both teams to score-YES
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 972
- 1,875
Wakuu Msaada pls,
Nimenunua Hisense dukani, nakuja home nimenotice kila baada ya muda flani sauti inajishusha mpk 0..na pia kuna kaujumbe kanaanzia na REVERT. Nisipobonyeza any button TV inajizima na kurestart.
Msaada Please.
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Chief-Mkwawa
Nimenunua Hisense dukani, nakuja home nimenotice kila baada ya muda flani sauti inajishusha mpk 0..na pia kuna kaujumbe kanaanzia na REVERT. Nisipobonyeza any button TV inajizima na kurestart.
Msaada Please.
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Chief-Mkwawa