Niliomba sana tusifike huku

Sukari tunaweza kusema si muhimu MTU anaweza kuishi bila sukari. Lakini dawa haiwezekani. Hivi unaumwa malaria utapona bila dawa? Hili la dawa litamfanya aone mjengo haukaliki
 
Ubarukiwe mkuu kwa ufafanuzi, kuna watu humu wana akili za kitoto sana, sometimes unafikilia wenzetu wanafikili kwa kutumia nini? unaishia kicheka tu.
Kweli huu ndio ufafanuzi wa kukuridhisha wewe?
Kiukweli taarifa iliyoletwa zinakosa mashiko na ufafanuzi huu pia hakikidhi haja!
Kwa kuwa si taarifa rasmi hatuna haja ya kuraise false alarm!
 
Mhh. Kumbe mwanadiplomasia mzee wa msoga alitufaa kwa mengi.

kumbuka kabla ya jk dawa hizi zilikua zinatumika kwa watu matajiri tu, doctor akidondosha kimoja tu anachanganyikiwa maana vilikua vinapatikana kwa ghalama kubwa sana, alipoingia jk, ndio misaada ya ikaja kutoka nchi za Scandinavia na marekani kuhusu gonjwa hilo, sasa inawekana hivyo I vikwazo baridi vya wazungu kwenye afya. na hii tabia ya viongozi wetu wanaojitapa kuwa hawataki misaada TUTAISOMA NAMBA KWELIKWELI.
 
Nafikiri magazeti yanakuza vitu kama kawaida yao.

Hii NGO mojawapo ambayo ilikuwa inasaidiana na USAID wamemaliza mkataba wao & wanakuja wengine.

Ni utaratibu wa kawaida tu katika dunia.

Wamarekani bado wanafanya STUDY & RESEARCH nyingi sana huku KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA, TANZANIA ikiwemo kuhusu HIV/AIDS kwa ujumla & magonjwa mengine. Kila siku wanabeba samples na kuzipeleka kwao;

Hivyo basi, wanatutegemea mno & hawataondoka leo wala kesho;

1. Wanafanya UTAFITI.
2. Sisi ni soko lao.

Tuache kupotosha & ku create sintofahamu miongoni mwa jamii hasa hawa ndugu zetu wanaoishi na VVU.

Serikali yetu kwa sasa, inanunua dawa hizi pamoja na misaada ya wahisani.

Na sasa WIZARA YA AFYA iko na mkakati wa kuleta THIRD LINE ARV DRUGS, nk...

Ngoja niishie hapa.
Hawa jamaa ni wapuuzi sana wanahangaika kutafuta umaarufu wa kijinga......wanaleta siasa mbuzi wakati ikitokea huo ujinga wanauwaza ikawa kweli hata wao wataaumia.........hizi siasa zinawafana wanashabikia ujinga.
 
Maelezo yako kwa kiasi Fulani ni sahihi. Ebu jibu na maswali haya
1.Je unajua 100% ya ARV zilikuwa zinatolewa na hawa wamarekani?
2.je unajua adi mwaka Jana juni 2015 walishakubali kuendelea kusapoti izi dawa lakini ghafla wamejitoa?
3.je wizara ya Afya ikiamua kusimamia jukumu LA ununuzi wa ARV bajeti IPO?
4.Zile tetesi za wamarekani kujitoa kufadhili miradi ya UMEME ambazo badaye zikawa kweli na kuathiri bajeti ya nishati ,zinaweza kuwa sawa na hili sakata la ARV.
5.He unakubaliana na ya kwamba wamarekani kwa sasa wanatukomoa? wanajitoa kwenye miradi polepole na kwa akili ya juu kwa lengo LA kutukomoa?
Uko sawa.

Kwa sasa serikali inaagiza dawa hizi kwa asilimia fulani ... Na asilimia nyingine inatolewa na NGO'S. Na nilifanya kazi na NGO mojawapo ...

Na ndio maana Bajeti ya Afya itaongezwa kuanzia mwaka huu.

