House4Sale Nyumba MPYAAA Inauzwa Kigamboni Eneo Limepimwa

Hivi yale magorofa ya magufuli pale chuo kikuu yamegarimu kiasi gani vile...10billion gawanya kwa 20.......

Na tena ujenzi ule wa maghorofa kuna vingi vimeingia. Kuna nondo mule, kuna formwork za kutosha, kuna ukodishwaji wa matingatinga, kuna high grade reinforced concrete, kuna mirunda ya kukodi and stil ilikwenda kwa 10B whole project.
 
Hata 180 hapati mtu, hapo aanze na 100. Hiyo nyumba thamani yake ni around 70M mpaka 100M zaidi ya hapo haiwezekani.
Yaah, kwa nyumba hiyo sabini huenda ikawa sawa lakini hatujui uimarawake sazingine marangirangi na ramani haina maana kwamba nyumba ni imara.

Ukosawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom