Njia za kiasili za kuongeza nguvu za kiume ni zipi?

Msijifanye wajuaji, tuna uzoefu wa kutosha na wanawake mbali mbali. Mwanamke akikupenda hata kumsika mkono anakojoa. Sasa wewe unayetaka udinywe saa nzima ndipo ukojoe, unakuwa humfeel huyo mwanaume
Nyie ndiyo hua mnadanganywa vizuri, yani mngejua almost wanawake 7 kati ya 10 wameshawahi kudanganya kuhusu kukojozwa 😅. Eti ukimshika mkono tu :uwotWater::uwotWater::uwotWater::uwotWater::uwotWater: 🤣, acha tuendelee kuwadanganya tu mje kujisifia huku mitandaoni!
 
Hiyo shida amekuwa nayo sasa hivi au muda mrefu?,
Hana tatizo la low backpain?
Kama ni mishipa imelegea na haisimami muda mrefu, achue na mafuta ya karafuu taratibu, maana yanawasha atasikia kama mashine inawaka moto, atleast kwa dakika 2, twice a day kwa siku 7
Pia atafute pumzi kwa kuhakikisha kwa siku anatembea step 7K au 10k- ni kama K/M 5 kwa siku,
Anywe maji takribanj lita 3 kwa siku.
Apunguze kula vyakula vilivyopikwa alafu vikaa sana kwenye friji e.g. maharage, viporo vya wali.
Asubuhi kabla ya chakula cha kupika/kiwandani ale matunda
Hizo ni njia za matokeo ya kudumu na muda mrefu

ila akitaka fasta
Mchemshie juice yenye Tangawizi, vitunguu swaumu, maji,lemao sio ndimu,karafuu,mdalaasini, ili
Kadiria viungo, chemsha maji lita 1 na nusu, then yachemke na kubaki robo 3, weka asali anywe hata masaa 2 kabla ya shoo.
Njingine,
Tafuta asali ya nyuki wadogo nusu lita, uweke kwenye chombo cha plaatic au glasi changanya na tangawizi mbichi ambayo umeisaga au kutwanga, unga wa karafuu na mdalasini, weka juani sikh nzima.
baada ya hapo alambe kijiko kimoja atumie cha plastic, mbao au glass sio cha bati asubuhi na jioni siku 7.
Pia mizizi ya tulatula (ndulele) nayo ni dawa, aonye atafune yale maganda na kalanga au achemshe anywe.

Pia asubuhi anywe maji nusu lita au lita moja, maji tiririka sio ya kwenye chupa
Mtengenezee juice ya maziwa, korosho,tende,Almond,ndizi na parachichi na asali

Apunguze kula chips, vyakula vya mafuta,chees,mayonnaise

Mpe hiyo kwanza,utaleta mrejesho
Mnaandana vizuri au ndio mnaparamiana kama ng'ombe?!
Mimi nazijua za asili za kuongeza NGUVU ZA KIUCHUMI. Vipi naruhusiwa kuweka hapa pia. Maana ukishakuwq na nguvu za uchumi za uanaume unazipata tu otomatiki (automatically)
 
Mimi nazijua za asili za kuongeza NGUVU ZA KIUCHUMI. Vipi naruhusiwa kuweka hapa pia. Maana ukishakuwq na nguvu za uchumi za uanaume unazipata tu otomatiki (automatically)
Weka tu Bill, tutasoma na kujifunza
 
Mimi nazijua za asili za kuongeza NGUVU ZA KIUCHUMI. Vipi naruhusiwa kuweka hapa pia. Maana ukishakuwq na nguvu za uchumi za uanaume unazipata tu otomatiki (automatically)
Weka tu, au unamaanisha ampunguzie financial stress
 
Back
Top Bottom