Mkakati uliopo sasa, ni kutonunua dawa za gharama, bali zile cheap.

Stock ya ARV tuliyonayo sasa ni kubwa tu.!

Hivyo, basi tuendelee kutoa support kwa Wizara & Serikali.

Wahisani watachangia & Serikali itachangia pia.

Na ninatoa PONGEZI kubwa kwa Serikali & Wahisani kwa juhudi zao za kupambana na JANGA hili.

Kwa TAARIFA yako;

1. Kwa sasa tuna WATOTO wengi sana waliozaliwa na wa mama wenye VVU lakini wao hawana VVU.

Yote hii ni juhudi za kutumia ARV kwa mama tangu akiwa mjamzito & kumkinga mtoto.

2. Watu wenye VVU wamepata matumaini, wana furaha, amani & AFYA tele.

Ukikutana na mabinti, wamama, wa baba, na vijana hawa hutawajua kwa kuwaangalia kwa namna wanavyopendeza.

Serikali imepambana & kwa hili nawapa pongezi.
 
Uko sawa.

Kwa sasa serikali inaagiza dawa hizi kwa asilimia fulani ... Na asilimia nyingine inatolewa na NGO'S. Na nilifanya kazi na NGO mojawapo ...

Na ndio maana Bajeti ya Afya itaongezwa kuanzia mwaka huu.

Mkakati uliopo sasa, ni kutonunua dawa za gharama, bali zile cheap.

Stock ya ARV tuliyonayo sasa ni kubwa tu.!

Hivyo, basi tuendelee kutoa support kwa Wizara & Serikali.

Wahisani watachangia & Serikali itachangia pia.

Na ninatoa PONGEZI kubwa kwa Serikali & Wahisani kwa juhudi zao za kupambana na JANGA hili.

Kwa TAARIFA yako;

1. Kwa sasa tuna WATOTO wengi sana waliozaliwa na wa mama wenye VVU lakini wao hawana VVU.

Yote hii ni juhudi za kutumia ARV kwa mama tangu akiwa mjamzito & kumkinga mtoto.

2. Watu wenye VVU wamepata matumaini, wana furaha, amani & AFYA tele.

Ukikutana na mabinti, wamama, wa baba, na vijana hawa hutawajua kwa kuwaangalia kwa namna wanavyopendeza.

Serikali imepambana & kwa hili nawapa pongezi.
Una maelezo mazuri lakini hayajibu maswali,ebu jibu swali moja baada ya lingine
 
Hakuna ulichojibu, jaribu ku quote kwa kujibu hoja
Una maelezo mazuri lakini hayajibu maswali,ebu jibu swali moja baada ya lingine
Mimi sio MSEMAJI wa serikali kwa upande huu, ila NIKO ndani ya system; Nilikuwa najaribu kuelezea kilichopo kwa uhalisia, na kuondoa maneno ya mtaani kuwa dawa hazipo/hazitakuwepo. Siwezi kusema zaidi ya hapa, sio wajibu wangu hata kama najua mambo kadhaa.

Hivyo, basi huyo msemaji atakuja kuwaeleza kama ikihitajika JAPOKUWA si kila swali linapaswa kujibiwa.
 
Watu wa marekani msaada wenu kama ulikuwa kuisaidia serikali sitisheni lakini kama ni sisi raia tutakufa zaidi ya kimbari kwa taalifa hii tu nadhani kuna watu wamezikwa kwa BP {sikuhizi ni PUMA}
 
Mimi sio MSEMAJI wa serikali kwa upande huu, ila NIKO ndani ya system; Nilikuwa najaribu kuelezea kilichopo kwa uhalisia, na kuondoa maneno ya mtaani kuwa dawa hazipo/hazitakuwepo. Siwezi kusema zaidi ya hapa, sio wajibu wangu hata kama najua mambo kadhaa.

