Nimenasa sauti ya Katibu Tawala (DAS) Wilaya ya Mbogwe, Ndg. Jacob Rombo akiiba mafuta ya Serikali

Aliyeelewa kichwa cha habari na mada tajwa anieleweshe. Naona leo umeandika uzi ukiwa upo sober ya bangi mkuu.
Sikuandika kichwa cha habari hivyo. Nawasiliana na Jamii forums waniambie imekuwaje kichwa cha habari kiwe hivyo wakati mimi niliweka ๐—ก๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐˜‚๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐——๐—”๐—ฆ ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ฎ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฏ๐—ผ๐—ป๐—ด๐˜„๐—ฒ ๐—ป๐—ฑ๐—ด. ๐—๐—ฎ๐—ฐ๐—ผ๐—ฏ ๐—ฅ๐—ผ๐—บ๐—ฏ๐—ผ ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ๐—น๐—ถ.
 
Kichwa cha habari na kilichopo ndani ni mbingu na ardhi .Bila shaka itakuwa mleta mada alikuwa ameshajipakia na kujifukiza mibangi yake kichwani kama kawaida yake kuvuta bangi bila kipimo wala kikomo.
Sikuandika kichwa cha habari hivyo. Nawasiliana na Jamii forums waniambie imekuwaje kichwa cha habari kiwe hivyo wakati mimi niliweka ๐—ก๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐˜‚๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐——๐—”๐—ฆ ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ฎ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฏ๐—ผ๐—ป๐—ด๐˜„๐—ฒ ๐—ป๐—ฑ๐—ด. ๐—๐—ฎ๐—ฐ๐—ผ๐—ฏ ๐—ฅ๐—ผ๐—บ๐—ฏ๐—ผ ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ๐—น๐—ถ.
 
Mdude tulia uandike kitu kinachoeleweka badala ya kutuletea story ambayo ni kama ya visasi na kulipuana kimkakati.
Kichwa cha habari yako na ulichoandika humu haviendani kabisa!

Pia source ya hii habari inaweza kuwa ni mwendelezo wa wezi kulipuana wao kwa wao.
Sauti pekee haowezi kujitosheleza kuwa ushahidi pekee wa kumfukuzisha kazi.
Bali
Kunahitajika vielelezo vingine muhimu kama vile namba ya simu iliyotumika kupokea fedha husika kama ni ya huyo mlengwa wako nk.

Tukiendelea kutumia mifumo "cartels"kuundiana ma-zengwe ...hakuna atakayebaki salama nchi hii.
Ila kwa ujumla TAKUKURU inapaswa kuvunjwa kwa sababu ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi.
 
Mdude tulia uandike kitu kinachoeleweka badala ya kutuletea story ambayo ni kama ya visasi na kulipuana kimkakati.
Kichwa cha habari yako na ulichoandika humu haviendani kabisa!

Pia source ya hii habari inaweza kuwa ni mwendelezo wa wezi kulipuana wao kwa wao.
Sauti pekee haowezi kujitosheleza kuwa ushahidi pekee wa kumfukuzisha kazi.
Bali
Kunahitajika vielelezo vingine muhimu kama vile namba ya simu iliyotumika kupokea fedha husika kama ni ya huyo mlengwa wako nk.

Tukiendelea kutumia mifumo "cartels"kuundiana ma-zengwe ...hakuna atakayebaki salama nchi hii.
Ila kwa ujumla TAKUKURU inapaswa kuvunjwa kwa sababu ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi.
Acha wale hela tu
Nchi hii we jilieee tu

Ova
 
Back
Top Bottom