Madalali wa TZ ni wangese sana. Hiyo 50k ya kuona tu nyumba mnadhani inaokotwa? 10% ulipwe kwa kazi gani kubwa uliyofanya? Halafu anajitokeza mpumbavu na kulaumu wachina kuwapelekea moto madalali wa Kkoo.Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 450.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 (Mastac1) pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
___________
ANGALIZO
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.
😀😀😀wamekuudhiMadalali wa TZ ni wangese sana. Hiyo 50k ya kuona tu nyumba mnadhani inaokotwa? 10% ulipwe kwa kazi gani kubwa uliyofanya? Halafu anajitokeza mpumbavu na kulaumu wachina kuwapelekea moto madalali wa Kkoo.
Wanaaudhi mno. Wako tofauti na madalali wa nchi zingine. Hawa ni wapigaji kufuru😀😀😀wamekuudhi
Wanachukulia poa sana issue ya hela.
Hao wanaouza mali zao ndio mamburula, mitandao imejaa kwanini mwenye mali asitangaze mali yake? Hao madalali wanakula kwa muuzaji na kwa mnunuzi, nawachukia mambwa ambao hawataki kufanya kazi halafu washirikina balaaMadalali wa TZ ni wangese sana. Hiyo 50k ya kuona tu nyumba mnadhani inaokotwa? 10% ulipwe kwa kazi gani kubwa uliyofanya? Halafu anajitokeza mpumbavu na kulaumu wachina kuwapelekea moto madalali wa Kkoo.
Reforms zinahitajika hadi kwenye udalaliHao wanaouza mali zao ndio mamburula, mitandao imejaa kwanini mwenye mali asitangaze mali yake? Hao madalali wanakula kwa muuzaji na kwa mnunuzi, nawachukia mambwa ambao hawataki kufanya kazi halafu washirikina balaa
Taarifa ni mali , yeye ana taarifa wewe huna, na ndio unainunua kwa hiyo gharamaDalali hana tofauti na mwizi.Wanataka kuvuna wasipopanda.Ulipwe 10% kwa lipi hasa?
Bado akikuonyesha tu unamlipa 50kDalali hana tofauti na mwizi.Wanataka kuvuna wasipopanda.Ulipwe 10% kwa lipi hasa?
Na 50k ni yanini?Taarifa ni mali , yeye ana taarifa wewe huna, na ndio unainunua kwa hiyo gharama
UDalali ni wizi wa Wazi wazi...hulipi kodi, huna ofisi.Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 450.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 (Mastac1) pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
___________
ANGALIZO
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.
Kuepuka wazinguaji, njoo uone nyumba ulipie na sio kumtoa kwenye mishe zake utake kuona nyumba na utokomee.Na 50k ni yanini?
Acha utapeli,Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 450.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 (Mastac1) pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
___________
ANGALIZO
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.
Kuna nyumba nimeifananisha hapo jirani na shule ya bangulo nikahisi ni hiiKiwanja kina ukubwa wa SQM. 450.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 (Mastac1) pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
___________
ANGALIZO
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.
Akiona una uwezo wa kununua Nyumba 22M, anaona kwako 50K ni kitu kidogo sana.Wanaaudhi mno. Wako tofauti na madalali wa nchi zingine. Hawa ni wapigaji kufuru
😀😀😀Wewe dalali huna akili na hiyo nyumba haitauzwa kupitia kwako nakulaani