bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,015
- 4,984
Asante kiongozi nimekuelewa sana tuwakuu, bushland na tang'ana, naomba msameheane jamani, maisha yenyewe yapo wapi ya kuanza kujengeana uhasama kwenye jf wakuu???
Asante kiongozi nimekuelewa sana tuwakuu, bushland na tang'ana, naomba msameheane jamani, maisha yenyewe yapo wapi ya kuanza kujengeana uhasama kwenye jf wakuu???
Mimi ni bidada mkuuMsamehe bro, ujue wengine wanachangia thread wakiwa wamejikindwanga! Hahaha
Asante Infantry,hapa umefafanua zaidi kuhusu Usalama peke yake yaani unazungumzia taasisi moja kati ya mbili nilizokuuliza,hapa unazungumzia Wanausalama zaidi kama sikosei,mimi nataka tu kujua tofauti kata ya WANAUSALAMA WA TAIFA na WAPELELEZI (CID) ingawa umekwisha nieleza huko juu.Au unataka kuniambia kuwa Wanausalama wametengwa na CID ili wasijuane? wakati utaalamu wao ni uleule au utaalamu unatofautiana?mkuu, kwa mfano KGB ya zamani ya USSR, intelligence officers walihakikisha hawajuani wote, huwa wanafanyiwa recruitments kwa mafungumafungu (strict compartmentalization) na hautakiwi kumuuliza mwenzako jina lake wala wewe kutaja jina lako. Wakufunzi wa KGB walikuwa wanawapa watu majina mapya wanapokuwa katika chuo cha mafunzo huko Moscow, Ukraine ama Poland, na kuhakikisha hakuna watu wa kutoka taifa moja wanaoruhusiwa kukaa pamoja, yani kulikuwa na watu kuchanganywa changanywa ili kuzuia watu kuwa wanakula njama........!!!!!
Ni kweli kuna watu wanaboa sana! Kama hujui kitu bora angekaa kimya! Kama siyo wew jamaa hapo juu nilitaka nimtukane!Mkuu msifike mbali kiasi hicho mtaharibu hata thread yenyewe
hahahaaaaaa mkuu, mimi napenda kazi yangu hii hii ya kuuza mkaa huku tandale!!!!!!ahaa sante sana.
sasa mkuu wewe hadi kufuatilia haya mambo najua unayapenda sana vipi ungepata nafasi ukaambiwa uchague upande upi wa kufanyia kazi ungechagua upande upi kati ya hao wawili ( yes I know it's too personal lakini ukijibu napo sio mbaya)
tupo pamoja sana kaka mkubwa!!!!!!Asante kiongozi nimekuelewa sana tu
Mimi ni bidada kiongozitupo pamoja sana kaka mkubwa!!!!!!
Mmmmmh hahahaahah sawa kakahahahaaaaaa mkuu, mimi napenda kazi yangu hii hii ya kuuza mkaa huku tandale!!!!!!
mkuu, kwa uelewa wangu mdogo kama hizi ndio tofauti chache sana kati ya idara hizi mbili:Asante Infantry,hapa umefafanua zaidi kuhusu Usalama peke yake yaani unazungumzia taasisi moja kati ya mbili nilizokuuliza,hapa unazungumzia Wanausalama zaidi kama sikosei,mimi nataka tu kujua tofauti kata ya WANAUSALAMA WA TAIFA na WAPELELEZI (CID) ingawa umekwisha nieleza huko juu.Au unataka kuniambia kuwa Wanausalama wametengwa na CID ili wasijuane? wakati utaalamu wao ni uleule au utaalamu unatofautiana?
Ona sida yangu nilkiua naamini kuwa hawa wana mafunzo yanayofanana ili kugundua yaliyojificha.Mfano majambazi kabala na baada ya kufanya uhalifu hujificha na kufanya siri kubwa,wauza unga hufanya siri kubwa,magaidi hufanya siri kubwa,lakini ama Wanausalama ama CID huingia field kufuatilia na mara nyingi wahalifu hudakwa,hii sio lazima iwe kwa hapa kwetu inaweza kuwa hata Europe n.k lakini inaonesha nature ya kazi za wakubwa hawa ni kufuatialia kwa siri mipango ovu ya siri.Hivyo ndivyo nilivyokua najichanganya kabla ya maelezo yako huko juu.
hahahaaaaaaa sikujua dada yangu. naomba radhi sana kwa hilo!!!!!!Mimi ni bidada kiongozi
ndio hivyo mkuu, nipo nakula vumbi tu hapa kibandani wateja wenyewe usiku huu hawaji najiandaa kufunga niende nikalale nipumzishe akili tu......!!!!!!!!Mmmmmh hahahaahah sawa kaka![]()
Sikusamehi Hadi unilipe.hahahaaaaaaa sikujua dada yangu. naomba radhi sana kwa hilo!!!!!!
NINI MAANA YA KUVAA MIWANI YA JUA JAMAA WAWAPO KAZINI TUKIACHA ILE KAZI MAALUMI YA YA KU TAKE PICHA NA KUREKODI SHORT CLIPS?ndio hivyo mkuu, nipo nakula vumbi tu hapa kibandani wateja wenyewe usiku huu hawaji najiandaa kufunga niende nikalale nipumzishe akili tu......!!!!!!!!
Google ndo ofisi gani...Nenda google mi napita tu
Order please.Ni kweli kuna watu wanaboa sana! Kama hujui kitu bora angekaa kimya! Kama siyo wew jamaa hapo juu nilitaka nimtukane!
mkuu kulingana na ujuzi wangu mdogo, wanasemaga miwani meusi ya jua inamsaidia yule mlinzi wa kiongozi to screen through the population (wale wanaomsalimia kiongozi) bila ya hao watu kumjua kama anachezesha macho kushoto kulia ili kugundua suspicious behaviors za watu katika kundi hilo wenye nia mbaya na kuweza kuchua hatua mapema na kuzuia tukio baya la kumdhuru kiongozi kabla halijatokea!!!!!!NINI MAANA YA KUVAA MIWANI YA JUA JAMAA WAWAPO KAZINI TUKIACHA ILE KAZI MAALUMI YA YA KU TAKE PICHA NA KUREKODI SHORT CLIPS?![]()
![]()
Mbweni inajulikana, umewahi kuingia au ndio kula samaki kwenye kabati la vioo mkuu!
Hahaha, hamna bro, Samahani! Si unajua tunajikitwanga kiainaKwa maana masikioni Mkuu, duh umenivamia namna hiyo. Samahani
Ahaa sawa mkuu na vipi nasikia pale wanakuwa full equiped with deadly weapons ambazo baadhi ni wearable kama pete zenye ncha kali na zenye sumu au zilizo chomelewe kitu mfano wa kisu chenye ncha kali tukiacha common tools kama bastola n.k?mkuu kulingana na ujuzi wangu mdogo, wanasemaga miwani meusi ya jua inamsaidia yule mlinzi wa kiongozi to screen through the population (wale wanaomsalimia kiongozi) bila ya hao watu kumjua kama anachezesha macho kushoto kulia ili kugundua suspicious behaviors za watu katika kundi hilo wenye nia mbaya na kuweza kuchua hatua mapema na kuzua tukio baya la kumdhuru kiongozi!!!!!!