Oyi hutoboi ninja maana akili ya darasani hauna oyihabari wakuu naomba mnisaidie wala sihitaji masimango, nina ndoto za kuishi nje ya tz naona njia nzuri ya kuishi ulaya ni kuomba udhamini wa elimu kwenye vyuo vya nnje ya tz,, nilifeli four 4,.hapa nina miaka 23 sasa na ninawaza niridi shule (Quit) je naweza toboa kwa umri huu![]()
Nimejiunga jf muda si mrefu so,bado sijui vzr kutumia kichwa cha habari nilitaka kuandia.😂😂😂😂🙌
Tuanze na hiyo "oyi" kwanza ndo nini au ndio mji unataka kwenda kuishi huko Ni
Oyi fika pale kariakoo ukatafakari kwanza.habari wakuu naomba mnisaidie wala sihitaji masimango, nina ndoto za kuishi nje ya tz naona njia nzuri ya kuishi ulaya ni kuomba udhamini wa elimu kwenye vyuo vya nnje ya tz,, nilifeli four 4,.hapa nina miaka 23 sasa na ninawaza niridi shule (Quit) je naweza toboa kwa umri huu🙏🙏
Kama jf ya kwako sawa😎Bora upigwe ban...hiyo oyi...unadhani wote humu wadogo zako? Hapo bado hujaigusa hata ulaya kwa ramani,tayari umeanza mbwembwe🙆 nenda kaqt
kwa sasa uwezo wa kubadilisha heading ya uzi upo chini ya moderators, ni vema ukawatag na kuwaomba wakubadilishie heading vile inapaswa kuwa ili upate msaada ila ikibakia hiyo "oyi" yako hapa utaambulia michango ya kukukosoa uandishi wako na jokes tu sidhani kama kuna msaada wa maana utaupata.Nimejiunga jf muda si mrefu so,bado sijui vzr kutumia kichwa cha habari nilitaka kuandia.
Naomba ushauri nataka nirudi shule✍🏼
kwa sasa uwezo wa kubadilisha heading ya uzi upo chini ya moderators, ni vema ukawatag na kuwaomba wakubadilishie heading vile inapaswa kuwa ili upate msaada ila ikibakia hiyo "oyi" yako hapa utaambulia michango ya kukukosoa uandishi wako na jokes tu sidhani kama kuna msaada wa maana utaupata.
All the best.
habari wakuu naomba mnisaidie wala sihitaji masimango, nina ndoto za kuishi nje ya tz naona njia nzuri ya kuishi ulaya ni kuomba udhamini wa elimu kwenye vyuo vya nnje ya tz,, nilifeli four 4,.hapa nina miaka 23 sasa na ninawaza niridi shule (Quit) je naweza toboa kwa umri huu🙏🙏
K,,,m ww unat,,b,,w na dog kafirw € hukoHuku ulaya vilaza kama wewe ndo wanapakuliwa.
Na hapa hujalewa??K,,,m ww unat,,b,,w na dog kafirw € huko
Watu wengine wanaboaNa hapa hujalewa??
Acha kujiumauma dogo.Bado una safari ndefu sana jishikilieK,,,m ww unat,,b,,w na dog kafirw € huko
❤Kama jf ya kwako sawa😎
😂😂😂huyu dogo bhanahaha oyi umemuelewa wakili weu msomi kwanza?
Matusi yanini bro kama huwezi kunishauri si utulie kwani lazimaAcha kujiumauma dogo.Bado una safari ndefu sana jishikilie
Umewezaje kusoma hapo na kuelewa na ku reply kabisa ? Kumbe mkuu we huchoki kabisaNa hapa hujalewa??
1. Kwanza tengeneza passportHabari wakuu, naomba mnisaidie wala sihitaji masimango.
Nina ndoto za kuishi nje ya Tanzania, naona njia nzuri ya kuishi Ulaya ni kuomba udhamini wa elimu kwenye vyuo vya nje.
Nilifeli form 4, hapa nina miaka 23 sasa na ninawaza nirudi shule (QT). Je, naweza toboa kwa umri huu?
Nakutag sehemu ingine 🤣🤣🤣Umewezaje kusoma hapo na kuelewa na ku reply kabisa ? Kumbe mkuu we huchoki kabisa