Habari zenu wadau.
Nimesikitishwa na huduma mbovu za benki ya CRDB. Ukweli siku ya juzi nikiwa safarini kuna mtu alinipigia simu alikuwa na uhitaji wa haraka wa fedha kiasi. Na wakati huo huyo mtu alikuwa ananidai kiasi fulani cha pesa.
Sasa kwa uhitaji wake wa haraka akaniomba kama niko vizuri nimurudishie hela yake na pia nimuongezee amount nyingine ili aweze kutatua changamoto aliyo nayo.
Kwa kuwa niko safarini nisingeweza kwenda kutoa fedha benk halafu niende kumwekea huyu ndugu ambaye akaunt yake iko NMB.
Nikaona isiwe tabu, nikaingia kwenye app ya crdb kwenye simu janja yangu nikahamisha pesa kutoka CRDB kwenda nmb wastan wa kama 1m hivi (siyo exact figure).
Cha ajabu, sikupokea sms ya kuonyesha kuwa nimefanya muamala, na hela kwenye account imeshaenda, na mhusika hajapokea hela. that was tarehe 3, leo ni tarehe 5 mhusika bado hajapata hiyo hela.
Jana siku nzima nimesumbuana na watu wa CRDB. Kwanza nilianza kwa kumtumia mtu anayefanya kazi CRDB. Nilipoona sipati majibu ya kuridhisha nikaamua kupiga namba yao ya customer care. Ubovu wa huduma zao ukiwapigia simu jiandae kusubiri siyo chini ya dakika 10 unasikiliza nyimbo na matangazo yao.
Haya, alipopokea ananiambia sorry system ilikuwa down jana ila wanairekebisha soon. siku ya jana ikapita bila bila. Leo tena nimepiga story kama zile za jana. Now i feel embarrassed naona uvumilivu unataka kunishinda na mhusika alikuwa na dharura kubwa sana ndio maana niliona nimuhamishie haraka, kumbe ndo hasara.
Hivi nikiwafungulia kesi ya madai nitakuwa nimekosea? How comes wanakaa na pesa ya mtu kwa zaidi ya masaa 48 bila taarifa? Na mimi nawatafuta wananipigisha story za kusema soryy, sorry for what? Do they undeerstand damage wanayosababisha kwa mteja?
Nimesikitishwa na huduma mbovu za benki ya CRDB. Ukweli siku ya juzi nikiwa safarini kuna mtu alinipigia simu alikuwa na uhitaji wa haraka wa fedha kiasi. Na wakati huo huyo mtu alikuwa ananidai kiasi fulani cha pesa.
Sasa kwa uhitaji wake wa haraka akaniomba kama niko vizuri nimurudishie hela yake na pia nimuongezee amount nyingine ili aweze kutatua changamoto aliyo nayo.
Kwa kuwa niko safarini nisingeweza kwenda kutoa fedha benk halafu niende kumwekea huyu ndugu ambaye akaunt yake iko NMB.
Nikaona isiwe tabu, nikaingia kwenye app ya crdb kwenye simu janja yangu nikahamisha pesa kutoka CRDB kwenda nmb wastan wa kama 1m hivi (siyo exact figure).
Cha ajabu, sikupokea sms ya kuonyesha kuwa nimefanya muamala, na hela kwenye account imeshaenda, na mhusika hajapokea hela. that was tarehe 3, leo ni tarehe 5 mhusika bado hajapata hiyo hela.
Jana siku nzima nimesumbuana na watu wa CRDB. Kwanza nilianza kwa kumtumia mtu anayefanya kazi CRDB. Nilipoona sipati majibu ya kuridhisha nikaamua kupiga namba yao ya customer care. Ubovu wa huduma zao ukiwapigia simu jiandae kusubiri siyo chini ya dakika 10 unasikiliza nyimbo na matangazo yao.
Haya, alipopokea ananiambia sorry system ilikuwa down jana ila wanairekebisha soon. siku ya jana ikapita bila bila. Leo tena nimepiga story kama zile za jana. Now i feel embarrassed naona uvumilivu unataka kunishinda na mhusika alikuwa na dharura kubwa sana ndio maana niliona nimuhamishie haraka, kumbe ndo hasara.
Hivi nikiwafungulia kesi ya madai nitakuwa nimekosea? How comes wanakaa na pesa ya mtu kwa zaidi ya masaa 48 bila taarifa? Na mimi nawatafuta wananipigisha story za kusema soryy, sorry for what? Do they undeerstand damage wanayosababisha kwa mteja?