Wakuu system ya Ualimu ni tofauti na Utumishi mwingine watu waliofanya kazi tofauti na Ualimu ni wajanja wajanja sana wanaweza Kusain deal wewe hata usijue ni vema ukamchukua hata Mtu aliyefanya kazi kwa mda mrefu katika idara Fulani ndani ya Wizara kuliko kumchukua mshika chaki
Mara nyingi wanashindwa Wakikutana na Wajanja wa pale Wizarani waliozoea kupiga deal watapitisha mchanga huku ukiwa huna hata habari.
Mwenyekiti wako wa CCM amesema hata siku moja haonyeshwi njia akaifata na wala hapangiwi cha kufanya. Kasema yeye ndiyo anapanga nani awe wapi.Wakuu system ya Ualimu ni tofauti na Utumishi mwingine watu waliofanya kazi tofauti na Ualimu ni wajanja wajanja sana wanaweza Kusain deal wewe hata usijue ni vema ukamchukua hata Mtu aliyefanya kazi kwa mda mrefu katika idara Fulani ndani ya Wizara kuliko kumchukua mshika chaki
Mara nyingi wanashindwa Wakikutana na Wajanja wa pale Wizarani waliozoea kupiga deal watapitisha mchanga huku ukiwa huna hata habari.
acha chuki za kikeWanaofanya uteuzi si wenzako Wa Lumumba??
Embu usituletee utahira Wa kibashite hapa teueni hata watu wote Wa kolomije
Tunashuhudia ugoro wa Kisukuma usiokuwa na nyamva!!Rais amerudia tena!
SureKuna tatizo kubwa sana kwa mwenyekiti wangu kuamini maendeleo au nchi ya viwanda inaweza kuletwa na wasomi imani yake kubwa juu ya wasomi na vijana mwisho wa siku itakuja kumcost kama ambavyo tayali vijana wake wameshaanza kumcost MWENYEKITI wangu utakiwa kujua wasomi wengi wa Tanganyika wana vyeti na maarifa lakini hawana Akili
Ugoro huo mkuu naufahamu sana maana na mimi mwenyewe ni wa huko huko!!Changia bila kutaja Kabila watakuelewa tuu
Nyie hamna jema wahovyo kabisaTusubiri na TANESCO.
Tatizo ni JPM maana wakati wa JK haya mambo hatukuyashuhudia.
Endeleeni kumsifia.