Wasabato akili zenu zimeshikiliwa na kile kibibi chenu Ellen G White. Kuia alichokiandika kwenye vitabu vyake, ndicho mnachokifuta.Wasabato ni sanam gani wanayoiabudu, je na phd ysko unajua maana ya kuabudu, ungeenda ku google then rudi tujadili. Roma hupiga magoti mbele ya sanam 2, bikra maria na yesu.
Soma vizuri kutoka 20 ndo ujue kuabudu ina maana gani. Kushika ukuta sio kuabudu. Hata wakristo huwa tunarnda mshsli yedu aliishi kwenda kutembelea
Tatizo linaanzia hapa ,mtu anataka kushawishi wengine imani yak.Naona dini zitafarakanisha watu. Kwanini kila mtu asikae na anachokiamini , kusema dini za watu vibaya haiwezi Fanya dini yako iwe Bora.
Wewe ndiyo umeongea.watu siyo wafuatoliaji wazuri wa dini hizi mbili. Almost kila kitu kinafanana. Isipokuwa tu wale wanasali kilatini wengine kiarabu. Hata mavazi ya mitume na wanawake enzi hizo walivaa kama waislamKatika ulimwengu wa roho hakuna tofauti ya Ukatoriki na Uislamu! Zote zina taratibu za ibada zinazofana ambazo zinakatazwa na Mungu,(Walawi26:1)
Na ile rozari ya Katoliki mliyoipa jina la tasbihi, huwa mnaitumia kufanyia nini?Ushawahi kuona muislamu anasema eeh Ukuta wa Makka nakuabudu au uniombee?
Na hiki ndicho Wakatoliki tunachofanya miaka yote. Hatujawahi kuwa na muda wa kuhangaika na mambo yasiyo tuhusu. Na hata kwenye mafundisho yetu siku za Dominika, huwezi kuona mahali tukiisema au kuikejeli imani ya watu wengine! Isipokuwa huwa tunajishughulisha na mafundisho ya imani yetu tu.Naona dini zitafarakanisha watu. Kwanini kila mtu asikae na anachokiamini , kusema dini za watu vibaya haiwezi Fanya dini yako iwe Bora.
Acha unafikia ndugu yangu ,nyie wakatoliki ni wabaya tena wanafiki zaidi ,kwenye mitandao mnapenda kujifanya mna nguvu ,mnasema mlianzisha uislamu..Na hiki ndicho Wakatoliki tunachofanya miaka yote. Hatujawahi kuwa na muda wa kuhangaika na mambo yasiyo tuhusu. Na hata kwenye mafundisho yetu siku za Dominika, huwezi kuona mahali tukiisema au kuikejeli imani ya watu wengine! Isipokuwa huwa tunajishughulisha na mafundisho ya imani yetu tu.
Ila baadhi ya waislamu, wasabato na wale wanaojiita walokole (ingawa ukiwafuatilia kwa undani utagundua ni wanafiki na wadhambi wakubwa) ili wafahamike kwenye jamii; ni lazima wahangaike kulishambulia Kanisa Katoliki.
Kwa hiyo matola umebubujikwa na machozi ya furaha au ya huzuni ulipogundua dini zingine nazo zinaabudu sanamu kama Katoliki?
Katika ulimwengu wa roho hakuna tofauti ya Ukatoriki na Uislamu! Zote zina taratibu za ibada zinazofana ambazo zinakatazwa na Mungu,(Walawi26:1)
Kwanza wakatoliki hawaabudu sanamu, labda kama huelewi maana ya kuabudu.
Hivi unajua kuwa hata kabla ya Kristo, sanduku la agano, lilipewa heshima kubwa, wayahudi walilisujudia na lilibebwa na watu maalum. Je, utasema walikuwa wanaliabudu lile sanduku lililobeba zile mbao za amri za Mungu?
Wayahudi walivyokusa jangwani kwenye safari yao ya kuelekea Promise Land, pake walipokuwa wakiumwa na chochote wanakufa; Mungu akamwambia Musa atengeneze nyoka wa shaba, na kila aliyeumwa na chochote alimtazama yule nyoka wa shaba, naye alipona. Je, kwa upeo mdogo wa baadhi ya watu, wanaamimi kuwa waliokuwa wanamtazama nyoka wa shaba, walikuwa wanamwabudu?
