JourneyMan
Member
- Apr 1, 2020
- 42
- 50
Nimezoea kununua bidhaa, baada ya hapo nakusanya shop flani hivi then nikimaliza nachukua Usafiri napeleka dukani.
Sasa kuanzi J3 mpk J5 kuna manunuzi nitafanya, Mzigo utakua mkubwa kdg siwezi kujaza pale ofisini ni kero lakini pia huu unatakiwa uende Mkoani sio hapa Dar,
Hivyo nilikua nataka sehemu ambayo ipo kitaratibu nikishanunua mzigo napeleka nikahifadhi, naendelea tena kwa siku 2 then naipack naituma Huko Bariadi/Maswa/Busega kwa Wasukuma(Hapa pia naomba Msaada Malori ya kwenda huko ya uhakika napata wapi?, Je kuna private pia za kwenda maeneo hayo? Nazipata wapi?)
Niliwaza hotelini ila imani yangu inaniambia ile ni kwa watu wanaolala pale pale hotelini,
Sasa mimi nataka sehemu ya kuhifadhi, nasepa baadae naleta mwingine nafunga, kesho tena naleta naunganisha..
Nina imani wenye hio huduma kiutaratibu wapo, Unaacha mzigo, unapewa risit/namba ya utambulisho unasepa, Basi naomba msaada wa kuelekezwa ni Wapi,
Bila kusahau Wenye uaminifu.
Sasa kuanzi J3 mpk J5 kuna manunuzi nitafanya, Mzigo utakua mkubwa kdg siwezi kujaza pale ofisini ni kero lakini pia huu unatakiwa uende Mkoani sio hapa Dar,
Hivyo nilikua nataka sehemu ambayo ipo kitaratibu nikishanunua mzigo napeleka nikahifadhi, naendelea tena kwa siku 2 then naipack naituma Huko Bariadi/Maswa/Busega kwa Wasukuma(Hapa pia naomba Msaada Malori ya kwenda huko ya uhakika napata wapi?, Je kuna private pia za kwenda maeneo hayo? Nazipata wapi?)
Niliwaza hotelini ila imani yangu inaniambia ile ni kwa watu wanaolala pale pale hotelini,
Sasa mimi nataka sehemu ya kuhifadhi, nasepa baadae naleta mwingine nafunga, kesho tena naleta naunganisha..
Nina imani wenye hio huduma kiutaratibu wapo, Unaacha mzigo, unapewa risit/namba ya utambulisho unasepa, Basi naomba msaada wa kuelekezwa ni Wapi,
Bila kusahau Wenye uaminifu.