Tusiwadharau jamani, hawa ni mama zetu?? Jiulize wewe, mama yako ana titi konzi au ndala?? Tusikosoe uumbaji wa Mungu,,,

Hakuna mtu anayekosoa uumbaji mzuri wa Mungu, tunawadharau wanawake wote wanao-fake maumbile yao na uhalisia wao ili waonekane warembo.
Kama ana titi ndala basi aliwekee hivyo hivyo ili mwanaume anayependa titi ndala amchumbie, sio kuyapiga jeki manyonyo ili yaonekane skonzi na handsome boy akamatike.
 
Back
Top Bottom