Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,858
- 8,313
Ongeza na GrundigMlishaambiwa TV ni Sony, Samsung, LG na Panasonic kutoka kwa authorized dealer.
Ongeza na GrundigMlishaambiwa TV ni Sony, Samsung, LG na Panasonic kutoka kwa authorized dealer.
Grundig kibongo bongo utauziwa mchina, labda u import, kuna JVC pia brand kongwe.Ongeza na Grundig
kwanini feki mkuu?Chinese brands, hapo umenunua Hisense feki
Inawezekana ipo store mode mkuu, ama mode yoyote ambayo sio kwa ajili ya mtu wa kawaida kutumia.Wakuu Msaada pls,
Nimenunua Hisense dukani, nakuja home nimenotice kila baada ya muda flani sauti inajishusha mpk 0..na pia kuna kaujumbe kanaanzia na REVERT. Nisipobonyeza any button TV inajizima na kurestart.
Msaada Please.
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Chief-Mkwawa
Asante mkuu nimekuelewa sana..shukrani.Inawezekana ipo store mode mkuu, ama mode yoyote ambayo sio kwa ajili ya mtu wa kawaida kutumia.
Sababu ni mpya ireset ianze upya pia kwenye setting kama ipo store mode itoe.
Usisahau kutoa mrejesho kama imekubali
Grundig bongo unaipata wapi?Grundig kibongo bongo utauziwa mchina, labda u import, kuna JVC pia brand kongwe.
Sifahamu kwakweli na sidhani kama inapatikana kirahisi hivyo ni kama brand za JVC.Grundig bongo unaipata wapi?
Kiongozi wapi wanauza Hisense Og na nitaijuaje?Inawezekana ipo store mode mkuu, ama mode yoyote ambayo sio kwa ajili ya mtu wa kawaida kutumia.
Sababu ni mpya ireset ianze upya pia kwenye setting kama ipo store mode itoe.
Kuna wakala wengi sana, Mjini pale karibu na pizza hut kulikua na official shop sema bei zimechangamka mno, kkoo huku unapata bei rahisi zaidi.Kiongozi wapi wanauza Hisense Og na nitaijuaje?
Rudisha ulikonunua wakupe nyingineWakuu Msaada pls,
Nimenunua Hisense dukani, nakuja home nimenotice kila baada ya muda flani sauti inajishusha mpk 0..na pia kuna kaujumbe kanaanzia na REVERT. Nisipobonyeza any button TV inajizima na kurestart.
Msaada Please.
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Chief-Mkwawa