BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
dudu limekua dede
basi huenda hajui halisemaloAta sijui imekuaje!!! Mkuu si ndo kasema hivyo!
We mtu wewe,bwia matikiti maji naskia yanaongeza nguvu, nchi imekua ngumu mpaka uume umezira
Labda hua anasingizia stress!basi huenda hajui halisemalo
Maana ni kitu cha kushangaza kidogo
Yani uume uingine ukeni halafu mke asijue kitu kilichomuingia kama ni lege lege au laaah ni kitu kisichowezekana kwa kweli.
Yaan mm nimeshindwa hata kushangaa yaan! Au mkewe anakua kalala au anamzuga na dildo?basi huenda hajui halisemalo
Maana ni kitu cha kushangaza kidogo
Yani uume uingine ukeni halafu mke asijue kitu kilichomuingia kama ni lege lege au laaah ni kitu kisichowezekana kwa kweli.
Yaan mm nimeshindwa hata kushangaa yaan! Au mkewe anakua kalala au anamzuga na dildo?![]()
Nilishawah kukutana na mwanaume kama wewe, uume ukiingia utazan sio **** lainiii kama [HASHTAG]#TISSUE[/HASHTAG]
Miti shamba ni nini?Pole sana mkuu
Hilo ni tatizo ambalo linaweza kutokea kwa Mwanaume yoyote yule na sababu nyingi zinazopelekea uume kuwa legevu ni mfumo wa maisha ikiwemo ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi
Watu wengi hudhani kuwa punyeto (masturbation) pekee ndio huleta hili tatizo huku wakisahau unaweza ukawa hujawahi kujihusisha na kujichua na bado ukapata hilo tatizo
Cha msingi hapo badili mfumo mzima wa vyakula mkuu pubguza chipsi mayai pendelea sana kula vyakula visivyokobolewa na matunda kwa wingi na usisahau kufanya mazoezi mara kwa mara sababu yawezekana mishipa inayopeleka damu kwenye uume imejaa mafuta hivyo yanazuia damu kupita kwa wingi na ndio maana uume umelegea
kama ikishindikana kujitibu kwa lishe ni pm kama utahitaji mafuta ya mitishamba ya kupakaa kwenye uume uliolegea ili kuimarisha misuli iliyoathirika na yanafanya kazi vizuri
Pole sana
Sorry mkuu, mirungi inaweza kua ni sababu kweli, kvp inaathiri ?Acha kuvuta sigara na bangi na mirungi
Acha pombe aina zote
Acha nyama nyekundu
Kula mboga nyingi na matunda halafu usigombane na mkeo.
Nakupa siku mbili. Tatizo kushne
Wewe hujui kama watu wanatangaza biashara?Hapa nashindwa kuelewa mnaposema anamficha mkewe,.anamfichaje yani wakati wanashiriki tendo la ndoa ?
Kwani mkewe hahisi au haoni kabisa kama jamaa ana kitu lege lege au?
Embu nieleweshe kidogo wanafichanaje ?Maana hata wangekuwa wanafanya gizani bado angejua tu jamaa hapandi mtungi.
kivipi ,sijakuelewaWewe hujui kama watu wanatangaza biashara?
Au wewe darasa la Saba?
Mhh, mkuu unataka ajimalize kabsaaMkuu pole sana
Unaweza tumia dawa hii sidenafir citrate nusu kidonge nusu saa kabla ya tendo