Ommy Dimpozi: Mabinti wananisumbua sana

Hahahaha... Wapi??? Kama cyo true boy angefunguka??? Sio huyu alikuwa anampost insta anasema ni binamu yake Leo kawa mupenzi.. Chaaaaaaaaaa
 
mabinti bhana,acheni ni nowma kwa Kuji bebixaa tuu mpo vizuriii htary, hata Kama dimpoz kampost demu wakee hawatoachaa kwanza wataanza kumpondaa hyoo Dada ,eti hajui kuvaa wakati ukimuangalia ww hyoo bintii kavaa vizury haxaa cjui xhida nn kwaooo

Mi nahxii hii kxkiaa kuwa wapo wengii dunianai kwa idadi ndoo inawasumbuuaaa

mngekuwa wachachee nahxii tungewasumbua xanaa nyiie mabintiii
 
640x640x13118112_615300868638474_172335028_n-300x194.jpg.pagespeed.ic.0Oyx13x4W2.jpg


Ommy Dimpoz ametaja sababu kubwa ya kumuweka mpenzi wake wazi ni kupunguza kasi ya wasichana wanaomwinda.

Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, kinachoruka kupitia EA Radio, Ommy Dimpoz alisema ameamua kumweka wazi mpenzi wake ili apunguze usumbufu.

“Unajua saa hizi nimeamua kumweka wazi mpenzi wangu ili wajue yupo na kupunguza usumbufu kwa watoto wa kike ambao wanadhani labda niko single, japo yupo mbali lakini kufanya hivyo inasaidia.”

640x640x13151273_222790878112142_1735821979_n-300x194.jpg.pagespeed.ic.y2AzI0gfWa.jpg


Huyu ndiye mpenzi wa Ommy Dimpoz


yaani mwanaume mzima unasema wanawake wanakusumbua??.. yaani mwanamke anakusumbua??.. anakusumbua?? eboo!!..
 
Hahahaaa, inawezekana kweli mkuu ila hata usipokunya kila kichaka basi sio ndio utangaze.

Wanaume hatuna hulka ya kusema sema mambo hovyo, hiyo ni tabia ya kike, wanawake ndio hua wanapenda kusema wanasumbuliwa na wanaume ili aonekane tu kua yeye ni wa maana sana, mwanaume unapokuja kusema eti unasumbuliwa na wanawake nashangaa kweli.
yule ni msanii.... ujumbe umewafikia vichakan wote wanaotaka jamaa akatie gogo kwao
 
Nachofanya nimkubali ney wamitego ajawai kudanganya jogoo wa dimponz kwa pozi mwanaume wa kweli huwezi kujiita dimponz kwa pozi
 
Nonsense!! Toka lini mwanamke akamsumbua mwanaume? Always wanaume ndo tunasumbua wanawake, mwambieni ommy aache undezi
 
mabinti bhana,acheni ni nowma kwa Kuji bebixaa tuu mpo vizuriii htary, hata Kama dimpoz kampost demu wakee hawatoachaa kwanza wataanza kumpondaa hyoo Dada ,eti hajui kuvaa wakati ukimuangalia ww hyoo bintii kavaa vizury haxaa cjui xhida nn kwaooo

Mi nahxii hii kxkiaa kuwa wapo wengii dunianai kwa idadi ndoo inawasumbuuaaa

mngekuwa wachachee nahxii tungewasumbua xanaa nyiie mabintiii
Mfani mimi ndo baba mkwe umeleta posa kwangu kumtaka binti yangu alafu nikapata nafasi ya kuiona hii komenti yako basi ujue mke umekosa,ndo uandishi gani huu.
 
Hawa wanaume wa siku hizi hovyo kabisa. Hata kama ni kweli hupaswi kulalamika inatakiwa kuchukua hatua.
 
Ziko siri nyingi Sana nyuma ya kung'ara kwa hawa vijana wa kitanzania!!
 
Nonsense!! Toka lini mwanamke akamsumbua mwanaume? Always wanaume ndo tunasumbua wanawake, mwambieni ommy aache undezi

Wanawake siku hizi nao wamekuwa mabouncer, au niseme mabounceress! Wanakaba mpaka penalti ikiwa mfukoni kumenona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom