NIDA Ubungo: Wafanyakazi wabuni biashara ya kukodisha Kanga kwa wanaofuata vitambulisho

NBica

Member
Sep 13, 2010
38
35
Ofisi ya Nida ubungo wameanzisha biashara nyuma ya zoezi la ugawaji wa vitambulisho linaloendelea.
-
Wafanyakazi wa getini wamekuwa wakitoza elfu moja moja ya kanga kwa wanawake ambao wamekuja wakiwa wamevaa suruali za jeans au nguo ya kata mikono.

Unapofika tu getini kuuliza, kama umevaa suruali au nguo ya kata mikono wanakwambia rudi hauruhusiwi kuingia, tafuta kanga au toa elfu moja wakuazime kanga yao ujifunike na ukitoka unairudisha mwingine tena anakodishwa.

Zoezi hili ni kama limewalenga wanawake pekee na kwa makusudi, kwanini? Kwasababu mwanaume hata aje amevaa kaptura ataingia hakuna wa kumrudisha wala wa kumkodisha suruali ya kitambaa.


Sawa inaeleweka kuwa kuna utaratibu wa mavazi kuingia katika ofisi za serikali, na kanuni hii inafanya kazi kwa wote wanaume na wanawake lakini kwa zoezi linaloendelea Nida Ubungo naona inafanya kazi kwa wanawake tu, wanaume wanaokuja na jeans tena zile za kubana au zile skin Jeans za kiume na kaptura wanaingia kama kawaida.

Licha ya hilo sioni haja ya kuzuia mavazi kwa sababu hizi

  • Kwanza zoezi hili linafanyika nje wameweka Tent, hakuna mtu anayeingia ofisini ndani sasa kwanini mnazuia watu wasiingie na suruali ilimradi mtu hajavaa uchi.
  • Kurudisha huku watu kwanza kunarudisha nyuma zoezi hili ambalo limewekwa mwisho Februari 28, Baadhi ya watu wanarudi kweli kama hawana elfu moja tu ya kukodosha kanga na hawana taarifa hiyo.
Zoezi hili limekuwa likiendelea sasa na linajumuisha watu wengi sana kiasi kwamba hata kukagua mavazi hakuna maana kwani wengi bado hawajachukua vitambuliso vyao ni mwendo wa kucheleweshana na kurudishana nyuma

Na kama mmeamua kufuata utaratibu huu wa mavazi, fanyeni kwa woteee si tu wanawake, wekeni suruali hapo za kukodisha.

Achanane na hili suala la mavazi. Labda kama mtu amevaa nguo isiyo na staha au amevaa nusu uchi hiyo itaeleweka
 
NIF
Ofisi ya Nida ubungo wameanzisha biashara nyuma ya zoezi la ugawaji wa vitambulisho linaloendelea.
-
Wafanyakazi wa getini wamekuwa wakitoza elfu moja moja ya kanga kwa wanawake ambao wamekuja wakiwa wamevaa suruali za jeans au nguo ya kata mikono.

Unapofika tu getini kuuliza, kama umevaa suruali au nguo ya kata mikono wanakwambia rudi hauruhusiwi kuingia, tafuta kanga au toa elfu moja wakuazime kanga yao ujifunike na ukitoka unairudisha mwingine tena anakodishwa.

Zoezi hili ni kama limewalenga wanawake pekee na kwa makusudi, kwanini? Kwasababu mwanaume hata aje amevaa kaptura ataingia hakuna wa kumrudisha wala wa kumkodisha suruali ya kitambaa.


Sawa inaeleweka kuwa kuna utaratibu wa mavazi kuingia katika ofisi za serikali, na kanuni hii inafanya kazi kwa wote wanaume na wanawake lakini kwa zoezi linaloendelea Nida Ubungo naona inafanya kazi kwa wanawake tu, wanaume wanaokuja na jeans tena zile za kubana au zile skin Jeans za kiume na kaptura wanaingia kama kawaida.

Licha ya hilo sioni haja ya kuzuia mavazi kwa sababu hizi

  • Kwanza zoezi hili linafanyika nje wameweka Tent, hakuna mtu anayeingia ofisini ndani sasa kwanini mnazuia watu wasiingie na suruali ilimradi mtu hajavaa uchi.
  • Kurudisha huku watu kwanza kunarudisha nyuma zoezi hili ambalo limewekwa mwisho Februari 28, Baadhi ya watu wanarudi kweli kama hawana elfu moja tu ya kukodosha kanga na hawana taarifa hiyo.
Zoezi hili limekuwa likiendelea sasa na linajumuisha watu wengi sana kiasi kwamba hata kukagua mavazi hakuna maana kwani wengi bado hawajachukua vitambuliso vyao ni mwendo wa kucheleweshana na kurudishana nyuma

Na kama mmeamua kufuata utaratibu huu wa mavazi, fanyeni kwa woteee si tu wanawake, wekeni suruali hapo za kukodisha.

