Nimepata mchumba Mrina bar, ni kweli mwanamke anaejiuza anaweza kubadilika tabia na kuwa mke mwema?

Four years watu wanamduga we unataka kuweka ndani. Huyo atagongwa hata na mleta bili ya maziwa nyumbani. Achana na kiti cha basi la mwendokasi hicho utakuja ua au ujiue
 
N mtoto amemaliza form 4, mama yake alimsomesha mwenyewe baba yake alimkataa kisa rangi na miaka 18 anasema ni mwaka wa 4 yupo mzigoni hapo ni shida tu zinamfanya afanye hivyo namuonea huruma future yake inapotea na kupoteza utu wake.

Nimemuuliza nikimuoa nikamuweka ndani je atatulia akanijibu ndio anataka nimsomeshe sasa wazee mnanishaurije nijitoe sadaka? Na je ni kweli mtu aliepitia hayo mapito anaweza kutulia ndani.

Je hawezi kukumbushia? Je malaika wa uzinzi hawezi kumuandama maana yake nimeplan nimwamishe huku ambako wateja wake wanaishi nikajilie vyangu mbali taratibu kwa uhuru bila kufuta mdomo na kupepesa macho nani ananiona.

Karibuni wanajamvi sina marafiki mtaani zaidi yenu.
Oa kwanza kisha ushauri tutakupa baadaye.kwa sababu n shida na dawa ya shida ni wewe kumuoa oa baba.tena na sherehe ifanyie hapo hapo mlima bar.nawatakieni ndoa njema yenye misukosuko ma dhoruba ya hapa na pale kama mvua za dar zisivyotabirika.
 
Jasir haachi asir yake, atatulia kwa mda,
Atazoea mazingira mapya, atakuzalia na mtoto wa 1, 2, akiwa ametulia,
Kudadadeki litalipuka tena, chumba chako kitageuzwa guest house, ataanza na masharik ya mbali, then majiran watajipakulia wote, hiyo huwa ni tabia ya kupumzka tu biashara ya papuuch haiachik
Ni kama mwanaume mlev au mzinz hupumzka tu!
 
N mtoto amemaliza form 4, mama yake alimsomesha mwenyewe baba yake alimkataa kisa rangi na miaka 18 anasema ni mwaka wa 4 yupo mzigoni hapo ni shida tu zinamfanya afanye hivyo namuonea huruma future yake inapotea na kupoteza utu wake.

Nimemuuliza nikimuoa nikamuweka ndani je atatulia akanijibu ndio anataka nimsomeshe sasa wazee mnanishaurije nijitoe sadaka? Na je ni kweli mtu aliepitia hayo mapito anaweza kutulia ndani.

Je hawezi kukumbushia? Je malaika wa uzinzi hawezi kumuandama maana yake nimeplan nimwamishe huku ambako wateja wake wanaishi nikajilie vyangu mbali taratibu kwa uhuru bila kufuta mdomo na kupepesa macho nani ananiona.

Karibuni wanajamvi sina marafiki mtaani zaidi yenu.
Umeokota dodo mwanangu. Huyo ni proffesional na hayo ni maisha tu, some niggas done crazier stuffs...
Usijaribu kumbana ujilie vyako, utamboa. Mshauri abadili mbinu tu, awe like super pro mle hela za watasha.
 
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2009 Jamaa yangu alikuwa Dereva wa Magari ya mzigo "Dar to Mwanza" Mara nyingi alikuwa analala singida,siku Moja alichukua Dada Poa kama mazoea Yake alimkuta na matatizo mengi sana ya kuhuzunisha,kwanza alikuwa ana tokwa damu alipomuuliza alimsimulia kuwa alipata mimba bahati mbaya akalazimika kuitoa kama siku tatu hivi kutokana na halo ngumu ikabidi alazimike kujiuza maana hana pesa kabisa.kaka wa watu kwa huruma akamuuliza nikikupatia huduma zote utatulie uwe mke mwema? akajibu ndio,Jamaa kampeleka hospital kamleta Mwanza akachukua nyumba maeneo ya Mecko Dada kapona,Jamaa Yuko safarini Leo kesho kutwa anarudi kampenda Dada anamjali kwa kila khali,huwezi amini siku anatoka Toka kikazi anakuja Mwanza kaka wa watu alikuta nyumba nyeupe Dada kabeba kila kitu kakimbia,Kaka wa watu aliumia sana"huruma huzaa dhambi".kama ni kumsaidia msaidie asonge mbele na sio ili umuoe.usitarajie kutimiza ndoto zako kwa msaada unaotoa kwake...Oa kwa taratibu zinavyotaka na sio kwa msaada unaotoa
 
Miaka 4 mrina!!!Kwa siku wastani wa chini anapigwa mara 5 (Short time) x siku 25 katika mwezi- wanaume 125 x miezi 12- wanaume 1500 kwa mwaka x 4 - wanaume 6000.Hapo ni kwamba biashara ni mbaya.
 
Back
Top Bottom