Abbassalum
JF-Expert Member
- Dec 11, 2016
- 338
- 176
- Thread starter
- #21
Vizuri sana mkuuKwanini serikali yenye tani milioni 1.5 wasipeleke chakula?
Vizuri sana mkuuKwanini serikali yenye tani milioni 1.5 wasipeleke chakula?
Maoni yako ayo mkuu, lakini niliona mie kwa macho yangu azam tv, katika kipindi chao cha alasiri lounge, moja kwa moja kutoka liwale...sio kila majani ni mboga kwa maana halisi ya mboga. Kwa hiyo ukiona mboga maana yake na ugali au wali upo?
Bado mahitaji kwao ni makubwa mkuu, tv ata nikiuza aiwezi ikasaidia, inaitajika na wewe, pia ujitolee kuokoa ili balaa...
Naye auze kismart phone chakeBado mahitaji kwao ni makubwa mkuu, tv ata nikiuza aiwezi ikasaidia, inaitajika na wewe, pia ujitolee kuokoa ili balaa...
Kazi iyo ya kugawa msosi, ni kazi ya wakuu wa kaya, mie ananijua nani mkuu?Lkn si haba jaribu hilo kwanza utakapoishia wengine wataendeleza!
Kazi iyo ya kugawa msosi, ni kazi ya wakuu wa kaya, mie ananijua nani mkuu?
sio kila majani ni mboga kwa maana halisi ya mboga. Kwa hiyo ukiona mboga maana yake na ugali au wali upo?
Mlo mizizi poli ndio mlo mkuu, ugali na wali naona wewe, kwako makapiUgali na wali sio lazima uwe mlo.
Mkuu maneno matupu ayavunji mfupa, unatakiwa na wewe uonyeshe mfano..Kusaidia mtu mwenye njaa siyo lazima ujulikane ni swala la ubinadamu tu, kama ukienda na chakula chako kwa mtu mwenye njaa hawezi kukurudisha nacho!
HaswaaaaaTanzania bilanjaa inawezekana .wee vp ?
Wametangaza azam tv leo alasiri mkuu, nao waongo
Kwanini serikali yenye tani milioni 1.5 wasipeleke chakula?
Mkuu maneno matupu ayavunji mfupa, unatakiwa na wewe uonyeshe mfano..
Hehehe wasije tu wakamfungia tv yke kwa ksema ukweliWametangaza azam tv leo alasiri mkuu, nao waongo
Kimbelembele wa masolex upo?Mimi sijaleta habari ya njaa hapa, wewe ndiyo uliyoleta hivyo maana yake ni kwamba umeguswa sana na mateso ya watu wa Liwale, hivyo nilitegemea uwasaidie1
Hao wamelipwa hela na wafanyabiasharaWametangaza azam tv leo alasiri mkuu, nao waongo
Ivyo ivyooo mkuu..Kwa tangazo la juzi la waziri mdogo mambo ndani wanaweza kabisa kushughulikiwa.