Nitazungumza na Watanzania kutoka Makao Makuu ya Nchi-Dodoma, Mazungumzo yangu nanyi yatajikita kuomba ridhaa ndani ya Chama ya Kugombea nafasi ya Uras wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tukiwa tunaianza safari ya Kuelekea Miaka 50 tena ya Taifa letu, Naomba usipitwe na Mazungumzo yangu yatakayokuwa LIVE kupitia Redio na Televison Mbalimbali hapa Nchini.
Siku ya Jumapili, Saa 9 Alasiri hadi 12 Jioni, Chuo Cha Mipango Dodoma.
Ukumbi: Mwl.Nyerere Hall "
WAKATI NI SASA,MABADILIKO KWA VITENDO"
Ngoja tukisikilize mkuu. Lakini pia uje utuambie yale maoni yaliyotolewa na Wananchi yakatupwa wakati wa Bunge maalum, ukipewa nchi utayarudisha?
By the way hongera na kila la heri.