Ninahitaji mke

Fazzah5x

Member
Aug 10, 2022
83
131
Habari za leo wana jf mimi ni kijana wa miaka 26 nimejitafuta kwa muda na kwa sasa nashukuru mungu niko tayari kwa ajili ya ndoa,na kifamilia na kimatunzo pia
hivyo basi naomba kufahamu kama kuna binti naweza pata humu kwa ajili tufanye maandalizi ya ndoa bila kupotezeana muda
SIFA ZA BINTI KWA UFUPI
1-awe mwaminifu
2-awe na heshima
3-awe mvumilivu
*kigezo cha ziada>ukiwa bikra itapendeza zaidi,kwa sababu hata mimi sijawahi kukutana na mwanamke kimwili
#nawasilisha.
 
Habari za leo wana jf mimi ni kijana wa miaka 26 nimejitafuta kwa muda na kwa sasa nashukuru mungu niko tayari kwa ajili ya ndoa,na kifamilia na kimatunzo pia
hivyo basi naomba kufahamu kama kuna binti naweza pata humu kwa ajili tufanye maandalizi ya ndoa bila kupotezeana muda
SIFA ZA BINTI KWA UFUPI
1-awe mwaminifu
2-awe na heshima
3-awe mvumilivu
*kigezo cha ziada>ukiwa bikra itapendeza zaidi,kwa sababu hata mimi sijawahi kukutana na mwanamke kimwili
#nawasilisha.
😂😂😂😂Kheeeeeee
 
Kaka umejitunza vyema kama hujawahi kukutana na mwanamke kwa karne hii , asee wewe ni kiboko ,

Kingine hapa mtandaoni kumpata bikra ni kazi , asilimia kubwa wanaomiliki simu washaondolewa bikra zao muda sana .

Nakusihi utafute mtaani , naimani utapata , alafu uonje kwanza kwa sasa hivi wengi wao wameonjwa ambao ziko TAITEDI WALAU UWAFAIDI MPAKA UWAONJE.
 
Kaka umejitunza vyema kama hujawahi kukutana na mwanamke kwa karne hii , asee wewe ni kiboko ,

Kingine hapa mtandaoni kumpata bikra ni kazi , asilimia kubwa wanaomiliki simu washaondolewa bikra zao muda sana .

Nakusihi utafute mtaani , naimani utapata , alafu uonje kwanza kwa sasa hivi wengi wao wameonjwa ambao ziko TAITEDI WALAU UWAFAIDI MPAKA UWAONJE.
Ive catched u mr
 
Habari za leo wana jf mimi ni kijana wa miaka 26 nimejitafuta kwa muda na kwa sasa nashukuru mungu niko tayari kwa ajili ya ndoa,na kifamilia na kimatunzo pia
hivyo basi naomba kufahamu kama kuna binti naweza pata humu kwa ajili tufanye maandalizi ya ndoa bila kupotezeana muda
SIFA ZA BINTI KWA UFUPI
1-awe mwaminifu
2-awe na heshima
3-awe mvumilivu
*kigezo cha ziada>ukiwa bikra itapendeza zaidi,kwa sababu hata mimi sijawahi kukutana na mwanamke kimwili
#nawasilisha.
Kwahyo wewe bado bikira hongera kwakujitunza agemate ....ila suala la kuoa subl ufike MIAKA 30
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom