Niulize Chochote kuhusu kazi za viwandani

Kwanini si rahisi sana kupata Watu wanaofanya kazi kwenye viwanda vya soda wanazuzuka na hizo bidhaa na pengine wasitumie kabisa tofauti na asiye mfanyakazi maeneo hayo?

Ubinadamu ni kazi w/The humanity is work.
Swali zuri kabisa mkuu..
Kwanza jua kabisa kwenye viwnda hvi vya vinywaji... Hasa soda na juisi kule kunywa ni wewe tu ila huruhusiwi kutoka nayo nje..

Mara nyingi unakuta mtu ataenda na skonzi zake au mandazi ila kinywaji anajua uwakika.. most of them ni unskilled
 
Sijawahi skia wafanyakazi wa viwandani waki zungumzia kazi Yao vizuri hasa kwenye malipo hii imekaadje
Kwanza jua kabisa kule ni kazi kazi hata kama iwe rahisi vipi ila mda utakaofanya itakufanya uhisi unaonewa..

Kwenye mshahara ni mdogo kutokana na large scale of pipoooo just imagine kwa siku mnapewa 7000 ambayo inatolewa kwa watu zaidi ya 300... Unazani kwa siku bosi inabidi atoe shingap..

Ndo mana lazima apunje
 
Kwanza jua kabisa kule ni kazi kazi hata kama iwe rahisi vipi ila mda utakaofanya itakufanya uhisi unaonewa..

Kwenye mshahara ni mdogo kutokana na large scale of pipoooo just imagine kwa siku mnapewa 7000 ambayo inatolewa kwa watu zaidi ya 300... Unazani kwa siku bosi inabidi atoe shingap..

Ndo mana lazima apunje
Nimekuuelewa
 
Wafanyakazi na vibarua wanakatiwa bima ya aina gani
Je kibarua asie na bima endapo ataumia au kufariki kazini ni malipo kiasi gan utolewa kwa mgojwa au familia ya marehemu,
Je kibarua anaruhusiwa kukishitaki kiwanda na ni njia gan rahis anaweza itumia kupata haki zake kirahisi
 
Kwanza jua kabisa kule ni kazi kazi hata kama iwe rahisi vipi ila mda utakaofanya itakufanya uhisi unaonewa..

Kwenye mshahara ni mdogo kutokana na large scale of pipoooo just imagine kwa siku mnapewa 7000 ambayo inatolewa kwa watu zaidi ya 300... Unazani kwa siku bosi inabidi atoe shingap..

Ndo mana lazima apunje
kama uendeshaji wa viwanda unafanana ulimwenguni, basi vibarua viwandani wana tabu sana hasa china
 
Wafanyakazi na vibarua wanakatiwa bima ya aina gani
Je kibarua asie na bima endapo ataumia au kufariki kazini ni malipo kiasi gan utolewa kwa mgojwa au familia ya marehemu,
Je kibarua anaruhusiwa kukishitaki kiwanda na ni njia gan rahis anaweza itumia kupata haki zake kirahisi
Bima NHIF
Hapana mara nyingi ndani ya week lazima wakutengenezee bima mkuu huwezi kaa zaidi ya mwezi huna bima

Hayo ni makubaliano mkuu kati ya mwajiliwa na mfanyakazi.. ioa kwa hapa kwetu ikitokea hyo ndo basi tena

Kushitaki hapana ni ngumu mno.

Mkuu hapa nazungumzia ni zile kazi unskilled achana na zile skilled mkuu
 
Kwa nini unskilled wengi wa viwandani wako kama watu ambao wamechanganyikiwa?
Mkuu kazi ngumu .
Malipo machache
Kuna majini pia kule ndo mana wanakonda sana sana....

Kuna viwanda mkiingia mnaanza kusali kwanza ndo muanze kazi...
Kuna kitu kinaitwa malengo..

Kuna watu wanaitwa majento kila kiwanda wapo kasoro kwa viwanda vya cement tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom