Mkuu nimeweka picha ya mdudu kama ilivyoonyeshwa katika gazeti husika online.Wasubiri pilao maharage la kampeni ya chama chetu linakuja soon.
Unatafuta mme!! Kwani Serikali imeishiwa au haina Chakula kwenye maghala yake!?Ni kweli inasikitisha sana, na sasa wakati umefika wa kila Mtanzania kujitolea kile alichonacho kusadia ndugu zetu, ni ajabu sana mtu kama fisadi Lowasa anajimilikisha ranchi yetu ya Taifa anajaza ng'ombe maelfu kwa maelfu kwa ajili ya kupiga nao picha tu wakati watu wetu wanakula wadudu, kwa nini kama kweli ni mtenda haki asijitolee lori moja tu lililojaa ng'ombe na kuwampelekea hao wanaokula wadudu?
Inasikitisha sana kwa kweli!
Teeeee teeeeee teeeeeeee hivi ni ile wilaya iliyo ongoza kwa % kubwa kuipatia ccm ushindi kitaifa?Wananchi wa wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wanaripotiwa kula wadudu aina ya viwavi jeshi wanaojulikana kama fumbili kutokana na tatizo la njaa wilayani humo.
![]()
Chanzo:Mwananchi online
Hii ni aibu kubwa na ni fedheha pia.
Hii ndio picha ya kiwavi jeshi katika gazeti husika
![]()
Tunafurahia hapa lumumbaHii ni baraka kwa wafuasi wa chama cha majipu cha hapo lumumba.
Kwani hao viwavi ni rangi ipi?Hao watu ni hatari kwelikweli! Hata pamoja na njaa hiyo itisha uchaguzi leo hii, ni kijani tuu kwenda mbele.
Duuu mkuu hata huna huruma?hao wagogo hawana maana acha wale tu hayo madudu.
Lowasa atawashukuru waliomsapoti hao waliokunywa rangi ya kijani wacha wale kiwaviMimi sijapora ranchi ya Taifa na isitoshe uwezo wa kuwalisha wananchi wetu wenye njaa sina kwani mimi mwenyewe kupata mlo uliokamilika ni ishu ila fisadi Lowasa anaweza hili ni swala Utu tu, badala ya kuwatumia wanyama kama ng'ombe kupiga nao picha na kuzisambaza Dunia nzima angeweza pia kuchukuwa baadhi ya ng'ombe na kuwagawia masikini hivi ndivyo mafundisho yanavyowataka matajiri kufanya!
Hiyo ndio inaitwa ccm mbele kwa mbele na wataisoma nambaCcm inaungwa mkono sehemu zenye dhiki kubwa , iko hivyo .
Kwa maccm wache waipateUwe na elimu basi ,uwezo wako Wa kufikili usifungwe na ccm.
Njaa ni natural disaster, the same as mafuriko.
Natural disaster haina chama
Kumbe chdema inaletaga mvua? Baasi sawa... ila ushabiki mwingine unaweza ondoa hata chembe ya ufahamu kwenye ubongo ukaonekana mbumbumbuKwa maccm wache waipate
Kwenye bomoabomoa ya dsm mlisema wanao bomolewa wanaisoma namba kwa kuwa waliichagua ukawa,sasa hao walio ichagua chichiyemuuu wacha waisome namba kwa kubugia viwaviUmeneno kiongozi. Watu siku hizi hawana utu kabisa
Sawa na mlivyokuwa mna kenua mimeno yenu wakati wa bomoa bomoa na kuwaambia waathirika wanaisoma namba ya ccm hamkujua kuwa jua siku zote halina mipaka?Kumbe chdema inaletaga chakula? Baasi sawa... ila ushabiki mwingine unaweza ondoa hata chembe ya ufahamu kwenye ubongo ukaonekana mbumbumbu
Ndiyo size yao haoacha wafe na njaa ndio mkoa unaopendwa na mkoloni mweusi CCM
Kumbe waliobomolewa ni chadema hakuna ccm.....unazidi kunishangaza. Hao walobomolewa ccm wapo na hao wenye njaa chadema pia wapo. Mvua huja kwa ccm na chadema na njaa pia kwa wote haichagui chama. Tatizo chadema mnadhan kila mwanachama wenu ana pesa hajapatwa na hayo majanga. Binafsi mi sio ccm na wala sina mpango wa kujiunga. Chama changu sio moja ya hvy vyama vikubwa vinakejeliana kila kukicha but I argue with reason sio ushabikiSawa na mlivyokuwa mna kenua mimeno yenu wakati wa bomoa bomoa na kuwaambia waathirika wanaisoma namba ya ccm hamkujua kuwa jua siku zote halina mipaka?
Mkuki kwa nguruwe siyo?wacha waisome namba haoKumbe chdema inaletaga mvua? Baasi sawa... ila ushabiki mwingine unaweza ondoa hata chembe ya ufahamu kwenye ubongo ukaonekana mbumbumbu