Week kama mbili zilizopita nimenunua 10kg kwa sh 16,000/= hapo Kawe mwisho sokoni. Nikamind sana yule muuzaji maana kabla ya hapo nilinunua elfu 12 kwa 10kg kwa mtu huyo huyo ila akajitetea kuwa bei zimebadilika, nikanunua zangu nikasepa. So, kupitia huu uzi sasa ndiyo napata picha maana mm mwenyewe nilihisi labda nimepigwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.