Achanane na hili suala la mavazi. Labda kama mtu amevaa nguo isiyo na staha au amevaa nusu uchi hiyo itaeleweka
NIDA Ina wafanyakazi wenye njaa SANA, huenda wengi wao ni volunteer hawalipwi mishahara
 
Kuepuka hayo ni kuvaa vizuri kila ukitaka kwenda ofis za serikali.
Shida ya wanawake hawajui kutofautisha mavazi unakuta mavazi ya bar anavaa kanisani,kila sehemu na vazi lke lipo la ibadani, beach, kazini,disco, outing za usiku nk
 
Mbona mimi hapo naona wako sahihi tena wamekusaidia, kama hutaki njoo umevaa nguo za kwenda kwenye ofisi ya umma. Huna buku rudi kavae vizuri. Sasa angalia gharama ya kurudi na kuja tena au utoe buku wakukodishie ngui ya heshima. Tatizo ni wewe na siyo wao
 
Ofisi ya Nida ubungo wameanzisha biashara nyuma ya zoezi la ugawaji wa vitambulisho linaloendelea.
-
Wafanyakazi wa getini wamekuwa wakitoza elfu moja moja ya kanga kwa wanawake ambao wamekuja wakiwa wamevaa suruali za jeans au nguo ya kata mikono.

Unapofika tu getini kuuliza, kama umevaa suruali au nguo ya kata mikono wanakwambia rudi hauruhusiwi kuingia, tafuta kanga au toa elfu moja wakuazime kanga yao ujifunike na ukitoka unairudisha mwingine tena anakodishwa.

Zoezi hili ni kama limewalenga wanawake pekee na kwa makusudi, kwanini? Kwasababu mwanaume hata aje amevaa kaptura ataingia hakuna wa kumrudisha wala wa kumkodisha suruali ya kitambaa.


Sawa inaeleweka kuwa kuna utaratibu wa mavazi kuingia katika ofisi za serikali, na kanuni hii inafanya kazi kwa wote wanaume na wanawake lakini kwa zoezi linaloendelea Nida Ubungo naona inafanya kazi kwa wanawake tu, wanaume wanaokuja na jeans tena zile za kubana au zile skin Jeans za kiume na kaptura wanaingia kama kawaida.

Licha ya hilo sioni haja ya kuzuia mavazi kwa sababu hizi

  • Kwanza zoezi hili linafanyika nje wameweka Tent, hakuna mtu anayeingia ofisini ndani sasa kwanini mnazuia watu wasiingie na suruali ilimradi mtu hajavaa uchi.
  • Kurudisha huku watu kwanza kunarudisha nyuma zoezi hili ambalo limewekwa mwisho Februari 28, Baadhi ya watu wanarudi kweli kama hawana elfu moja tu ya kukodosha kanga na hawana taarifa hiyo.
Zoezi hili limekuwa likiendelea sasa na linajumuisha watu wengi sana kiasi kwamba hata kukagua mavazi hakuna maana kwani wengi bado hawajachukua vitambuliso vyao ni mwendo wa kucheleweshana na kurudishana nyuma

Na kama mmeamua kufuata utaratibu huu wa mavazi, fanyeni kwa woteee si tu wanawake, wekeni suruali hapo za kukodisha.

Achanane na hili suala la mavazi. Labda kama mtu amevaa nguo isiyo na staha au amevaa nusu uchi hiyo itaeleweka
Watu wanatafuta side hustle kazini dah 🤣🤣🤣.......hiii nchi noma
 
Ofisi ya Nida ubungo wameanzisha biashara nyuma ya zoezi la ugawaji wa vitambulisho linaloendelea.
-
Wafanyakazi wa getini wamekuwa wakitoza elfu moja moja ya kanga kwa wanawake ambao wamekuja wakiwa wamevaa suruali za jeans au nguo ya kata mikono.

Unapofika tu getini kuuliza, kama umevaa suruali au nguo ya kata mikono wanakwambia rudi hauruhusiwi kuingia, tafuta kanga au toa elfu moja wakuazime kanga yao ujifunike na ukitoka unairudisha mwingine tena anakodishwa.