Hivyo, basi huyo msemaji atakuja kuwaeleza kama ikihitajika JAPOKUWA si kila swali linapaswa kujibiwa.
Mimi sio MSEMAJI wa serikali kwa upande huu, ila NIKO ndani ya system; Nilikuwa najaribu kuelezea kilichopo kwa uhalisia, na kuondoa maneno ya mtaani kuwa dawa hazipo/hazitakuwepo. Siwezi kusema zaidi ya hapa, sio wajibu wangu hata kama najua mambo kadhaa.

Hivyo, basi huyo msemaji atakuja kuwaeleza kama ikihitajika JAPOKUWA si kila swali linapaswa kujibiwa.
Mimi sio MSEMAJI wa serikali kwa upande huu, ila NIKO ndani ya system; Nilikuwa najaribu kuelezea kilichopo kwa uhalisia, na kuondoa maneno ya mtaani kuwa dawa hazipo/hazitakuwepo. Siwezi kusema zaidi ya hapa, sio wajibu wangu hata kama najua mambo kadhaa.

Hivyo, basi huyo msemaji atakuja kuwaeleza kama ikihitajika JAPOKUWA si kila swali linapaswa kujibiwa.
.
Sawa nimekuelewa ,ila rudi kwenye majibu yako (post no 25) ukubaliane na mambo haya
1.bajeti ya wizara ya Afya kwa 2016/2017 I imeshasomwa na kupitishwa hakuna ongezeko lolote. 2. Mpango wa kununua dawa ambazo ni cheap(bei rahisi) ni hatari ,vitu cheap Mara nyingi havina ubora/feki.
 
.
Sawa nimekuelewa ,ila rudi kwenye majibu yako (post no 25) ukubaliane na mambo haya
1.bajeti ya wizara ya Afya kwa 2016/2017 I imeshasomwa na kupitishwa hakuna ongezeko lolote. 2. Mpango wa kununua dawa ambazo ni cheap(bei rahisi) ni hatari ,vitu cheap Mara nyingi havina ubora/feki.
1. Nadhani unaelewa serikali huwa ina fungu la dharula in case of anything.

2. Sio kweli dawa kuwa cheap ni feki; Hayo ni mawazo ya mtu asiyeijua FANI.

Nitakupa mfano MMOJA;

ALBENDAZOLE inayotengenezwa TANZANIA pale Shelly's inauzwa Tshs 500/=; Inayotengenezwa INDIA inauzwa Tshs 2,000/=; Inayotengenezwa KENYA inauzwa Tshs 1,500/= au 1,000/=; Na ile inayotengenezwa na GSK huko Cyprus au Germany inauzwa Tshs 5,000/=.

MIMI huwa nanunua ya NYUMBANI;

Unajua ni kwa nini hiyo?

a) Active ingredient ni moja, ni sawa na zinazotengenezwa nje (Albendazole), hivyo zote zitatibu tatizo.

Unajua kwa nini za nje huuzwa ghali na kutofautiana nchi moja na nyingine? ( Nimetoa mifano ya Kenya, India, na Cyprus na Germany).

a) Gharama za usafiri,
b) Kodi,
c) Brands za dawa. Kuna coating materials huongezewa kwenye kidonge ili kuongezea appearance & taste ya dawa; Kwa mfano, rangi, sukari, harufu nzuri nk; Hivi vyote huchangia dawa kuwa na bei kubwa. Na hili halimaanishi kuwa hii itatibu na zingine hazitatibu.

Baada ya kukupa mfano huo tuje kwenye ARV'S. ARV'S zinazotengezwa MAREKANI zitakuwa na bei kubwa kuliko kwingine kote kama INDIA nk...

Brands za Wamerakani, na Wazungu ni gharama mno, sio kwa ARV'S tu bali kwa dawa zingine zote. LAKINI, Mhindi dawa zake ni cheap kidogo na ndo zimejaa AFRIKA.

Na zote (awe mzungu au mhindi) zina ACTIVE INGRIEDINTS sawa, tofauti ni BRANDS tu.

Inatosha kwa sasa.
 
