morees
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 288
- 614
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ungezeko la gharama za vifurushi vya internet DATA.
Ebu tushauriane hapa njia zipi hasa zitasaidia kupunguza matumizi ya DATA.
Mimi huwa najiuunga Gb9.5 kifurushi cha mwezi ila mara zote huisha ndani ya wiki mbili tu.
Nimejaribu kupata apps ambazo zinasaidia kupunguza matumizi ya DATA kama Stayfree na my Data manager.
Weka zingine tupate ufumbuzi.
Ebu tushauriane hapa njia zipi hasa zitasaidia kupunguza matumizi ya DATA.
Mimi huwa najiuunga Gb9.5 kifurushi cha mwezi ila mara zote huisha ndani ya wiki mbili tu.
Nimejaribu kupata apps ambazo zinasaidia kupunguza matumizi ya DATA kama Stayfree na my Data manager.
Weka zingine tupate ufumbuzi.