Nimeamini ukipewa kilema, unapewa na mwendo

Mr. Sound

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
2,227
4,755
Wakuu salaam,

Kuna mwamba ni mfanya biashara, hajui kusoma wala kuandika, japo katika hesabu za pesa huwezi mpunja.

Hivi karibuni alipoteza sim, sasa juzi kanipa simu yake mpya nimjazie namba, alichonishangaza zaidi ya namba 20 na majina, kataja toka kichwani.

Hakika nimeamini, ukipewa kilema unapewa na mwendo.
 
Wakuu salaam,

Kuna mwamba ni mfanya biashara, hajui kusoma wala kuandika, japo katika hesabu za pesa huwezi mpunja.

Hivi karibuni alipoteza sim, sasa juzi kanipa simu yake mpya nimjazie namba, alichonishangaza zaidi ya namba 20 na majina, kataja toka kichwani.

Hakika nimeamini, ukipewa kilema unapewa na mwendo.
Hahahaaha......Huyo alikosa fursa ya kwenda Shule tu kutokana na mazingira na mitihani ya maisha.

Huyo ndio Pure Inteligent
 
Back
Top Bottom