Zoezi hili ni kama limewalenga wanawake pekee na kwa makusudi, kwanini? Kwasababu mwanaume hata aje amevaa kaptura ataingia hakuna wa kumrudisha wala wa kumkodisha suruali ya kitambaa.


Sawa inaeleweka kuwa kuna utaratibu wa mavazi kuingia katika ofisi za serikali, na kanuni hii inafanya kazi kwa wote wanaume na wanawake lakini kwa zoezi linaloendelea Nida Ubungo naona inafanya kazi kwa wanawake tu, wanaume wanaokuja na jeans tena zile za kubana au zile skin Jeans za kiume na kaptura wanaingia kama kawaida.

Licha ya hilo sioni haja ya kuzuia mavazi kwa sababu hizi

  • Kwanza zoezi hili linafanyika nje wameweka Tent, hakuna mtu anayeingia ofisini ndani sasa kwanini mnazuia watu wasiingie na suruali ilimradi mtu hajavaa uchi.
  • Kurudisha huku watu kwanza kunarudisha nyuma zoezi hili ambalo limewekwa mwisho Februari 28, Baadhi ya watu wanarudi kweli kama hawana elfu moja tu ya kukodosha kanga na hawana taarifa hiyo.
Zoezi hili limekuwa likiendelea sasa na linajumuisha watu wengi sana kiasi kwamba hata kukagua mavazi hakuna maana kwani wengi bado hawajachukua vitambuliso vyao ni mwendo wa kucheleweshana na kurudishana nyuma

Na kama mmeamua kufuata utaratibu huu wa mavazi, fanyeni kwa woteee si tu wanawake, wekeni suruali hapo za kukodisha.

Achanane na hili suala la mavazi. Labda kama mtu amevaa nguo isiyo na staha au amevaa nusu uchi hiyo itaeleweka
Tatizo wanawake ndiyo wana vaa vibaya, hata kanisani umewahi kuona wanaume wanarudishwa? Huoni pia huko walengwa ni wanawake?
Mwanaume na mwanamke wote wakivaa kaptura au jinsi ya kubana, nani nani ataonekana hana maadili?
 
Ofisi ya Nida ubungo wameanzisha biashara nyuma ya zoezi la ugawaji wa vitambulisho linaloendelea.
-
Wafanyakazi wa getini wamekuwa wakitoza elfu moja moja ya kanga kwa wanawake ambao wamekuja wakiwa wamevaa suruali za jeans au nguo ya kata mikono.

Unapofika tu getini kuuliza, kama umevaa suruali au nguo ya kata mikono wanakwambia rudi hauruhusiwi kuingia, tafuta kanga au toa elfu moja wakuazime kanga yao ujifunike na ukitoka unairudisha mwingine tena anakodishwa.

Zoezi hili ni kama limewalenga wanawake pekee na kwa makusudi, kwanini? Kwasababu mwanaume hata aje amevaa kaptura ataingia hakuna wa kumrudisha wala wa kumkodisha suruali ya kitambaa.


Sawa inaeleweka kuwa kuna utaratibu wa mavazi kuingia katika ofisi za serikali, na kanuni hii inafanya kazi kwa wote wanaume na wanawake lakini kwa zoezi linaloendelea Nida Ubungo naona inafanya kazi kwa wanawake tu, wanaume wanaokuja na jeans tena zile za kubana au zile skin Jeans za kiume na kaptura wanaingia kama kawaida.

Licha ya hilo sioni haja ya kuzuia mavazi kwa sababu hizi

  • Kwanza zoezi hili linafanyika nje wameweka Tent, hakuna mtu anayeingia ofisini ndani sasa kwanini mnazuia watu wasiingie na suruali ilimradi mtu hajavaa uchi.
  • Kurudisha huku watu kwanza kunarudisha nyuma zoezi hili ambalo limewekwa mwisho Februari 28, Baadhi ya watu wanarudi kweli kama hawana elfu moja tu ya kukodosha kanga na hawana taarifa hiyo.
Zoezi hili limekuwa likiendelea sasa na linajumuisha watu wengi sana kiasi kwamba hata kukagua mavazi hakuna maana kwani wengi bado hawajachukua vitambuliso vyao ni mwendo wa kucheleweshana na kurudishana nyuma

Na kama mmeamua kufuata utaratibu huu wa mavazi, fanyeni kwa woteee si tu wanawake, wekeni suruali hapo za kukodisha.

Achanane na hili suala la mavazi. Labda kama mtu amevaa nguo isiyo na staha au amevaa nusu uchi hiyo itaeleweka
Tupiako basi kapicha sisi kina Thomaso tujiridhishe.

Nyau de adriz
 
Back
Top Bottom