the glassroof
JF-Expert Member
- Apr 25, 2017
- 293
- 448
Just simple. It might be nature or nurture and sometimes two of them. Check and recheck then uproot the source where necessary.
Watakuwa wamerithi akili yakoHabari wanajamvi!
Mimi ninawatoto wanamatatizo ya kutokuwa na hakili darasani ,najitahidi kuwapeleka masomo ya ziada kwa ushauri Wa walimu lakini bila mafanikio.Na ninajitahidi kutafuta pesa ili watoto wangu wapate elimu bora na sio bora elimu maana wote wapo privet Islamic toka nasali wapo wanasoma private na ni wakiume wote ila mpaka nakuachizi kila siku wamwisho na ninajitahidi kushilikiana na walimu wanaowafundisha lakini wapi! Nisaidieni njia mbadala nifanyeje nimeleta huku kwa wadau labda nitapata mawazo zaidi nakosea wapi nijirekebishe.
Mkuu nikurekebishe kidogo apo anataka hakili sio akili kwa iyo akanunue hakiliKanunue akili sokoni
Mkuu usikate tamaaa KWA kejeli,,we songs mbele angalia ushauri unaoona unafaaa ubebe,,usiofaa achana naoWatakuwa wamerithi akili yako
Hakili ndiyo nini
HahahaaaaMkuu nikurekebishe kidogo apo anataka hakili sio akili kwa iyo akanunue hakili