Ni sahihi kufanya mapenzi kwenye gari?

Ukiona gari limepaki halafu linanesanesa usidhani linasukumwa na upepo kama bendera bali fahamu kuwa watu wapo shughulini
 
Kwanza kabisa, hakuna mkosi wowote wa kula mzigo kwenye gari, kikubwa gari iwe na tinted ili kulinda faragha. Tuache mawazo ya kishirikina. Ajali zinatokea kila siku na hazina uhusiano wowote na ngono kwenye gari.

Pili, sio kweli kwamba wanaokula mzigo kwenye gari hawana hela ya lodge. Kuna raha yake kula mzigo kwenye gari! Ni sawa useme wanaoenda kuangalia mpira bar hawana tv nyumbani.

Tatu, watanzania tujifunze kufuata mambo yetu, tuachane na mambo yasiyotuhusu! Asilimia 90 ya wabongo wakiona gari inatikisika lazima wakachungulie wanataka kuona ni nini kinaendelea humo ndani! Yanakuhusu? Jifunze kufuata mambo yako..!!

Asanteni.
Ni mambo yenu lakini ni uchafu mkubwa.
Kwenye sex kuna mengi, unaweza kumpa mtoto wa watu kitu kitamu akakojoa kupitiliza na kulowanisha sehemu kubwa ...huu ni uchafu.

Pili gari halina miundombinu mizuri kwa usafi.
Tuache ujinga huu
 
Kama kweli kuzini ni dhambi na Mungu anachukia dhambi basi watu tungebarehe tukishaoa tu. Na tungesimamisha kwa wake zetu tu tena hasa hasa siku za kutia Mimba tu.

Mateso yote haya ya nini sasa kama sio Propaganda? Shitukeni.
 
Ni mambo yenu lakini ni uchafu mkubwa.
Kwenye sex kuna mengi, unaweza kumpa mtoto wa watu kitu kitamu akakojoa kupitiliza na kulowanisha sehemu kubwa ...huu ni uchafu.

Pili gari halina miundombinu mizuri kwa usafi.
Tuache ujinga huu
Hayo yote hata kitandani yanatokea kwahiyo hakuna cha ajabu. Inaakuaje kwenye gari uite ni uchafu halafu chumbani sio uchafu? Gari ni yangu na nikimaliza shughuli zangu nasafisha vizuri sawa na ninavyoaafisha chumba, tatizo liko wapi? Fuateni mambo yenu tuacheni. Asante.
 
Hayo yote hata kitandani yanatokea kwahiyo hakuna cha ajabu. Inaakuaje kwenye gari uite ni uchafu halafu chumbani sio uchafu? Gari ni yangu na nikimaliza shughuli zangu nasafisha vizuri sawa na ninavyoaafisha chumba, tatizo liko wapi? Fuateni mambo yenu tuacheni. Asante.
Sawa, tombane..ni salama
 
Back
Top Bottom