No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

Nimegundua vijana wengi wakiume hawajiamin (Inferiority complex) ndio mana mada za kuwakandia wanawake wasomi haziishi kwa sababu wanataka kuishi na mwanamke ambaye hatowakosoa kwa chochote, inakuwa kama amemmnunua, maisha hayako hivyo mwanamke ni msaidizi wa mumewe anahisia na yeye ana haki ya kutoa maamuzi au maoni sio kila kitu akubali hata kama anaona kina walakini, mwanaume unawajibu wa kusikiliza maoni ya mke au mchumba kama nawe unavyosikilizwa, usiishi mwanamke kibabe ili akutii.
 
Mwanamke akusumbue kwa wakati wa sasa basi wewe mwanaume una matatizo wanawake kwa sasa ni bidhaa iliye kuwa haina soko lolote lile wapo wapo tena takwimu inaonyesha hawa wanaojifanya high class na hawa wanao jiita independent women (feminist) ifikapo 2030 asilimia 80% wata kuwa hawana wanaume kabisa.
 
Kwahio mkuu u wanna say wasomi ndo wenye ego,dharau na maneno mengi 😃😃😃 yaan mtu akiwa vidigrii tu nasi ndo sifa za ufeminist anakua nazo it can't be,

Hii theory yako ina apply to both side o to other language any kind of a woman can have those character bila kuangalia levo ya elimu yake.

So kazi n kwako kuchagua yupi ni wise kulingana na ur criteria.
Wanawake wasomi wamezidi tafuta taarifa za usajiri wa taraka asilimia kubwa sana utakuta ni ndoa za wanawake wasomi
 
As a man I set my standards for a would be relationship: A woman, LEARNED or NOT would only be left with one option, to either adhere to my standards or Kick Rocks.....

Kiufupi hili huwa naliweka wazi mapema kabisa, ili siku akija kugeuka tusije tukalaumiana na kufika mbali. Huwa sipendi kabisa mwanamke mjuaji-juaji. Hata wale wasomi ambao nishawahi kuwa nao huko nyuma sikuruhusu ajaribu kunipanda kichwani....

Teh, Eti unisumbue mimi kisa ki-PhD chako...
 
Tatizo la ndoa nyingi kuvunjika ni ujuaji, Ulimbukeni, kutotaka kujifunza kutoka kwa mwenzio, na kutokubali kushindwa kati ya Wana ndoa. Hasa jinsia ya KE wamekithiri kwa sifa hizo nilizosema.

Pia vijana wengi wanaendekeza usasa wameacha Mila na Miiko ya jamii wanayotoka. Watu wanakutana tu shule, vyuoni, disko, na baani wanaoana kwa sababu ya kuzidiwa na Raha ya papuchi. Zamani mambo ya kuvunjika kwa ndoa ilikuwa very rare.

Alafu vijana wengi hawajui km ktk ndoa elimu haina nafasi. Mwanaume haoi form 6 yako, diploma, au degree yako, mwanaume wa kweli anaoa mke mwenye sifa nje ya Elimu Dunia. Elimu Dunia inakuwa added advantage tu. Ukifanya hivyo unalamba dume, utafurahia ndoa na utakuja kunishukuru.

Pia vijana acheni mambo ya kipuuzi eti siwezi kuoa "kula kulala/ goalkeeper", hii akili inaua ndoa nyingi. Unakuta kijana anatafuta mtumishi mwenzie eti watasaidiana maisha. Guys, usitegemee kusaidiana maisha na mwanamke. Wewe km kichwa Cha nyumba unatakiwa kupigana kuhakikisha familia yako inakula, kutibiwa, na kulala pazuri.

Kuna vitu vingi vya kuongea ila basi tu. Ila vijana badilisheni mindset zenu juu ya kuoa kwa kuangalia elimu. Kwani hizo elimu za wake zenu huwasaidia kukata viuno kitandani!!!
 
Wanaume wanapenda mwanamke asiwe mjuaji sana kuwazidi yani anajua vitu vingi kuliko wao mi ninaweza kua na boyfriend ninae mzidi ufaham mbali sana ila nikiwa nae najifanyaga sielewi vitu namuuliza maswali ata ambayo nayajua ananielezea pale na mi najifanya ndo nimejua baada ya yeye kuniambia basi anafurahi
🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁!
Mwanamke Ujuaji sana Sio
 
Back
Top Bottom