Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 893
- 2,439
Wwngi mmeaminishwa nyerere alikuwa mtakatifu ,mfano wa kuigwa. Ila niwaambie ukikaa na wazee waliopitia shuruba za nyerere ndio utajua alikuwa hafai.
Kwanza wakati wa vita ya kagera kuna tajiri aligoma kutoa mabasi yake kubeba askari, hali hiyo ilifanya apigwe marufuku kuingiza gari nchini ndio maana mpaka leo miaka yote umejua hilo kampuni hawajawahi kununua basi jipya yote used.
Fuatilia stori za kina kambona, utaelewa nyerere alikuwa mafia kiasi gani.
Kiuhalisia nyerere ndio tatizo la taifa hili.
Kwanza wakati wa vita ya kagera kuna tajiri aligoma kutoa mabasi yake kubeba askari, hali hiyo ilifanya apigwe marufuku kuingiza gari nchini ndio maana mpaka leo miaka yote umejua hilo kampuni hawajawahi kununua basi jipya yote used.
Fuatilia stori za kina kambona, utaelewa nyerere alikuwa mafia kiasi gani.
Kiuhalisia nyerere ndio tatizo la taifa hili.