Mkanaani
Senior Member
- Jul 31, 2021
- 178
- 542
Hivi mwanaume unakuwaje hueleweki, ulikua na crush na mdada wa watu mwaka mzima mkavunja ukimya mkawa kwenye mahusiano.
Badae unaanza kubadilika unapunguza mapenzi, mwenzio anakuuliza kwanini unabadilika, unadai unaogopa udate naye hata miaka mitatu alafu usimuoe, na mtu hata hajakuambia anashida na ndoa na wewe ni upendo tu na kutaka kuwa na mahusiano nawewe, anakuuliza basi akupe space maybe utampenda badae ukasema huwezi.
Basi mtoto wa watu akaona ajiweke pembeni mapema japo inauma, sasa cha ajabu kila anavojiweka mbali unamwambia kakukasirikia, na hapo hapo akikuambia anakupenda unamjijibu acha hizo.
Sasa huyu mtu nimuweke kundi gani jamani, nilishampotezeaga mwezi mzima na namba nikafuta cha ajabu ye ndo akarudi na gia ya umemaliza kuninunia Nikasema heee kumbe nilinuna.
Badae unaanza kubadilika unapunguza mapenzi, mwenzio anakuuliza kwanini unabadilika, unadai unaogopa udate naye hata miaka mitatu alafu usimuoe, na mtu hata hajakuambia anashida na ndoa na wewe ni upendo tu na kutaka kuwa na mahusiano nawewe, anakuuliza basi akupe space maybe utampenda badae ukasema huwezi.
Basi mtoto wa watu akaona ajiweke pembeni mapema japo inauma, sasa cha ajabu kila anavojiweka mbali unamwambia kakukasirikia, na hapo hapo akikuambia anakupenda unamjijibu acha hizo.
Sasa huyu mtu nimuweke kundi gani jamani, nilishampotezeaga mwezi mzima na namba nikafuta cha ajabu ye ndo akarudi na gia ya umemaliza kuninunia Nikasema heee kumbe nilinuna.