Beberu JF-Expert Member Jan 26, 2017 4,527 9,707 Feb 14, 2025 #2 Mkuu, Mimi nakushauri, pambana ufike 25, uweke 3 bedrooms,
Karne JF-Expert Member Jun 13, 2016 8,017 13,350 Feb 14, 2025 #4 Kama umeamua kujenga wewe anza na ulichonacho.
R R579 Member Dec 22, 2023 88 106 Feb 14, 2025 #5 Itakufikisha sehemu ambayo utaweza kuingia na kuishi humu huku ukimalizia taratibu
Kazanazo JF-Expert Member Aug 16, 2023 2,399 4,266 Feb 14, 2025 #6 Ukisimamia vizuri unaweza kumaliza na kuhamia
Kizibo JF-Expert Member Jul 3, 2018 4,018 8,777 Feb 14, 2025 #7 Hivi bedroom maana yake ni nini?? Nyumba ikiwa na chumba 1 cha baba na mama, na vyumba 2 vya watoto na sebule 1 hiyo nyumba inahesabika ina bedrooms ngapi?
Hivi bedroom maana yake ni nini?? Nyumba ikiwa na chumba 1 cha baba na mama, na vyumba 2 vya watoto na sebule 1 hiyo nyumba inahesabika ina bedrooms ngapi?
Gunner Shooter JF-Expert Member Sep 6, 2022 5,475 9,028 Feb 14, 2025 #8 Kizibo said: Hivi bedroom maana yake ni nini?? Nyumba ikiwa na chumba 1 cha baba na mama, na vyumba 2 vya watoto na sebule 1 hiyo nyumba inahesabika ina bedrooms ngapi? Click to expand... We Kweli kizibo
Kizibo said: Hivi bedroom maana yake ni nini?? Nyumba ikiwa na chumba 1 cha baba na mama, na vyumba 2 vya watoto na sebule 1 hiyo nyumba inahesabika ina bedrooms ngapi? Click to expand... We Kweli kizibo
Top Gun Member Dec 11, 2024 32 120 Feb 15, 2025 Thread starter #10 Gunner Shooter said: We Kweli kizibo Click to expand... 😂😂