Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 38,107
- 47,111
Vita vya uvamaizi vinavyoendelea kufanywa na Urusi dhidi ya Ukraine vimechukua sura ya tofauti kufuatia shirika la ujasusi la Urusi(FSB) kupanga njama za kumuua Zelenskyy kwa kushirikiana na makanali wawili wa kikosi cha ulinzi cha serikali ya Ukraine.
Mpango huo mahususi wa kigaidi wa mauaji ulikuwa ni mpana kumlenga Zelenskyy,Vasyl Malyuk, mkuu wa shirika la ujasusi la Ukraine(SBU) na Kyrylo Budanov, mkuu wa ujasusi wa jeshi.
Taarifa za kijasusi kutoka zinasema mauaji hayo yalikuwa yawe zawadi ya kuapishwa kwa Putin leo hii na mpango mzima ulikuwa karibia kukamilika kwa kuwtafuta ma- bodyguards wawili tu walio karibu zaidi na Zelenskyy kuufanikisha kikamilifu.
Wafanyakazi wawili wa FSB ya Russia, Dmytro Perlin na Oleksiy Kornev wamehusishwa kuwa mstari wa mbali katika njama hizo za ugaidi dhidi ya viongozi muhimu wa serikali ya Ukraine.
Mpango huo mahususi wa kigaidi wa mauaji ulikuwa ni mpana kumlenga Zelenskyy,Vasyl Malyuk, mkuu wa shirika la ujasusi la Ukraine(SBU) na Kyrylo Budanov, mkuu wa ujasusi wa jeshi.
Taarifa za kijasusi kutoka zinasema mauaji hayo yalikuwa yawe zawadi ya kuapishwa kwa Putin leo hii na mpango mzima ulikuwa karibia kukamilika kwa kuwtafuta ma- bodyguards wawili tu walio karibu zaidi na Zelenskyy kuufanikisha kikamilifu.
Wafanyakazi wawili wa FSB ya Russia, Dmytro Perlin na Oleksiy Kornev wamehusishwa kuwa mstari wa mbali katika njama hizo za ugaidi dhidi ya viongozi muhimu wa serikali ya Ukraine.