Nimejichanganya kwa mpenzi muongo balaa!

Nipo na mwanamke karibia mwaka sasa lakini nimegundua mwanamke nilienae ni muongo balaa sijapata kuona anajifanya ana dili kubwakubwa lakini kwa ujuzi wangu wa kuelewa mambo nagundua ni Msanii sanaa kila siku anasema nina gari za mizigo Lakini huzioni atakwambia nina nyumba Lakini siku zote yupo chumba kimoja yaani story zake ni km mwanamke mwenye uwezo sanaa na hana hofu na hilo akiwa anasema lakini ukweli ni muongo sanaaa kuna kipindi alinambia ana maduka ya hardware lakini ukimwambia hata siku moja twende dukani atakuzungusha mpk uchoke. Sometime ananipa mazawadi km nguo viatu ila najiuliza anapataje pesa na ofisi sizioni au tunammega wengi maana kila mtu anaishi kwake
Wewe ni mwanamme au mwanamke?..... Sijakuelewa kutaka kujua mali za mwanamke.... Sisi tunajua kwa mwanamke tunaangalia tabia zake na uzuri wake.
 
Wewe ni mwanamme au mwanamke?..... Sijakuelewa kutaka kujua mali za mwanamke.... Sisi tunajua kwa mwanamke tunaangalia tabia zake na uzuri wake.
Sihitaji kujua mali zake ila labda hujaelewa umekimbiza kusoma post mkuu elewa kilichoandikwa sio unatafuta maana tu pasipo kuelewa nimeshangaa life style yake mzee. Twende kazi
 
Mwaka mzima unapewa na unapokea bila khiyana eeh? na hujui source of income? au ndio ukimchunguza kuku hutaweza kumla? fikiria chukua hatua...
 
Kuna bi dada akaniambia "Dady juzi alinipeleka showroom nikachague gari mi nikakataa, sa bado nipo chuo mi gari la nini?"

Maajabu ya Mungu nikamuamini, zile show zilivyoendaaa, Nikaona eh hapa hizi ni chai nikajichekecha.

umeona eeh!??kuna mwingine ananipiga mii eti chai za kindeeez kweli.ooh sijui ''boya katuma mia saba ananitaka mi nimemrudishia memwambia mi niko na wewe zamunda napata kila kitu''..
kwa ambao hamjang'amua haka ka mchezo,hapa unasetiwa upigwe kizinga kirefu au basi tu anataka uteme maneno mazuri na ki outing na mbupu kali siku hiyo apate amani ya roho...ila asilimia kubwa ni chai tu!!
 
Nipo na mwanamke karibia mwaka sasa lakini nimegundua mwanamke nilienae ni muongo balaa sijapata kuona anajifanya ana dili kubwakubwa lakini kwa ujuzi wangu wa kuelewa mambo nagundua ni msanii sana kila siku anasema nina gari za mizigo lakini huzioni atakwambia nina nyumba lakini siku zote yupo chumba kimoja.

Yaani story zake ni kama mwanamke mwenye uwezo sanaa na hana hofu na hilo akiwa anasema lakini ukweli ni muongo sanaa kuna kipindi aliniambia ana maduka ya hardware lakini ukimwambia hata siku moja twende dukani atakuzungusha mpaka uchoke.

Sometime ananipa mazawadi kama nguo viatu ila najiuliza anapataje pesa na ofisi sizioni au tunammega wengi maana kila mtu anaishi kwake.
wajanja wanammega huyooooo
 
Nishawah kuwa na mdada alikua na fiksi mungu anaona aisee naamin yule ndio alinipa kibur cha kuacha kuwa na moyo qa kupenda penda...
Maana alishawah kuniambia kabakwa halafu aliembaka bado akawa anaish nae hakuna case wala nn nkasema hapa kiboko
Ila nashukur aisee amenifundsha usugu sana kias kwamba sa hv mtu hanipig sound kizembe zembe
 
Nipo na mwanamke karibia mwaka sasa lakini nimegundua mwanamke nilienae ni muongo balaa sijapata kuona anajifanya ana dili kubwakubwa lakini kwa ujuzi wangu wa kuelewa mambo nagundua ni msanii sana kila siku anasema nina gari za mizigo lakini huzioni atakwambia nina nyumba lakini siku zote yupo chumba kimoja.

Yaani story zake ni kama mwanamke mwenye uwezo sanaa na hana hofu na hilo akiwa anasema lakini ukweli ni muongo sanaa kuna kipindi aliniambia ana maduka ya hardware lakini ukimwambia hata siku moja twende dukani atakuzungusha mpaka uchoke.

Sometime ananipa mazawadi kama nguo viatu ila najiuliza anapataje pesa na ofisi sizioni au tunammega wengi maana kila mtu anaishi kwake.

Wakati wewe unamchunguza na kumuona muongo, nae pia anakuchunguza misimamo yako na imani yako kwake
 
Back
Top Bottom