Nimefikia Conclusion Kanisa Katoliki ni waungwana, na wavumilivu, dini zote zina ibada za sanamu ukiwemo Uislamu

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
60,250
105,283
Hili kanisa katoliki lipewe mauwa yake, unajuwa utandawazi unakuja na mengi sana na kuyafahamu hata yaliyojificha.

Kwa muda mrefu Kanisa katoliki limekuwa likishambuliwa na madhehebu mengine ya kikristo hasa Wasabato na waislamu kwamba wanaabudu sanamu, kumbe hizi rituals zinafanywa na dini zote kongwe achana na vizehebu vya juzi juzi vya kuuza mafuta na maji ya upako.

Kumbe Wakatoliki ni wakimya sana, huwa wanaacha watu wapayuke kumbe ukweli uko wazi.

Haya niambieni hapo Maka kinachofanyika hii si ndio ibada zenyewe za sanamu?

Hebu angalia hao Wadosi huyo naye sijui ndio mungu wao wamekwenda hija.

Nilichokugunduwa hii dunia, mind your business.

FB_IMG_1742858346527.jpg
FB_IMG_1742858311361.jpg
 
Wasabato ni sanam gani wanayoiabudu, je na phd ysko unajua maana ya kuabudu, ungeenda ku google then rudi tujadili. Roma hupiga magoti mbele ya sanam 2, bikra maria na yesu.
Soma vizuri kutoka 20 ndo ujue kuabudu ina maana gani. Kushika ukuta sio kuabudu. Hata wakristo huwa tunarnda mshsli yedu aliishi kwenda kutembelea
 
Hili kanisa katoliki lipewe mauwa yake, unajuwa utandawazi unakuja na mengi sana na kuyafahamu hata yaliyojificha.

Kwa muda mrefu Kanisa katoliki limekuwa likishambuliwa na madhehebu mengine ya kikristo hasa Wasabato na waislamu kwamba wanaabudu sanamu, kumbe hizi rituals zinafanywa na dini zote kongwe achana na vizehebu vya juzi juzi vya kuuza mafuta na maji ya upako.

Kumbe Wakatoliki ni wakimya sana, huwa wanaacha watu wapayuke kumbe ukweli uko wazi.

Haya niambieni hapo Maka kinachofanyika hii si ndio ibada zenyewe za sanamu?

Hebu angalia hao Wadosi huyo naye sijui ndio mungu wao wamekwenda hija.

Nilichokugunduwa hii dunia, mind your business.

View attachment 3282296View attachment 3282297
El I'm u
El I'm u
Elimu
 
Wasabato ni sanam gani wanayoiabudu, je na phd ysko unajua maana ya kuabudu, ungeenda ku google then rudi tujadili. Roma hupiga magoti mbele ya sanam 2, bikra maria na yesu.
Soma vizuri kutoka 20 ndo ujue kuabudu ina maana gani. Kushika ukuta sio kuabudu. Hata wakristo huwa tunarnda mshsli yedu aliishi kwenda kutembelea
Wasabato si dini, ni dhehebu la kikristo
 
Back
Top Bottom