Wakuu, poleni na pilika
Sasa, kuna binti ambaye ni tunaishi nyumba moja,
Huwa anavaa khanga moja anapita akaniona tu anapita anatikisa mzigo sio poa, wengine anapita amevaa amejizinga vizuri tu Ila akiniona anavaa "nusu ngozi nusu nguo""🥶
👉Ni mzuri wa maumbiko amejaa haja nyuma sio poa
Sasa, mara huwa nina mwimbia Ile nyimbo ya "jirani "(wakonge mnaifahamu hiyo nyimbo)
Siku nilipomwambia haina maana kunyimana nashangaa hanisalimii
Ila ni yeye ndio anajiweka kimtego na anajua kabisa mimi ni bachelor
Kosa langu liko wapi kumwimbia
"haina maana kunyimana" 🥶
Sasa, kuna binti ambaye ni tunaishi nyumba moja,
Huwa anavaa khanga moja anapita akaniona tu anapita anatikisa mzigo sio poa, wengine anapita amevaa amejizinga vizuri tu Ila akiniona anavaa "nusu ngozi nusu nguo""🥶
👉Ni mzuri wa maumbiko amejaa haja nyuma sio poa
Sasa, mara huwa nina mwimbia Ile nyimbo ya "jirani "(wakonge mnaifahamu hiyo nyimbo)
Siku nilipomwambia haina maana kunyimana nashangaa hanisalimii
Ila ni yeye ndio anajiweka kimtego na anajua kabisa mimi ni bachelor
Kosa langu liko wapi kumwimbia
"haina maana kunyimana" 🥶