Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Mbiu.
Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko.
*Ina nafasi kubwa nje.
*Ina fremu mbili nje hazijakamilika.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 400.
Nyaraka: Ina Hatimiliki.
Bei: Milioni 125. Mazungumzo yanaruhusiwa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.
Mawasiliano:
0784 829565
0767 833345
@prathlimited
Mahali: Mtaa wa Mbiu.
Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko.
*Ina nafasi kubwa nje.
*Ina fremu mbili nje hazijakamilika.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 400.
Nyaraka: Ina Hatimiliki.
Bei: Milioni 125. Mazungumzo yanaruhusiwa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.
Mawasiliano:
0784 829565
0767 833345
@prathlimited