No reform no marriage!.

KENZY

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
34,145
81,348
Sisi kama vijana wa #Kataandoa tumekuja na "No reform no marriage!".
kwasababu mmekuwa mkitusema vibaya nakuona kama hatuna maadili,hivyo basi kama kuna mambo hayatawekwa sawa sawia basi hatutaingia kabisa kwenye mtego unaoitwa ndoa!.
bila hivi vitu kufanyiwa marekebisho basi hakuna ndoa!.

#Kugawana mali na mke hata zile ambazo nilizitafuta kabla sijakutana nae!.
Hichi kipengele kikirekebishwa itakuwa ahueni!.

#Ifutwe hamsini kwa hamsini!.
Kwa nature ilivyo hairuhusu mwanaume na mwanamke kuwa na haki sawa!, hii hamsini kwa hamsini ni kandamizi kwa kiumbe kinachoitwa mwanaume!.

#Kama hamuwezi kubadilisha hiyo hamsini kwa hamsini basi na wanawake nao kwa kipimo kilekile tunachopimiwa nao wapimiwe iwe ni kazi ama shughuli yoyote. Tuone kinavyowalamba!.

#Swala la malezi ya mtoto mwanaume kama anatoa 50% na mwanamke atoe 50%.. maswala yakupelekana ustawi wa jamii halafu me pekee ndo anazama mfukoni tutakuja kutoana meno!.

#Mahari ifutwe!.
Hii ni sawa na biashara tu!, sasa mtu nimtolee mahali halafu nije nimpe fifty fifty, bima ya afya, nihakikishe kila siku anakula na huduma zake zote nyengine ziniangalie we ulisikia wapi..??

Kama hayo hayawezekani nasisi hatuwezekani hata kwa kuturoga!, yani mkilamba kushoto sisi tunalamba kulia mwendo ni #kataandoa na #noreformnomarriage!.
 
Kila la kheri kataa ndo sisi wengine tulishajiingiza kwenye ndoa haturudi nyuma

2.mahari kweli Huwa sikuipenda ila ndo basi nilishaitoa fedha so nahesabu kama nyingine nilizopoteza..

Kuhusu 50 kwa 50 Sina comment maana Sina mali za kutosha kwamba nikigawana na mke basi nitatetereka.

Kuhusu mambo ya bima aisee tuache ubinafsi mtu ukae naye na usimfungulie bima huku unakatwa pesa
 
Kila la kheri kataa ndo sisi wengine tulishajiingiza kwenye ndoa haturudi nyuma

2.mahari kweli Huwa sikuipenda ila ndo basi nilishaitoa fedha so nahesabu kama nyingine nilizopoteza..

Kuhusu 50 kwa 50 Sina comment maana Sina mali za kutosha kwamba nikigawana na mke basi nitatetereka.

Kuhusu mambo ya bima aisee tuache ubinafsi mtu ukae naye na usimfungulie bima huku unakatwa pesa
yeye akiwa anauwezo wakukufungulia bima hakufungulii haraka huyo anaenda kukimbilia kuwafungulia wazazi wake sasa nikuulize we je huna wazazi...????
 
Sisi kama vijana wa #Kataandoa tumekuja na "No reform no marriage!".
kwasababu mmekuwa mkitusema vibaya nakuona kama hatuna maadili,hivyo basi kama kuna mambo hayatawekwa sawa sawia basi hatutaingia kabisa kwenye mtego unaoitwa ndoa!.
bila hivi vitu kufanyiwa marekebisho basi hakuna ndoa!.

#Kugawana mali na mke hata zile ambazo nilizitafuta kabla sijakutana nae!.
Hichi kipengele kikirekebishwa itakuwa ahueni!.

#Ifutwe hamsini kwa hamsini!.
Kwa nature ilivyo hairuhusu mwanaume na mwanamke kuwa na haki sawa!, hii hamsini kwa hamsini ni kandamizi kwa kiumbe kinachoitwa mwanaume!.

#Kama hamuwezi kubadilisha hiyo hamsini kwa hamsini basi na wanawake nao kwa kipimo kilekile tunachopimiwa nao wapimiwe iwe ni kazi ama shughuli yoyote. Tuone kinavyowalamba!.

#Swala la malezi ya mtoto mwanaume kama anatoa 50% na mwanamke atoe 50%.. maswala yakupelekana ustawi wa jamii halafu me pekee ndo anazama mfukoni tutakuja kutoana meno!.

#Mahari ifutwe!.
Hii ni sawa na biashara tu!, sasa mtu nimtolee mahali halafu nije nimpe fifty fifty, bima ya afya, nihakikishe kila siku anakula na huduma zake zote nyengine ziniangalie we ulisikia wapi..??

Kama hayo hayawezekani nasisi hatuwezekani hata kwa kuturoga!, yani mkilamba kushoto sisi tunalamba kulia mwendo ni #kataandoa na #noreformnomarriage!.
No reforms no marriage.
Tulio kwisha kuoa inakuaje mkuu
 
Kabisa naunga mkono hoja
20250418_180304.jpg
 
Kila la kheri kataa ndo sisi wengine tulishajiingiza kwenye ndoa haturudi nyuma

2.mahari kweli Huwa sikuipenda ila ndo basi nilishaitoa fedha so nahesabu kama nyingine nilizopoteza..

Kuhusu 50 kwa 50 Sina comment maana Sina mali za kutosha kwamba nikigawana na mke basi nitatetereka.

Kuhusu mambo ya bima aisee tuache ubinafsi mtu ukae naye na usimfungulie bima huku unakatwa pesa
Nimekumind sana hapo kwenye swala la ubinafsi wanaume hatuna ubinafsi ila hawa akina eva!, uliza mwanaume yoyote atakuambia hata wenyewe wanajijua ni hatari kwenye kitu kinaitwa ubinafsi!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom