Nilionya Juu ya Wahadhiri kupewa kazi kubwa kama Ukatibu mkuu

Wakuu system ya Ualimu ni tofauti na Utumishi mwingine watu waliofanya kazi tofauti na Ualimu ni wajanja wajanja sana wanaweza Kusain deal wewe hata usijue ni vema ukamchukua hata Mtu aliyefanya kazi kwa mda mrefu katika idara Fulani ndani ya Wizara kuliko kumchukua mshika chaki


Mara nyingi wanashindwa Wakikutana na Wajanja wa pale Wizarani waliozoea kupiga deal watapitisha mchanga huku ukiwa huna hata habari.


Mtaalamu wa Mambo ya Saikolojia Leo amekua Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji afadhari angewateua hata Ma professor wa pale SUA wa Water Resource Engineering, Agricultural Engineering

Hivi Pale Wizarani wamekosa hata wakuu wa Idara mbalimbali wakapandishwa vyeo.
Julius Nyerere alikuwa mshika chaki, Ali Hasan Mwinyi mshika chaki John Pombe mshika chaki !!!! Jipange uje upya

Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Julius Nyerere alikuwa mshika chaki, Ali Hasan Mwinyi mshika chaki John Pombe mshika chaki !!!! Jipange uje upya

Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
Akili Kisoda Urais ni tofauti na hii Nafasi nategemea mtu inatakiwa awe anauwezo na technical capabilities katika ile Wizara kwa sababu yule ni Mtendaji Mkuu pale Wizarani kwa hiyo unategemea awe anajua angalau hata Jargon za Water Resources Engineering, Agricultural Engineering na Vitu vingine vingi.
 
1. Serikalini wote wakiwa maprofesaa nchi itakuwa shule.

2. Serikalini wengi wakiwa madokta (PhD) nchi itakuwa hospitali.

Yangu, macho.
 
Akili Kisoda Urais ni tofauti na hii Nafasi nategemea mtu inatakiwa awe anauwezo na technical capabilities katika ile Wizara kwa sababu yule ni Mtendaji Mkuu pale Wizarani kwa hiyo unategemea awe anajua angalau hata Jargon za Water Resources Engineering, Agricultural Engineering na Vitu vingine vingi.
Wewe ni mpumbavu sana yaani Rais ndie overall wa serikali nzima ila unategemea katibu Mkuu awe na akili kuliko Rais juha kabisa wewe

Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
 
HIVI KITILA MKUMBO ALIYETEULIWA NI HUYU WA 'ACT WAZALENDO? ' KAMA NDIO,INA MAANA KAWEKWA HAPO(AMBAYE HANA ELIMU YA UHANDISI) ILI ATAKAPOSHINDWA WASEME,UNAONA ? WAPINZANI HUWA MNALALAMIKA BURE TUU,HALAFU MKIPEWA NAFASI,MNASHINDWA KU-PERFOM.
 
Usidhalilishe ualimu Kaka, kwani ukatibu mkuu ndio umeona kazi kubwa sana eeeeenh, mbona usitahadhalishe Rais kuchaguliwa mwalimu? Raid wetu si aliwahi kuwa mwalimu sengerema sekondari?

Kwa system yetu ya Sasa elimu ya mtu haina uhusiano na kazi aifanyayo. Darasa la Saba kapewa mkoa Tena mkoa mkubwa na mgumu kuliko yote na anakimbiza vile vile, we vipi bwana.
Umetudhalilisha sana walimu,Rais ni mwalimu,waziri mkuu ni mwalimu,nisijue makamu wa rais,tutake radhi aisee.
 
Back
Top Bottom