1. Nadhani unaelewa serikali huwa ina fungu la dharula in case of anything.

2. Sio kweli dawa kuwa cheap ni feki; Hayo ni mawazo ya mtu asiyeijua FANI.

Nitakupa mfano MMOJA;

ALBENDAZOLE inayotengenezwa TANZANIA pale Shelly's inauzwa Tshs 500/=; Inayotengenezwa INDIA inauzwa Tshs 2,000/=; Inayotengenezwa KENYA inauzwa Tshs 1,500/= au 1,000/=; Na ile inayotengenezwa na GSK huko Cyprus au Germany inauzwa Tshs 5,000/=.

MIMI huwa nanunua ya NYUMBANI;

Unajua ni kwa nini hiyo?

a) Active ingredient ni moja, ni sawa na zinazotengenezwa nje (Albendazole), hivyo zote zitatibu tatizo.

Unajua kwa nini za nje huuzwa ghali na kutofautiana nchi moja na nyingine? ( Nimetoa mifano ya Kenya, India, na Cyprus na Germany).

a) Gharama za usafiri,
b) Kodi,
c) Brands za dawa. Kuna coating materials huongezewa kwenye kidonge ili kuongezea appearance & taste ya dawa; Kwa mfano, rangi, sukari, harufu nzuri nk; Hivi vyote huchangia dawa kuwa na bei kubwa. Na hili halimaanishi kuwa hii itatibu na zingine hazitatibu.

Baada ya kukupa mfano huo tuje kwenye ARV'S. ARV'S zinazotengezwa MAREKANI zitakuwa na bei kubwa kuliko kwingine kote kama INDIA nk...

Brands za Wamerakani, na Wazungu ni gharama mno, sio kwa ARV'S tu bali kwa dawa zingine zote. LAKINI, Mhindi dawa zake ni cheap kidogo na ndo zimejaa AFRIKA.

Na zote (awe mzungu au mhindi) zina ACTIVE INGRIEDINTS sawa, tofauti ni BRANDS tu.

Inatosha kwa sasa.
1.kama wewe ni mtanzania kweli usijitoe ufahamu,hii nchi Nina uhakika unaijua vizuri.
Yaani unadiriki kusema serikali ina fungu(fedha) ya dharula just in case tatizo likitokeza .
Hivi utakuaje na fungu LA dharula wakati at a dawa hakuna kwenye hospitali, na tunasikia watu wanakufa uko kwenye mahospitali kwa kukosa madawa.
Au fungu hilo la dharula unalosema ni kwa ajili ya dawa za ARV tu?
Hivi utaacha kula eti unatunza fedha kwa ajili ya tahadhali?
Kwa kawaida ofisi ya waziri mkuu( kitengo cha maafa) kinakuwa na fungu LA tahadhali kwa ajili ya kushughulikia matatizo yanayojitokeza kwa udhalula kama vile moto,mafuriko,ajali kubwa etc lakini dawa hazimo kwenye orodha.Na bajeti haizidi 2 billion.

2. Naona umesahau sakata la ARV feki lililotokea APA nchini miaka michache iliyopita.
Kinachofanyika na wamiliki /wataalamu wa hivi viwanda ni kutengeneza product ya KIWANGO cha chini ili atengeneze faida kikubwa.Kumbuka hawa ni wafanyabiashara wanatafuta faida kubwa bila kujali uhai wa binadamu.
Kwa iyo kinachofanyika wanatumia rasilimali chache kadri watakavyoweza wakati wa kutengeneza dawa ili kupata faida kubwa,wapo tayari kuuza kwa bei ya chini (cheap) ili kufikia lengo hili.
Product za marekani lazima ziwe nzuri sababu ya umakini, uwezekano wa kutengeneza product fake kwa marekani ni 0%.Wamarekani wana mamlaka bora kabisa ya ukaguzi wa dawa zote zinazozlishwa viwandani.
India ni wazuri lakini kina chow a an gush a ni ukaguzi wa bidhaa zinazozalishwa toka viwandani ,hawapo perfect kwenye ukaguzi na udhibiti wa bidhaa kama wamarekani.
 
Back
Top Bottom