kowaski
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 585
- 551
yaaah mkuu iyo ndo hali halisi yan toka apo i dnt believe in distance loveHahahahahh mkuu umetisha sana aisee umenifanya nitabasamu.
yaaah mkuu iyo ndo hali halisi yan toka apo i dnt believe in distance loveHahahahahh mkuu umetisha sana aisee umenifanya nitabasamu.
Kumbe mlikuwa mbalimbali. Shida sana hiyo.yaaah mkuu iyo ndo hali halisi yan toka apo i dnt believe in distance love
sure".."..life is an art of letting go..."
sana sema naye alikuwa kunguru tu we mtu ad home wanamjua ila kasepa alitaka nn sasaKumbe mlikuwa mbalimbali. Shida sana hiyo.
Duuuh ngumu kumeza hii..siwezi kabisa ndugu yangu.nimejikabidhi kwake mwili na roho nampenda too much labda ndo maana ananifanyia hivi au kudeka tu sielewi.
mkuu hata huko si ataniblock pia,inauma sana
Du nikaushe au?Mkuu you're so weak! Hapo kuna possibilities mbili...moja..anakupima mbili amegundua bila yeye hufurukuti!!
BTW wanaume huwaga hatulalaki ka watoto wa kike, hizo tunaita ni "red flags" sasa we ng'aa sharubu tuu
Na wewe umeamua kuingilia thread ya mwenzioHivi mapenzi kwanini yanakuwa magumu hivi.. Mimi nimenuniwa bila sababu ya msingi wala secondary masaa mawili nabembeleza bila muafaka khaaaaaaaaà
Ameona huna lolote amechoshwa na pointless zako sasa afanyeje? Hahaha ushamkera ujueNimekua na MANZI kwa kipindi fulani,kilichotokea baada ya kuongea kwa dk kadhaa akaamua kuniblock kwenye FB,TWITTER na WHATAPP nataman nimbembeleze ila napata wakati mgumu na yuko nchi jirani hapo siwezi kupiga simu,
Swali je kwa nini aniblock ?
Nampenda ni masaa 36hrs. yamepita namiss sana alikua ananikeep busy kwa kweli.
Ameona huna lolote amechoshwa na pointless zako sasa afanyeje? Hahaha ushamkera ujue
Achana nae tafuta wengine acha kuumiza kichwa wakati Haata salio huna LA kupiga Simu nchi jirani
Tafuta hawa Wa magufuli hawa utaweza kuwapigia simu
Nimekua na MANZI kwa kipindi fulani,kilichotokea baada ya kuongea kwa dk kadhaa akaamua kuniblock kwenye FB,TWITTER na WHATAPP nataman nimbembeleze ila napata wakati mgumu na yuko nchi jirani hapo siwezi kupiga simu,
Swali je kwa nini aniblock ?
Nampenda ni masaa 36hrs. yamepita namiss sana alikua ananikeep busy kwa kweli.