Wakatoliki siyo wanafiki ndo maana linaonekana dhehebu lenye wakosefu wengi. Ni kwaida kumkuta mkatoliki anakunywa pombe hadharani ila sio mlokole kanisani anaonekana innocent ila nyuma ya pazia mkatoliki ana afadhali.Acha unafikia ndugu yangu ,nyie wakatoliki ni wabaya tena wanafiki zaidi ,kwenye mitandao mnapenda kujifanya mna nguvu ,mnasema mlianzisha uislamu..
Ushawahi kuona muislamu anasema eeh Ukuta wa Makka nakuabudu au uniombee?
Umenielewa kweli nilichoandika! Mimi naongelea kwenye mahubiti yetu Wakatoliki hatuna muda wa kuisema imani ya watu wengine kama wafanyavyo baadhi ya waislamu, wasabato, walokole, nk.Acha unafikia ndugu yangu ,nyie wakatoliki ni wabaya tena wanafiki zaidi ,kwenye mitandao mnapenda kujifanya mna nguvu ,mnasema mlianzisha uislamu..
Unawajua wahubiri wote ? Katika uislamu au vitabu vya uislamu hakuna neno ukristo kuna manaswara ...Hakuna ibada inataja wakristo hata surah moja ,ndio kaana Qur an inatafsiriwa kama ilivyo ...Hao wanaotaja wakristo ni matakwa yao .Umenielewa kweli nilichoandika! Mimi naongelea kwenye mahubiti yetu Wakatoliki hatuna muda wa kuisema imani ya watu wengine kama wafanyavyo baadhi ya waislamu, wasabato, walokole, nk.
Na kuhusu hilo suala la Kanisa Katoliki kuhusishwa kuanzisha Uislam, huwezi jua. Maana hata Anglican na Lutheran nao chimbuko lao ni Kanisa Katoliki. Halafu usichukie kwenye vitu vyenye uhalisia. Ni kweli Kanisa Katoliki lina nguvu ya kiuchumi, kijamii na pia lina ushawishi wa kisiasa tangu enzi na enzi.
Naongelea hawa wa mtaani , wanapenda sana ushabiki ...Sijaona viongozi wa dini wanakigombana ila wafuasi wana tabu sana.Wakatoliki siyo wanafiki ndo maana linaonekana dhehebu lenye wakosefu wengi. Ni kwaida kumkuta mkatoliki anakunywa pombe hadharani ila sio mlokole kanisani anaonekana innocent ila nyuma ya pazia mkatoliki ana afadhali.
Kila dhehebu na kila dini mtaani waumini wake wanajigamba kuwa wao ni bora sio tu wakatoliki hadi waislamu wanawaita wenzao makafiri .Naongelea hawa wa mtaani , wanapenda sana ushabiki ...Sijaona viongozi wa dini wanakigombana ila wafuasi wana tabu sana.
Unawajua wahubiri wote ? Katika uislamu au vitabu vya uislamu hakuna neno ukristo kuna manaswara ...Hakuna ibada inataja wakristo hata surah moja ,ndio kaana Qur an inatafsiriwa kama ilivyo ...Hao wanaotaja wakristo ni matakwa yao .
Tafsiri za mchongo wanaweka ukristo kwenye neno manaswara hapa utaelewa kwa nn Qur an inasomwa kwenye lugha yake ya asili.
So lazima usome chanzo halisi cha taarifa kwenye lugha ile ile ili upate maana kamili...Kusoma kitu kilichotafsiriwa kuna matatizo japo sio mara zote.Sasa ulitaka neno la kigiriki liwe kiarabu?
Au hujui kuwa Kristos ni neno la Kigiriki ambalo hata kwenye lugha mama ya Yesu halimo?
So lazima usome chanzo halisi cha taarifa kwenye lugha ile ile ili upate maana kamili...Kusoma kitu kilichotafsiriwa kuna matatizo japo sio mara zote.
Umewazaa kama Mimi,akipatwa na pepo hapo akaachia taulo pumbuu njee Mzee mzimaa🤣🤣Afu hyo mijitaulo wanajifunga ya nini?nashangaa sanaa kwa wenye hii dini..eti unavua na kujifunga tu taulo...ebu muone mwijaku anavyojisumbua kujifunika...mara taulo inadondoka mbele ya wanaume wenzako....daa...aibu naiona mimi