Abbassalum
JF-Expert Member
- Dec 11, 2016
- 338
- 176
Wametangaza azam tv leo alasiri mkuu, nao waongoMkulu n'a primera min washasema njaa hakuna
Ova
Chanzo azam tv mkuuNani kawaruhusu mtangaze njaa?
Majanga yakizidi...... Akili zitatusogea wadanganyika!!!
Mkuu wa wilaya kasemaje??Chanzo azam tv mkuuna mkuu wa wilaya akawa analitolea ufafanuzi hapo...
Hawezi achishwa kazi labda aache mwenyeweMkuu wa wilaya kesho hana kazi kwa kusema uongo, njaa mkuu bado hajatangaza,.
Lakini watu wanashindia mizizi mkuu, liwaleMkuu wa wilaya kesho hana kazi kwa kusema uongo, njaa mkuu bado hajatangaza,.
Kuna pic mchanganyiko hapo angalia izo zingine utamkuta mama hapo, chakula chake anakiandaa, sasa sijui ndio iyo mizizi, angalia vizuri mkuu..Wameonesha mboga unasema njaa kali, mnajua njaa kali nyie au njaa njaaaaa ikoje haswa?
Amesema mpaka kitengo cha maafa kupitia ofisi ya waziri mkuu wathibitishe kwanza..Mkuu wa wilaya kasemaje??
Kwa nini usiuze flat screen yako, ili uwapelekee chakula?
Sio la kuomba tuombe sana mwenyezi mungu atunusuruNjaa inaanzia dar, then inafuata mikoani.
Wameonesha mboga unasema njaa kali, mnajua njaa kali nyie au njaa njaaaaa ikoje haswa?
Bado mahitaji kwao ni makubwa mkuu, tv ata nikiuza aiwezi ikasaidia, inaitajika na wewe, pia ujitolee kuokoa ili balaa...Kwa nini usiuze flat screen yako, ili uwapelekee chakula?