Imani zote za kikiristo na uislamu zimetokea kwenye ukatoliki.
Uliletewa na Mwarabu lkn na ukristo uliletwa na mzungu dini ya kwl ni matendo Yako.Acha kuudhalilisha uislam bro kwani ni dini ya jaki na kweli
Andika vizuri bobWasabato ni sanam gani wanayoiabudu, je na phd ysko unajua maana ya kuabudu, ungeenda ku google then rudi tujadili. Roma hupiga magoti mbele ya sanam 2, bikra maria na yesu.
Soma vizuri kutoka 20 ndo ujue kuabudu ina maana gani. Kushika ukuta sio kuabudu. Hata wakristo huwa tunarnda mshsli yedu aliishi kwenda kutembelea
Zimekuja kutugawanya zaidi instead ya kutuunganishaDini za kwenye mtumbwi, halafu ngozi nyeusi ana jifanya kuzi jua kuliko mwenye nazo🤣😂
sahihi kabisa, ustaarabu wa dini ni WA kinafiki sanaZimekuja kutugawanya zaidi instead ya kutuunganisha
Hiyo Bible yenyewe imeandikwa na catholic.Sio kweli...
Pindi tu Yesu Kristo alipoondoka, wafuasi wake walianza kuwa na fellowship lakini kwa kujificha sana...
Ukatoliki wa Kirumi ulikuja baadaye sana na hata matawi yake yalikuja baadaye pia...
Kuna imani za kikristo ambazo hazifuati wala kuwa na vinasaba na ukatoliki wa kirumi...
Quran 3:54Acha kuudhalilisha uislam bro kwani ni dini ya jaki na kweli
Hiyo Bible yenyewe imeandikwa na catholic.
Hujui lolote basi kuhusu history ya ukiristo. Uwe unakaa kimya.Waasingeweza kuandika kitu ambacho ndani yake kinaonesha madhaifu yao...
Uislamu=ukristo+ushirikinaKatika ulimwengu wa roho hakuna tofauti ya Ukatoriki na Uislamu! Zote zina taratibu za ibada zinazofana ambazo zinakatazwa na Mungu,(Walawi26:1)
Hujui lolote basi kuhusu history ya ukiristo. Uwe unakaa kimya.
Ilifanyiwa translation na mroma sio kiandikwa.Hiyo Bible yenyewe imeandikwa na catholic.
Imeandikwa.Ilifanyiwa translation na mroma sio kiandikwa.
Jaki mengi au pemba mkuuAcha kuudhalilisha uislam bro kwani ni dini ya jaki na kweli